The bold: Waraka

mwekundu
Huyu Mbasha ni mpuuzi sana.

Mbasha ni mpuuzi na kwajima ni mshenzi sana kumbe ni muuza sembe?nimejua leo jamaa naona na yeye anajaribu kumwaga ugali
 
Last edited by a moderator:
Mbasha ni mpuuzi na kwajima ni mshenzi sana kumbe ni muuza sembe?nimejua leo jamaa naona na yeye anajaribu kumwaga ugali



Naona Mbasha anazidi Kujiumbua, Kuchafuka kwa Flora Hakutamfanya Mbasha awe salama.

Ni bora angetulia aangalie anawezaje kutatua matatizo.

Kuhusu Gwajima kuuza Sembe inawezakana. Alishakiri kuwa kabla ya kuwa Mchungaji alikuwa mshenzi tu.
 
mmh mi namshangaa hayo mbasha

siku zote hakujua eeh? Hadi kabaka ndo akajua, yeye ajibu tu amebaka au hakubaka?

Kaamua kulipiza, ila hapo ametengenezewa muvi inavyoonekana, flora alishajua kuwa maovu yake na gwajima yanaenda kujulikana ndipo walipoamua kumtengenezea muvi kijana wa watu, shame on u Flora, Mungu anayajua yaliyomo ndani ya vifua vyenu na atawalipa hapa hapa duniani.
 
Mwanamke -------- ataivunja ndoa yake kwa mikono yake, mkuu the bold aka Mbasha huyo mwanamke hakufai kabisa, na huo sio mwisho wa maisha, maisha yataendelea, Muombe Mungu na atakuonyesha njia.
 
Naona Mbasha anazidi Kujiumbua, Kuchafuka kwa Flora Hakutamfanya Mbasha awe salama.

Ni bora angetulia aangalie anawezaje kutatua matatizo.

Kuhusu Gwajima kuuza Sembe inawezakana. Alishakiri kuwa kabla ya kuwa Mchungaji alikuwa mshenzi tu.

Na bado anaendeleza Ushenzi wake.
 

Gwaj ni Mtumishi wa mungu au Mungu??????
 
Wanaume Aina Ya Mbasha ni Janga Kwa Taifa ..


Jamaa anakuazima Mke, nawe unamuachia Moro unarudi dar... Unajua kuwa Jamaa anagonga, Bado unakenua tu Meno..

Ningekuwa na Mamlaka ningeamuru utandikwe Bakora tano kwa kuaibisha Wanaume..

Pumbaf zako.

Nshenzi kabisa akui
 
No wonder Gardner hataki kuacha kazi yake ya utangazaji,yaaan kazi yako iwe kum'manage mkeo tuuu basi....khaaaa...ni zaidi ya umarioo....
 
Nina ushuhuda wa dada yangu jinsi alivyonusurika kutafunwa na mtumishi mmoja huko Mtoni kwa Aziz Ali miaka ya 2000. Kweli dada hadi Leo hawaamini tena hawa Watumishi "wapya" Baki na imani yako
 
Makosa ya Mbasha ;
-kama alijua Gwajima anazini na mke wake alichukua hatua gani.?
-Kwa nini aendelee kusali kwa mtumishi ambae sio mwamiminifu tena kwa ndoa yake, pia muuza Sembe na mfufua misukule ya uongo.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…