Nimeshaielezea hii ni mambo ya kitaalamu ambapo nina mashaka kama unaweza kuelewa.Yaani ndo kwanza kunakucha.........andaeni tu omo za kutosha kutoa mapovuView attachment 2172830
Nenda kabishane nao.................mwaka huu viwanda vya sabuni vitauza sana .........ongeza povuPorojo tu kama kawaida, Tupe uthibitisho wa bei na nchi ambazo zimeikataa.
Wewe hujui namna gesi inavyochimbwa na wala shipping cost sio kubwa kihivyo. Sasa kama Tanzania tunaagiza gesi kutoka nje na tumainunua kwa bei kubwa wakati theluthi mbili ya wananchi ni maskini sasa Ulaya ndio watashindwa.
Ulaya hawako tayari kununua gesi ya Russia kwa bei nafuu ili tu kumsapoti dikteta Putin kiuchumi, hawako tayari.
Babylon kwisha habari yenu.................kamalizaneni na CNN wenu huko na matango pori yenuNimeshaielezea hii ni mambo ya kitaalamu ambapo nina mashaka kama unaweza kuelewa.
It's a defense mechanism to try to salvage their currency from depreciation and it's a strategy that won't hold out for much longer.
fake news ndio watalokuja kulisemaBabylon kwisha habari yenu.................kamalizaneni na CNN wenu huko na matango pori yenu
Kama walishindwa kuzui dollar ya u.s.s.r isidondoke na kushindwa kuweka vibaraka Ukrain mwishowe kutumia mabavu tuki achana na Nyuklia hamna super power hapo mkuu.Unafikiri majasusi ya kremlin hayajui kujipanga!!?