St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
HahaJitu mwenyewe !!
Punguza hasira nini......naona Mtu unaandika Jitu....kama kuomba msamaha ni rahisi jiombe mwenyewe!Unalikuta jitu umelikuta na makosa kibao ambao kiuhalisia unatakiwa kuliacha na kulipiga chini mazima laikini unasema ngoja kwanza nilipe nafasi nyingine kama litakuja kuomba msamaha,jitu linakuja kichwa kichwa halijui hata liombeje msamaha yani limebung'aa
Kuna stages na steps za kuomba msamaha ukiruka hata moja tu msamaha utausikia kwa wenzio tu
Kuwa mjinga kubali hujui ili ujifunze
Wanaume huwa hatuombii msamaha. Ukiomba msamaha mwanamke atakudharau sana tena sana. Hata km mkeo akikufumania na mwanamke ww kaa kimya.Unalikuta jitu umelikuta na makosa kibao ambao kiuhalisia unatakiwa kuliacha na kulipiga chini mazima laikini unasema ngoja kwanza nilipe nafasi nyingine kama litakuja kuomba msamaha,jitu linakuja kichwa kichwa halijui hata liombeje msamaha yani limebung'aa
Kuna stages na steps za kuomba msamaha ukiruka hata moja tu msamaha utausikia kwa wenzio tu
Kuwa mjinga kubali hujui ili ujifunze
Asa inategemea nin jamani,,alafu kwanza nimekumisiInategemea
Tatizo na nyie wanawake wa ki TZ mko dependent sana hadi mtu anawachukulia easy..Unalikuta jitu umelikuta na makosa kibao ambao kiuhalisia unatakiwa kuliacha na kulipiga chini mazima laikini unasema ngoja kwanza nilipe nafasi nyingine kama litakuja kuomba msamaha,jitu linakuja kichwa kichwa halijui hata liombeje msamaha yani limebung'aa
Kuna stages na steps za kuomba msamaha ukiruka hata moja tu msamaha utausikia kwa wenzio tu
Kuwa mjinga kubali hujui ili ujifunze
asante, nina mastres yangu nimetoka kununua samaki wa kukaanga nikatia kwenye mfuko asaiv natoa nile kumbe mshenz yule kaniwekea mbichi, asaiv nipo nakodoleana macho na lijikambale hapa na misharub yake, nimemaind kinyama asubuh nampelekea shombo yake. Bongo maisha magumu ila kuna mijitu inazd kuchochea, nakula mkate na uji.
Ndio maana nakuelewa sana rafiki [emoji4][emoji4]Mimi huwa naomba msamaha na sjawahi kuona kama ni weakness, isipokuwa nione kabisa dhahiri makosa yangu. kuomba msamaha hakunifanyi a lesser man. Bali kuna nifanya a respinsible man
[emoji4] [emoji4] thank you.Ndio maana nakuelewa sana rafiki [emoji4][emoji4]
Hahahaha aisee kama messi[emoji4] [emoji4] thank you.
Sasa mbona mi nakuelewaga zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha aisee kama messi