Mtoa mada naomba tusaidiane kuweka ukweli hasa kwenye sensitive mada kama hii, nimefuatilia sana kuhusu issue hii na informations nyingi zinaonyesha kuwa, Mr.Bester hakuua mtu ili kufanikisha escaping yake, inaonekana walinunua maiti, means iliingizwa maiti ndani ya ile prison, kwa hiyo issue ya kuua kwa sasa haipo ila na fugitive huyu he just walk out from prison, SA ni LAZIMA wafuate sheria zetu kuhusu issue hii,nchi yangu is roll over kwa kuwaogopa hasa kwa wale wawili, Dr.Nandipa na Mozambiqueian (hawa ni illegals,wapelekwe mahakamani ,wapigwe faini au jela kama sheria zetu zinavyosema kuhusu illegals),but for Mr.Bester huyu ameshakua convicted kwa murder na raping (real men hawa rape),huyu ame cross line, kwanza ahukumiwe kwa kuwa illegal, then kama tuna mkataba wa kurudishiani fugitives na SA ,ni vema arudishwe haraka SA kwa pingu mwili mzima na mijeledi juu, honestly I hate rapist