Unaishi kwa historia ndiyo maana sasa watu wanajipigia tu hamtaki kukubali ukweli wa sasa mnaishi kwa matukio yaliyopita. Unajaribu kuhamisha magoli ishi ni utoto wa Ally Kamwe kuidogosha Yanga,hebu msikilize mwana Yanga mwenye kujitambua labda utaondokana na akili mgando
Tumeshakufungeni hizo goli 5 na goli 6 na goli 4 mara nyingi tu mbona Sisi Watu wa Simba SC wala hatuwehuki kama nyie wa Yanga SC?
Ndiyo maana kwa 100% nakubaliana na aliyekuwa Kocha wenu Yanga SC Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) aliposema (ipo YouTube) kuwa wana Yanga SC wote ni NYANI, MBWA na SOKWE kwani hata wana Yanga SC mliopo hapa JamiiForums mnasadifu hicho alichokisema huyo Kocha wenu.