The bold: Waraka

The bold: Waraka

daah huyu jamaa (The Bold) ni muongo maana Flora aliakuwepo Dar kipindi cha xmas na alialika watu kwake na picha zipo anyways... wanaoamini sawa..But mwandishi sio mbasha mwenyewe maana hana hii akili; ila ana data kutoka kwa mbasha...may be...God will stand to reveal the truth!!! Mimi sio kama Wale!!!

Samlove una id ngapi wwewe
 
Last edited by a moderator:
The bold pole bhana tafuta maisha achana na huyo malaya.

We usikubali wamekumwagia mboga yako na wewe mwaga ugali wao hawa watumishi uchwara wanatakiwa washtakiwe wanawafilisi sana watanzania huku nyuma ya pazia wakiyafanya ya firauni mimi nitabaki kuwa KKKT mpaka naingia kaburini eti nafufua wafu thubutuuu uchawi mtupu na Mungu ndio anawaumbua wanafiki sasa wacha movi iendelee.
 
Last edited by a moderator:
we hujiulizi kama mbasha alijua mkewe analiwa na Gwajima na zaidi sana Gwajima anauza unga..mbona aliendelea kusali pale...mpaka agundulike amebaka ndio aongee...hahahahaha ... yaani kicheko

mmh mlokole huyo mnaenda mwezi wa nane katika mkutano

ETI KAMA ALIJUA ANALIWA..duh maneno ya kondoo wa gwajima
UNAKUJA KUSUTANA HUMU ,,why usipambane kiroho
 
as usual misukule kurudi ndio kazi yetu..tutaweka online videos.. wakirudi; na Iringa wapo wengi sana...

Watu wangu wanaangamizwa (na watumishi wa sample ya kwenu) kwa kukosa maarifa. Mungu anisamehe kwa kumsemea mabaya pastor wenu.
 
okay nakupa link itakayo kupeleka umuone mbasha na flora wakiwa moro kipindi mkutano tumehama kutoka uwanjani ...

na tarehe tafadhali sawa

na ni kipindi gani

na kuwe na udhibitisho kama ni kweli wanatoka moro

usije ukatupa link wapo katika gari tu sawA

maana issue ni je alirudi nae au alimua ha mchungaji akawa nae kipindi hicho

tunahitaji tujue mbivu na mbichi

mtumishi wa bwana awe salama au si salama dont logout till we make it down tonight
 
ujue nn mm ningeweza kumwamini huyu jamaa kama akisema ukweli lakini anadanganya wazi; Mbasha na mkewe waliodoka na mama Gwajima na watoto wa mchungaji Gwajima kurudi Dar for xmas then wakarudi tena kilombero ambapo tuliondoka nao tarehe 30 sasa kusema flora alibaki Moro ni uongo ambao unanifanya niamoni kuwa the bold si mbasha na kama ni mbasha wanamtumia kupata data ili wazigeuze... okay sikulazimishi uamini ..lakini ndio ukweli huo... Gwajima aongei chochote maana hamna hoja ya kujibu hapo..ni uongo tu..

Aahahahahha! Unajaa kwenye kumi na nane sasa. Taraatibu The bold, anawapa dose. Nakumbuka Mbasha alipokamatwa ukalithibitishia jamvi kwamba kutakuwa hakuna story from The Bold coz yeye ni Mbasha. Huyo hapo The bold sasa.
 
