Nobody will allow Russia to use gas as a tool to circumvent economic sanctions imposed on it following her invasion of Ukraine.Hivi una habari kuwa soko la India na China ni kubwa kuliko la Nchi za magharibi? Tunavyozungumza tayari India yenye watu wengi kuliko ulaya imeshaingia makubaliano ya kununua gesi na mafuta kwa kutumia Rouble! Hapo Urusi haiathiriki! Watakaoathirika ni ulaya watakaonunua gesi ya Marekani kwa Bei karibuni Mara mbili!!
Kuna msemo unasema "ukisusa wenzio twala"
Halafu alichowachezea ni kwamba inabidi wafungue akaunti ya Rouble, halafu wanaruhusiwa kuweka Dola au Euro lakini Mara zitakapowekwa, zitabadilishwa kuwa Rouble na mchakato huo ukikamilika unapewa huduma ya gesi au mafuta!! Ona Putin anavyosema!
We are not doing charity - Putin on Russian gas
Here's some more from Vladimir Putin who says that in order to buy Russian natural gas, foreign buyers must deal in the Russian currency.
From 1 April, they will have to open special Russian bank accounts to transfer foreign funds and the bank will then use them to purchase roubles.
"If such payments are not made, we will consider this a default on the part of buyers, with all the ensuing consequences," he says.
"Nobody sells us anything for free, and we are not going to do charity either - that is, existing contracts will be stopped."
Major EU economies such as Germany and Italy rely on Russian gas for significant energy needs.
Russia has so far offered to sell gas to India at a discount of 20% below the market price for fear of experiencing a glut of gas at home.
The fact that Russia is going to experience the shortage of the hard currency simply means the country's economy is going to falter and will definitely default on her loan repayment obligations.