AKILI KIJIKO
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 405
- 589
This is meMimi nina changamoto nyingi mpka sasa nina miaka 30 , Lakini sijui ni nini lengo la mimi kuwepo duniani, Kwa sababu nimejitaidi kufanya niliyoweza kufanya, Matokeo yake nimeambukia kutengwa, kuachishwa kazi,mahusiano pia nimekua nasubiri labda sku moja mambo yatabadilika, Amani ya nafsi sina, nina mda mchache sana ambao akili yangu hutulia .
Mkuu sijapata jibuHakuna kutu kitakachokuja kuja kuonekana maishani mwako kama subconscious mind yako itakuwa haijavibrate na kurespond kwa idea yake...
Meaning kwamba maisha yoyote yataonekana kwako kama uliihusisha mind yako before... mind yako ndo yenye kuamua kije au kisije .. kila kitu kipo na hakipo at the same time..
Kila kitu kipo na hakipo kwa muda huo huo kama mind yako itakuwa haijapewa idea ya kuwepo au kutokuwepo kwake...
yani wale jamaa walificha mambo mengi sana kwa mafumbo makubwa sana ..
Zaidi hapa, unamaanisha mind zetu hazina nafasi ya vitu vipya?Hakitaonekana kamwe kama utakuwa hujakifikiria kwenye mind yako..
Labda kwakuwa matunda yanalinda mwili.Ndio ilivyo kiongozi. Tunapenda tunda kimasihara huku hapana.
Hii ni kwa wachache
Ukitaka kuiweza japo kwa asilimia kubwa badilisha mazingira uliypo nenda kwingine. Yaan kama upo ndani toka nje kama upo nje sogea sehemu nyingine. Kama ni mtu wa dini na imani kwa MUNGU omba akusaidie kuliepuka.Da vincci Hii sauti ya Roho mtakatifu bana imeshaniletea majanga baada ya kuidharau sana...
Ushawishi ni mkubwa sana kuliko ile sauti isemayo kweli daima, kabla hujafanya tendo baya, itakuja hiyo sauti kwa upole itakwambia usifanye hilo jambo, ndipo babalao devil full kukushawishi na kuipotezea ile voice, utatenda hilo jambo, kifuatacho sasa ni kilio na kusaga meno..[emoji26]
Hapo mwishoni ni mimi kabisa. Hua napata sifa kadhaa kutoka kwa watu, watu hunjona nipo kawaida sana naenjoy life, ila mimi najiona nipo kwenye tabu, nipo gereza ambalo sioni ukomo wa kifungo. Najiona nafsi ikiwa gerezani. Sinakumbu kumbu kama nimewahi kuipata furaha maishani.Mimi nina changamoto nyingi mpka sasa nina miaka 30 , Lakini sijui ni nini lengo la mimi kuwepo duniani, Kwa sababu nimejitaidi kufanya niliyoweza kufanya, Matokeo yake nimeambukia kutengwa, kuachishwa kazi,mahusiano pia nimekua nasubiri labda sku moja mambo yatabadilika, Amani ya nafsi sina, nina mda mchache sana ambao akili yangu hutulia .
Hapo mwishoni ni mimi kabisa. Hua napata sifa kadhaa kutoka kwa watu, watu hunjona nipo kawaida sana naenjoy life, ila mimi najiona nipo kwenye tabu, nipo gereza ambalo sioni ukomo wa kifungo. Najiona nafsi ikiwa gerezani. Sinakumbu kumbu kama nimewahi kuipata furaha maishani.
Ukitaka kuisikia vizuri.. ukiwa unataka kufanya jambo baya. Utaisikia inakuambia kiupole sana (hio ndio original) baadae Utaisikia sauti nyingine inakupa amri ya kutenda jambo hilo (Hio ni fake inayotoka gizani)Labda kwakuwa matunda yanalinda mwili.
Somo nimelielewa, Ila hiyo inner voice inakuja wakati gani? Au Ni Ile Hali Kama unawaza Jambo flani, unakuta mtazamo mkubwa then unakuja mtazamo mdogo, possibly uko tofauti kabisa na mkubwa?