Last edited by a moderator:
Watch "Kafara ya damu part 2" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=XcQ4aMuW39s&feature=youtube_gdata_player hii video inamuonyesha Mbasha na Flora wakiwa eneo ambapo mkutano ulihamia mara baada ya kutoka kwenye viwanja ambavyo tulihama sio kwasababu ya maneno ya uchochezi ni kwasababu eneo lipo karibu na hospitali... wakasema wagonjwa wanasumbuliwa na kelele..huyu ni muongo asilimia mia ..


jaribu kuicopy hiyo link then follow

umesema unatupa wakiwa wanarudi pamoja plz BE WISE
 
haha haha tukiwa kwenye gari private ..usikuwake tukafikia kwao; mind you Gwajima tumemwacha kilombero anaendelea na Crusade...then tukatengeneza song la happy birthday daddy Gwajima ..amabo uliimbwa siku ya mwaka mpya kanisani.

nataka the bold akanushe haya maneno kwanza ndipo nije na picha kudhihirisha uongo wake..

wewe mungu anakuona haya sisi hatujui ila usitake tukubali uongo
 
Nimejifunza mengi kutoka kwako The bold binadamu tunakutana na magumu kila kukicha pole sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Tafadhali: mods nimejitahidi kadili niwezavyo kutotaja majin ya watu kuepuka kuviolate sheria za jf, naomba muache huu uzi!!


Wakuu,

Kwa makusudi kabisa nimekuwa nikiliepuka kujibu swali kaka mimi ni mme wake dada yetu muimbaji ama la, laiti ningekuwa ndiye ningependa yeye na mchungaji wasome hapa;

“ mchungaji, ...yapata kama wiki mbili zilizopita nilihoji kupitia vyombo vya habari juu ya ‘utajiri' wa ghafla wa mkewangu Mara baada ya mgogoro kutokea kati yangu na yeye, bila kupoteza muda mkewangu akanijibu kupitia gazeti moja la udaku kuwa amechangiwa fedha kiasi cha milioni 9 na waumini kanisani kwako.

Mchungaji, naomba uelewe kuwa nafahamu juu ya mipango yote mnayoipanga kuliko unavyodhani!! Kwanza ni kweli kuwa mlipitisha harambee ya kumchangia mkewangu, lakini kiwango kilichopatikana kilikuwa ni milioni 2 na laki tatu na si milioni tisa kama mlivyotangaza!! Lakini mlitangaza uongo huo makusudi iwe rahisi kutimiza malengo yenu ya kidhalimu mliyoyapanga juu yangu!!

Mnamo tarehe 3 mwezi juni mwaka huu, mlifungua akaunti mpya kwa jina la mkewangu katika benki ya crdb morogoro, na siku nne baadae mkewangu aliingiziwa fedha kiasi cha milioni 18 kutoka akaunti ya MWANAMAPINDUZI FOUNDATION ambayo hyo accnt ipo nmb mwanza! Ambapo asasi hii inamilikiwa na mchungaji wako msaidizi Maximilian Machumu pamoja na mbunge wa viti maalumu kutoka mikoa ya kaskazini!

Nashukuru kama ulimpa fedha hizi kwa nia ya kumsaidia, lakini hofu yangu ni kuwa kwanini kitendo hiki kifanyike kwa kificho?? Kwanini mtumie njia za siri ambazo si rahisi watu kujua kama mmempa fedha?? Pia napatwa na mashaka zaidi kwani siku moja baada ya fedha hizi kuingizwa taarifa ya benki inaonyesha kuwa kiasi cha milioni sita cash zilitolewa na siku hiyo hiyo wapo waandishi watatu wa magazeti ya udaku ambao wanaonekana waliingiziwa fedha kiasi cha milioni moja kila mtu na aliyedeposit hizo fedha ni moja ya viongozi wako hapo kanisani!! Kuna nini hapo?????

