Wapelekee ulaya hizi takwimu wakufumue nazo! Wenzio wanahaha kutafuta gas we unaleta takwimu za deposits ili zisaidie nini? We peleka rubo upewe gas hutaki kachome mkaa nyambafuTatizo la hadithi za vijiweni. Liquefied Natural Gas (LNG) inapatikana maeneo mengi sana duniani, hata hii ya Mtwara na Msumbiji ni yenyewe.
Marekani ndio inaongoza kwa deposit kubwa ya LNG duniani ndipo Russia, Canada, Mexico, Qatar, Iran, Venezuela nk. Inazalishwa na nchi nyingi tu.
Dah .....Vita ya petrodollar haijawahi kumuacha mtu salama 🤣🤣🤣🤣Putin kkawashika Western Block pabaya
Mpaka mwisho wa mwaka huu watakuwa wamepunguza mahitaji ya nishati ya Russia kwa theluthi moja na hiyo nyingine ndio ilikuwa iwe hadi 2027.
Lakini kwa kuwa hawako tayari kufanya manunuzi kwa kutumia Ruble ni wazi kwamba huo utaratibu haupo tena na watatafuta hatua za dharura kujikwamua.
Marekani wameshaingiza mapipa milioni moja kila siku sokoni soon Canada, Mexico nao wanaongeza uzalishaji na baadhi ya wanachama wa OPEC vilevile .Ndio zipi hizo hatua
Russia kama aheshimu huruma kidogo aliyopewa ya kuendelea kuuza gesi ili angalau uchumi wake ufanye kujikongoja basi dealine aliyoweka ya ulazima wa kutumia madafu yake tayari umeshapita basi kama ana ubavu afunge koki tuone kama hawajalala njaa.Wapelekee ulaya hizi takwimu wakufumue nazo! Wenzio wanahaha kutafuta gas we unaleta takwimu za deposits ili zisaidie nini? We peleka rubo upewe gas hutaki kachome mkaa nyambafu
Russia wakate bomba wapachike plug tuone kama wana huo ujasiri. Watarudi kule kule kwa USSR.We subir ulaya waanze kutafuta magogo ya mkorosho kupikia makande ndo utaelewa
Russia wakate bomba wapachike plug tuone kama wana huo ujasiri. Watarudi kule kule kwa USSR.
Na hii itaifanya Dollar kushuka na kupotea duniani. Itabaki Marekani tu.Russia akifanikiwa jua nchi nyingi zitafuata akichokifanya Russia kwenye rasilimali zao na ndicho hasa US hakitaki.
Yaani ndo kwanza kunakucha.........andaeni tu omo za kutosha kutoa mapovuRussia kama aheshimu huruma kidogo aliyopewa ya kuendelea kuuza gesi ili angalau uchumi wake ufanye kujikongoja basi dealine aliyoweka ya ulazima wa kutumia madafu yake tayari umeshapita basi kama ana ubavu afunge koki tuone kama hawajalala njaa.
Sasa Rouble si kama pesa zetu za madafu kwa USD mkuuSoko la India lenye watu bilioni 1.2 ni kubwa sana kuliko soko la ulaya!! Wewe ukisusa wenzio Wala!!
Amina usiamini mabeberu watafungua akaunti za Rouble kimyakimya na watalipia gesi na mafuta kwa Rouble, Kisha maisha yataendelea!! Leo Marekani imefuta vikwazo vya Urusi kuiuzia Marekani mbolea na vyakula! Ameona kiwazo hili hakina maslahi yoyote kwa Nchi yake!!
Jana kansela wa Ujerumani aliambiwa na Putin wewe letr tu Dola au Euro zako sisi tutazibadili kuwa Rouble!! Kansela wa Ujerumani akasema sijakuelewa!! Nipe maelezo kwa maandishi!! Leo maandishi yametoka na utaratibu kuwa Kila atakaye huduma ni lazima sfungue akaunti ya Rouble!! Wewe weka pesa yoyote unayotaka hata hiyo Dola au Rouble, Ila kwa kuwa Akaunti uliyofungia ni ya Rouble Dola yako itabadilishwa kuwa Rouble, Kisha hiyo Rouble italipia gesi au mafuta unayotaka! Hapo wamenuna!!
