Mtanyooka tu mabavicha wakubwa nyie!
Ulitaka ateuliwe Lisu?
Ndio ajira zilizobakia hizo,
Serikali imegota kwenye kutengeneza ajira,
Siasa imebakia kuwa ajira yenye uhakika zaidi.
Ana tatizo gani?Et Nikki wa pili nae DC , hii nchi hii imekosa maono
Yaani bado mnaishi maisha ya JKN leo mwaka 2021?,ama kweli tumechelewa kweli kweliJKN aliwahi kusema, "...tuhuma tu ingetosha kumtoa waziri wake kwenye baraza..." kwanini utuhumiwe wewe na si mwingine?
Mfano, Albert hakutuhumiwa, aliyafanya na tukaona kwenye mitandao, yeye na Giggy, chama kikamuona hatoshi kuwa mwakilishi wa wananchi bungeni, leo anaenda kubeba Taswira ya wilaya na kufanyia maamuzi wananchi zaidi ya jimbo alilokataliwa!
Si nasikia Muro ni kama wale tu?
Kuna wakati ni bora kuwapandisha hawa watendaji wa kata, tarafa, watumishi wa halmashauri, wilaya na mikoa kwenye hizo nafasi kuliko kuleta mtu kutoka kusikojulikana.
Usaliti ndio nini?,nani alimsaliti nani?Wateuliwe wasaliti tunyooke sisi kwa lipi , nyinyi mbona mnatelekezwa tu miaka yote ?
Haiba gani?,bado mnaishi zama za mawe.Hana madini yyte Yule , shule kitu gani , haiba yake inatosha kumuondoa kwenye hyo kazi .....!!! Kuna sku mtu kama amber ruty atakuja kuwa DC sababu Tu kapita pita school
Thamani ya ukuu wa Wilaya ni ipi?.Nakubaliana nawe kwa 100 %. Vyeo vya Ukuu wa Wilaya vilianza kushuka heshima toka JK alipoingia madarakani. Same as vyeo vya Wakuu wa Mikoa.
Hasira za nini wivu tu tuliwaonya kuwa Magufuli = Samia hamkusikia hivi kuna mlevi kama Mbowe? Aliondoka tu Magufuli hakuondoka na mfumo wa CCM
Nani msafi sasa,Mwenyekiti wenu?Msando , mshirika wa Giggy money
Eti hatuna Rais,alafu unasema Nchi imebalance,nani ameibalansisha?,hamjitambui.In short hatuna Raisi, Chadema wanachelewesha amsha amsha , nchi sa hv ipo balanced....!!! Wananchi wengi hawana imani na huyu mama ukiachilia mbali waliobanwa pumbu na jiwe
Mfano, kuhusu mhalifu sugu sabaya mbona watu walitoa maoni mara nyingi lkn mteuzi wake hakujali kamwe?tujifunze kuwa na heshima kwa wateuliwa na tuwape nafas ya utekelezaji wa walioaminiwa na mamlaka husika. Na kwa vile wataongoza miongon mwetu, wakionyesha kupwaya tutoe ushauri kwa wakat huo....
Rais huwa hakosei.Kwa huu mkeka mama amechemka sehemu kubwa sana.
Leo nimeamini kua akina nasari, jua Kali na mashinji waliuza utuu wao.
Hadi akina Chopamchompange... [emoji1787]Kwa huu mkeka mama amechemka sehemu kubwa sana.