Mchungaji, naomba tusizunguke mbuyu! Ni dhahiri shahiri kuwa umekuwa na uhusiano wenye utata na mkewangu kwa muda mrefu sasa! Binafsi nilianza kupata wasiwasi mwaka jana mwezi desemba tulipoenda katika mkutano wako wa injili pale morogoro! Mimi na mkewangu tulifikia hoteli ya kingsway msamvu na wewe ulifikia Nashera Hotel maeneo ya forest hill!! Baada ya siku tatu za mahubiri mkutano wako ulipigwa marufuku na serikali kwasababu ya maneno yakichochezi uliyokuwa unahubiri, hvyo ikatulazimu waimbaji wote turejee dar es salaam!! Lakini uliniomba mkewangu abaki na wewe kwani ulipanga uwe unawafanyia watu maombi pale kanisani kwako kihonda kwa muda wa siku nne!! Nilikubali na nikamuacha mkewangu nyumbani kwa dada yako pale mazimbu!! Lakini kesho yake dada yako alisafiri kwenda mwanza na ikabidi mkewangu arudi hotelini kingsway!! Kwaa taarifa nilizonazo na nimezithibitisha kupitia wahudumu wa pale hotelini ni kuwa mkewangu hakuwahi kulala pale hata siku moja ingawa chumba kililipiwa kwa siku zote zile!! Unaweza kunijibu alikuwa analala wapi?? Je unaweza kunieleza kwanini mkewangu alikuwa analetwa nashera hoteli na taxi kila siku usiku!! Sibahatishi katika hili kwani hata namba ya dereva taxi ninayo!!

Yote haya nilivumilia, na hapa kati kati kuna mengi sana yametokea lakini nikajifanya mjinga nikajishusha nikavumilia kwa lengo la kulinda ndoa yangu isiharibike lakini naona wenzangu hambadiliki wala hamjishitukii sana sana mapenzi ndio yanzidi kuwa motomoto kati yenu!! Ulikuwa unategemea nivumilie mpaka lini, nijishushe kiasi gani, niwe mjinga kiasi gani??? Nilikuvumilia sana mchungaji lakini sasa imefika point hapana, imetosha lazima nikuondelee uvivu watanzania na dunia ikufahamu jinsi ulivyo na kitendo ulichonifanyaia na unataka kuniziba mdomo kwa kunitishia jela miaka 30!!! Wewe ni mpuuzi na shetani anaishi ndani yako... na nataka nikuahidi kitu kimoja kuwa NITAKUSHINDA! Najua utanisumbua sana kutokana na hela zako but at the end, I will be the last man standing!! Narudia tena, nitakushinda.!!

Bila kusahau naomba niongee na wewe pia mkewangu, hivi ni nini kilichokukuta ndani ya moyo wako??? How did we get here?? Je ni fedha zilizokufanya ukengeuke kiasi hicho au kuna kingine?? Kama unanichukia mimi kiasi hiki je, uwahurumii hata watoto wetu?? Mbona tunawatengenezea mikosi wakiwa wadogo hivi?? Hivi unadhani watoto wanajisikiaje watakaposikia kuwa baba ameenda jela kwa kosa la kubaka lakini aliyechongesha muvi yote hiyo ni mama?? Hivi kisaikolojia hawa watoto watakuwaje??? Si watakuwa huku wanatuchukia sisi wote wawili kwa aibu na mikosi hii tunayowatengenezea??? Kwanini tunataka kuwataabisha watoto kwa dhambi ambayo hawajaitenda???

Yes nafahamu nimekukosea mengi and am very sory for that, lakini basi embu kumbuka mkewangu nimekuvumilia mambo mangapi mkewangu, kumbuka makosa mazito uliyonifanyia lakini nikakusamehe ni sijamsimulia hata ndugu yako ama ndugu yangu ili kulinda heshima yako!! Kumbuka jinsi tulivyopogana na changamoto mbalimbali mpaka leo hii umefikia kuwa moja ya icons wa muziki wa injili hapa nchini?? Kumbuka shida, manyanyaso, dhuluma, kuchekwa na kudharauliwa ambako tumepitia mpaka leo hii tuko hapa!!!

Mkewangu, kwa miaka yote hii nimekubali nionekane bushoke tu huku watu hawajui kuwa mimi ndiye ninayechora ramani ya kila ishu yako!! Mimi ndiye nimekuwa nafatilia na kufanikisha kila kitu chako from scratch!!! Lakini nimekubali jamii inione bushoke kwani nilikuwa najua nini mimi na wewe tunatengeneza kwa maisha yetu ya sasa na baadae!!! Nini kilichokubadilisha mkewangu??? Fedha??? Au huyo mchungaji mwanamazingaombwe???