No Rubo No GasSasa Rouble si kama pesa zetu za madafu kwa USD mkuu
Thubutu,hiyo jeuri anaitoa wapi? Akate ataogelea kwa hiyo gesi yake? Nimeona leo Kremlin inasema haitakata supply na Germany na France wamekataa kulipa kwa RubleRussia kama aheshimu huruma kidogo aliyopewa ya kuendelea kuuza gesi ili angalau uchumi wake ufanye kujikongoja basi dealine aliyoweka ya ulazima wa kutumia madafu yake tayari umeshapita basi kama ana ubavu afunge koki tuone kama hawajalala njaa.
Russia wameufyata,hakuna cha kukata wala nini? Njaa siku zote haina mbabe.Russia wakate bomba wapachike plug tuone kama wana huo ujasiri. Watarudi kule kule kwa USSR.
Ndoto zingine bwana 🤣Na hii itaifanya Dollar kushuka na kupotea duniani. Itabaki Marekani tu.
ili awavamie vzr?Putin ni ruru ya Dunia anastahili kutunzwa viumbe kama hawa Duniani adimu
Hio gesi ya Marekani bei ni. Mara 3 ya Urusi Haiwezekani ulaya kununua nchi kibao za ulaya zimeshaikataaa.Marekani wameshaingiza mapipa milioni moja kila siku sokoni soon Canada, Mexico nao wanaongeza uzalishaji na baadhi ya wanachama wa OPEC vilevile .
Lakini juhudi zonaongezwa mara dufu kuzidisha uzalishaji wa Renewable Energy ambapo kufikia mwaka 2030 mahitaji ya nishati za Fossil Fuels yatapungua kwa nusu.
mnashabikia vita ila mnasahau kuwa solution ya west ipo kwenye bara lenunikukumbushe mkuu inaitwa gas asilia,na aliye jaaliwa kuwa nayo ya kutosha ni Russia,na gas asilia haitengenezwi artificial kiwandani. hapo hakuna ufumbuzi utakaopatkana ,ufumbuzi ni kuipata rubble ili upate gas.No option. Ni sawa na tanzanite ni Tanzania pekee duniani ndiyo inayozalisha haya madini,na hakuna mbadala wa kuipata tanzanite zaidi ya kuichimba Tanzania ,same to Russia ili upate gas ya kutosha naya Bei rahisi unaipata Russia pekee,worldwide !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Porojo tu kama kawaida, Tupe uthibitisho wa bei na nchi ambazo zimeikataa.Hio gesi ya Marekani bei ni. Mara 3 ya Urusi Haiwezekani ulaya kununua nchi kibao za ulaya zimeshaikataaa.
Umewahi fanya Biashara ipi Mkuu? Nguo tu kutoa China mpaka ikija hapa bei mara 2 sembuse gesi?Porojo tu kama kawaida, Tupe uthibitisho wa bei na nchi ambazo zimeikataa.
Wewe hujui namna gesi inavyochimbwa na wala shipping cost sio kubwa kihivyo. Sasa kama Tanzania tunaagiza gesi kutoka nje na tumainunua kwa bei kubwa wakati theluthi mbili ya wananchi ni maskini sasa Ulaya ndio watashindwa.
Ulaya hawako tayari kununua gesi ya Russia kwa bei nafuu ili tu kumsapoti dikteta Putin kiuchumi, hawako tayari.
Watu wakielezwa kuhusu Russia na BBC, cnn au DW huwa wanafikiri Russia Ni Kama Madagascar tuRissia ni taifa kubwa wamendelea katika kila nyanja, so ww umeelezea ila Russia wanajua kuliko wewe.