The Guardian mnaniangusha. Kiingereza gani hiki?

The Guardian mnaniangusha. Kiingereza gani hiki?

mtoa mada kasomea chini ya muembe mbona hapo yupo sawa tatizo umekaririshwa ujaelewa soma tena usipo elewa uje uniulize
 
Hawajakosea hapo bwana we. Usitupigie kelele usiku huu. Unajikuta unajua sana Kiingereza kumbe upo sifuri kabisa.
Hata hivyo kuna sehemu wamekosea kwenye habari ya hunting. Wameandika "he is arrived in the US yesterday...".
hapo kweli
 
Swadakta; hivyo mleta maada yuko sahihi
'S' haina utata wowote, imewekwa s kwenye kitenzi 'review' kwa sababu Ministry ni Wizara na unaweza ukaireplace na It as a pronoun. Sasa Wizara/it unapoitumia katika nafsi ya 3 umoja lazima kitenzi kiwe 's'. As such, kwa Kiswahili hiyo heading inasomeka, Wizara kupitia sheria juu ya maendeleo ya jamii, shida iko wapi? Unaweza sema, Rais kutembelea Marekani (President Samia/She visits to America. Moja ya matumizi ya simple present tense ni kuelezea jambo ambalo halijafanyika, sio lazima utumie future.
 
Siku njema! And, thanks for the academically stimulating arguments. Nimetamani kuonana na wewe uso kwa uso siku moja lakini natambua kuna suala la ID zetu hizi tunazoficha ili tuendelee kutoa mawazo yetu hapa kwa uhuru zaidi.
Nitakujibu baadaye ngoja kwanza tulijenge taifa letu zuri huku. But, all in all, unaweza kuwa older chronologically, ila uko way younger kwenye hiki kitu.
 
Hapo wewe una shida ya subject na object. Noun inayopaswa kuangaliwa ni ^ministry^ (subject), na wala siyo ^laws^ (object)!
Nashani huijui naun vizuri hapa tunaangalia ni noun gani imetumika.

When you use a collective noun e.g ministry verb lazima iwe kwenye singular form tofauti na hapo lazima kuwe na neno Kati ya ministry na reviews.

Tupo pamoja hapo?
 
'S' haina utata wowote, imewekwa s kwenye kitenzi 'review' kwa sababu Ministry ni Wizara na unaweza ukaireplace na It as a pronoun. Sasa Wizara/it unapoitumia katika nafsi ya 3 umoja lazima kitenzi kiwe 's'. As such, kwa Kiswahili hiyo heading inasomeka, Wizara kupitia sheria juu ya maendeleo ya jamii, shida iko wapi? Unaweza sema, Rais kutembelea Marekani (President Samia/She visits to America. Moja ya matumizi ya simple present tense ni kuelezea jambo ambalo halijafanyika, sio lazima utumie future.
Ukusoma kontenti na tafsiri yako unaona ni sawa kabisa?

Labda nikuulize ministry ni aina gani ya noun?
 
Kivipi naomba ueleze shida iko wapi hapo!
Ministry ni collective noun hivyo tukiwa na collective noun lazima verb iwe singular unless the subject is acting as an individual entity

Ukisoma content utaona mwandishi akisema the government is working with stakeholders; In this case mwandishi kakosea kutumia s kwenye verb kwaninwuzara hiyo kaina inaifanya kwa kushirikiana na wadau wengine.


Nimeeleweka?
 
Hii ni pure future tense mkuu, hakuna present action yoyote hapo.

This is synonymous to "Magufuli will inaugurate JNHPP"

Ni issue ya modal verbs tu hapo.


This is Simple Present Tense and the action is already in place or has shortly happened... Siyo lazima kuwepo na a recent plan.
Inaugurate ina maana gani?
 
Back
Top Bottom