Hivi kweli kabisa umefikia hatua ya kulipa waandishi wa habari ili wanikandamize nionekane sifai katika jamii??? Ni nini kilichokuoata mkewangu??
Naomba uelewe kuwa binafsi siogopi kwenda jela kwasababu ya hiyo muvi mliyonizushia, kwani ni bora nikakae jela kuliko kuishi huru huku mkininyanyasa kiasi cha kuondoa utu wangu kama bidamu, lakini kinachoniuma ni familia yetu!! Kwanini watoto wateseke kwa sababu ya tamaa zetu binafsi!! Nikifikiria hilo naumia sana!

Najua kwa sasa inaonekana kama vile ni impossible kwa mimi na wewe kurudiana tena, lakini binafsi naamini tunaweza!! Najua haitakuwa rahisi kwani tumeharibu mno, lakini ni heri ya kujaribu kuliko kuendelea kufanya huu upuuzi tunoufanya sasa!!

Kumbuka hiki tunachokifanya sasa hatujajipaka matope sisi tu pekee, bali mziki wote wa injili Tanzania, na tusipotubu tukajirudi Mungu atatuhukumu kwa dhambi hii!!
Kumbuka kuwa hakuna kati yenu atakayeshinda katika hii vita, vyombo vya habari pekee ndivyo vitakavyo nufaika lakini mimi, wewe na mchungaji wote tuta loose!!

Mwisho nimalizie na wewe mchungaji, tulipokutana mara ya kwanza nilikuchukulia kama kaka na kama mlezi wetu wa kiroho!! Lakini umegeuka shetani mwenye pembe saba, umeparaganyisha familia yangu, umeleta maumivu makali kwenye ukoo!! Nakuonya tena kwa mara nyingine, muache mkewangu!! Huyo ni mkewangu, nilimtolea mahali mimi mwenyewe na wazazi wake waliniamini na kunikabidhi!!! Nasema niachie mkewangu!! Wewe ni nyoka, imefika time watanzania wakujue ukweli wako wewe mbwa mwitu mkali uliyevaa ngozi ya kondoo!!! Umedanganya watu vya kutosha na umefarakanisha ndoa nyingi sana kwa sababu ya kiburi cha pesa zako chafu za sembe!! Umeudhalilisha ulokole kiasi cha kutosha imefika time tuwaeleze watanzania ukweli na wakufahamu kuwa wewe ni nyoka!!
Sitakubali kuona ukiendelea kuitesa familia yangu, nitapambana na nitakushinda!!! Siogopi fedha zako wala connection ulizonazo, ni bora nife nikiwa nimesimama kuliko kuishi nimepiga magoti! Nitapambana na wewe mpaka mwisho ili historia isomeke vizuri ili hata wanangu wakiwa wakubwa wajue kuwa baba yao sikuwa lofa kiasi cha kupiga magoti na kuelekeza shingo kibla kuruhusu mdhalimu kama wewe uichinje familia yangu, bali licha ya umasikini wangu nilisimama kiume na kupigana kutetea familia yangu!!!

Narudia tena mchungaji, nitapambana na nitakushinda.."


- The bold

Afu sio lazima m quote thread nzima bhana tutawachoka muda sio mrefu wengine tunatumia vi tecno vidogo
 
Nimejifunza mengi kutoka kwako The bold binadamu tunakutana na magumu kila kukicha pole sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
umekuwa bonge la msukule nowadays.

hahahahaha Mkuu utanifanya nipaliwe na maji, namheshimu sana Mch Gwajma, namuonea huruma sana Mbasha lakini nataka nibaini ukweli sitaki kutumia hisia ktk hili suala maana ni zito sana.
 
the @Bold we ni mume wa yule dada yetu muimbaji au la?
 
Last edited by a moderator:
Nimejifunza mengi sana kutoka kwako The bold binadamu tunakutana na magumu kila siku mkuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom