ni kutokana na mwanzo wao yani chanzo kikuu ni Adamu hivyo wote wamekuwa mkumbo huo
nadhani na huo mfumo dume waliokuwa nao wanataka wao wanyenyekewe, walambwe miguu
na kutiiwa wao tu hata kama wakikosea wao hudhani sie mijike ndo tumekosea
yote hiyo ni kujitutumua kuwa wao ini wababe sana hawana haja ya kuomba msamaha
kwani wakiomba msamaha wanaona wanashushwa chini mm huwaga wananikera sana
Nakumbuka usia wa babu yangu.
"Mjukuu wangu daima kumbuka, ukitaka kuishi vyema na mwanamke daima kuwa mtu usietabirika"i
Mara nyingi nikikosea navuta pumzi kidogo kisha baadae namuomba msamaha wa ubavu wangu pamoja na mahaba kibao.
Ila mara nyingine naharibu hali ya hewa halafu nakuwa nunda hadi anashangaa.
Basi mwenyewe utasikia anasema, "mume wangu ni mpole ila we usiombe ukute siku bange zake zipo kichwani"
Somo ni kuwa;
Ili kujenga mahusiano mema na wandani wetu wanaume tunatakiwa kuwatendea wema na kuwasiliana nao kwa upole ili kujenga mapenzi baina yetu, ila hatutakiwi kufikia mahali ikawa ni fomula.
Wanawake hupenda pia kuziona haiba na tabia fulani za kiume kwa waume zao zilizo katika mila na desturi za jamii zao. Mfano utukutu na ubabe fulani hivi ambao haujapitiliza.
Ukiwa laini sana hawajisikii raha, na ukiwa mbabe sana unawapotezea amani.
Amani kwenu
Tunaomba msamaha 'expressly' pale ambapo inabidi tu. Mengine tunamalizana tu 'impliedly'.
Basi wa kwangu sio product ya adamu!
Bible pia iliagiza mtupende. Sasa unashindwaje kumuomba msamaha mtu unayempenda, endapo umemkoseaBiblia inamuagiza mtu mume kuishi na mwanamke kwa akili, sasa we endelea kuwadekeza uone kitachokutokea.
hivi unafahamu wanaume tunawapenda wanawake kuliko wao wanavyotupenda? do you know that?Bible pia iliagiza mtupende. Sasa unashindwaje kumuomba msamaha mtu unayempenda, endapo umemkosea
Tunaomba msamaha 'expressly' pale ambapo inabidi tu. Mengine tunamalizana tu 'impliedly'.
hebu nipe viashiria (signs) ambazo zinaonyesha upendo wenu kwetuhivi unafahamu wanaume tunawapenda wanawake kuliko wao wanavyotupenda? do you know that?
Mi hata kama ndo mwenyekosa lazma nimchenjie kidogo....halafu badae nakua mpole
Biblia inamuagiza mtu mume kuishi na mwanamke kwa akili, sasa we endelea kuwadekeza uone kitachokutokea.
Mi hata kama ndo mwenyekosa lazma nimchenjie kidogo....halafu badae nakua mpole
Mtusamehe bure...Hizo ndio zenu
Nikishakua mpole kama najua kosa ni langu nakupiga na Gifts tu kukupooza...c unajua actions speak louder..Yaani we dawa yako moja tu! Ukishakuwa mpole tu hapohapo nalianzisha! Utajiuliza nilimeza saa ngapi iyo MP3
nimekukubali ndugu...!
Huu ndio uanaume Mkuu... Kila mwanaume na afahamu hili.
nilitaka kuhighlight kitu nikajikuta nahighlight yote.. niaacha. safi sana kiongozi