Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha kwa maneno haya sipati picha..Hahahaaaa Mimi mpnz wangu akitaka tununiane labda nimefanya kosa. Ni asinipe nafasi ya kujitetea. Akilogwa akanipa tuu ugomvi lazima uishe
Huwaga kwanza najifanya Sijali kama nimemkosea, namchamgamkia huku najua kakasirika. Namsogelea namshika popote pale.akionesha kukasirika au kuwaka,nakua mpole,afu namwangalia direct kwa upole na tabasam, namwambia,"inamaana umekasirika kweli honey.. Basi nsamehe mke wangu, sipendi kukuona ukiwa hivyo...."Habari zenu wanandugu,
Kwa namna moja ama nyingine, kwa bahati mbaya au makusudi tunawakosea tunaowapenda haswa wenza.
Je ni maneno gani unatumia kumfanya ajisikie vizuri tena? Je kuna lugha nzuri ya kumfanya mpenzi asahau ulichomkosea akakusamehe?
Karibuni tubadilishane maneno hayo.
Msg sent? [emoji144] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji144] [emoji144]Unalikuta jitu umelikuta na makosa kibao ambao kiuhalisia unatakiwa kuliacha na kulipiga chini mazima laikini unasema ngoja kwanza nilipe nafasi nyingine kama litakuja kuomba msamaha,jitu linakuja kichwa kichwa halijui hata liombeje msamaha yani limebung'aa
Kuna stages na steps za kuomba msamaha ukiruka hata moja tu msamaha utausikia kwa wenzio tu
Kuwa mjinga kubali hujui ili ujifunze
Unalikuta jitu umelikuta na makosa kibao ambao kiuhalisia unatakiwa kuliacha na kulipiga chini mazima laikini unasema ngoja kwanza nilipe nafasi nyingine kama litakuja kuomba msamaha,jitu linakuja kichwa kichwa halijui hata liombeje msamaha yani limebung'aa
Kuna stages na steps za kuomba msamaha ukiruka hata moja tu msamaha utausikia kwa wenzio tu
Kuwa mjinga kubali hujui ili ujifunze
Kwa zama hiziUnalikuta jitu umelikuta na makosa kibao ambao kiuhalisia unatakiwa kuliacha na kulipiga chini mazima laikini unasema ngoja kwanza nilipe nafasi nyingine kama litakuja kuomba msamaha,jitu linakuja kichwa kichwa halijui hata liombeje msamaha yani limebung'aa
Kuna stages na steps za kuomba msamaha ukiruka hata moja tu msamaha utausikia kwa wenzio tu
Kuwa mjinga kubali hujui ili ujifunze
Sometimes ni kumchana mkweli kumfundisha aombeje. Alaf si wanaume wote, ww kama umekutana na watu wa hovyo huko ambao hawajui kuomba msamaha hiyo ni ww, usijumuishe wote kisa boy wako ajui. Wapo ambao ni expert..Unalikuta jitu umelikuta na makosa kibao ambao kiuhalisia unatakiwa kuliacha na kulipiga chini mazima laikini unasema ngoja kwanza nilipe nafasi nyingine kama litakuja kuomba msamaha,jitu linakuja kichwa kichwa halijui hata liombeje msamaha yani limebung'aa
Kuna stages na steps za kuomba msamaha ukiruka hata moja tu msamaha utausikia kwa wenzio tu
Kuwa mjinga kubali hujui ili ujifunze
InategemeaMhh mwanaume aombe msamaha looh,,kwenye 1000 hata mmoja unaweza usimpate
Wapo wanaume na akili zao hua wanajua thamani ya neno samahani sio wote wasiojua kuomba msamahaKwa zama hizi
Utegemee msamaha kutoka kwa mwanaume tena kwa hatua ulizozipanga wewe, sahau aseee