Pole sana mkuu DS kwa yaliyokupata. Nikusahihishe kua sauti ile ya roho mtakatifu hua haimletei majanga mtu. Ni wewe binafsi ndio ulijiletea maana yenyewe ilifanya kazi yake ya kukushauri mema kwenye jambo lako. Ila hukuisikiliza. Mkataa pema pabaya panamuita..Da vincci Hii sauti ya Roho mtakatifu bana imeshaniletea majanga baada ya kuidharau sana...
Ushawishi ni mkubwa sana kuliko ile sauti isemayo kweli daima, kabla hujafanya tendo baya, itakuja hiyo sauti kwa upole itakwambia usifanye hilo jambo, ndipo babalao devil full kukushawishi na kuipotezea ile voice, utatenda hilo jambo, kifuatacho sasa ni kilio na kusaga meno..[emoji26]
MateMe ningependa kuuuliza Jambo hapa.
Ni kivipi nitaweza kung'amua hiyo inner voice inayonitaka kufanya mema yaliyo bora, ninapoamua kutuliza akili yangu na kuwaza juu ya Jambo linalonitatiza au juu ya maisha kwa ujumla naskia sauti zaidi ya mbili zinasema nami na kwangu Mimi nashindwa kujua ipi inafaa kufuata na sauti hizi zingekuwa mbili ningedhani moja ni ya muovu ibilisi na nyingine ni roho mtakatifu lakini kwavipi Mimi naziskia sauti zaidi ya mbili.
Shida mara nyingi hua tunasoma fani kwa sabubuAmen mkuu...pia kuna kitu umekizungumza japo hujakiandika ni vile kuwa kuna kazi fulani kila binadamu amepewa na Mungu....mfano unaweza kusomea udaktari ukapata kazi ila mafanikio madogo na huenjoy kazi yako kumbe kazi yako ni uuzaji wa nafaka au kilimo.....
Interested.Furaha maishani, unajua nini?
Nafsi uhangaika kwa sababu kila wakati haiko kwenye equilibrium na mwili, unahangaika Kwa sababu mwili hauishi kwa kulitumikia kusudi lako, kwa lugha nyingine unakumbushwa kuwa mambo yako hayako sawasawa, shtuka na jipange tena ili urudi kwenye mfumo utakaokupeleka kwenye kutumikia kusudi, ndiyo maana unakosa amani na unakosa utulivu, unajiona kama uko kwenye kifungo, indeed yes huitwa”vifungo vya nafsi”. “Soul ties”
Unajifunguaje sasa urudi kwenye kuishi kusudi ili uwe free???
Ni somo la peke yake pia.
Mate..Kongole zako kaka.
Sijui nitakua nje ya mada au lah nizungumze kitu kidha swali litafuata.
Nimekua kijana tofauti kimtazamo hua nikikaa na vijana (japo sipendi kuchangama kwenye halaiki hua nakua mpole) najiona/najihisi wa tofauti ndani yangu kwenye akili. Vile hua najihisi sijui nielezee vipi naona ni kitu hakielezeki kiwepesi na urahisi.
Nina maisha ya kawaida sana (kiuchumi) wakati mwingine maisha ya kiuchumi huniendea kombo ila sijawahi kuyaona magumu hata kidogo mpaka hua najishangaa ni sawa na umekanyaga kaa la moto ila hauoni maumivu japo unaona unaungua.
Sijawahi kujiona fukara wa kiuchumi sijawah kuona umaskini ndani ila matendo ya nje ni kujikongoja
Kwanza uelewe wewe unaishi tu ila usukani/Destiny wa maisha yako upo kwa aliyekuumba.Swali langu je, ndio sauti ndani mwangu ikizungumza na mimi juu ya baadae yangu ijayo? Au ni mawazo tu najiwazia yananitia moyo?
Mawazo, Ushauri wako na wengine pia.
Swali gumu lisilojibika kwa wengi ni WHO AM I?
Nb. Nafsi/Spirit haihusiki juu ya hilo mkuu. Inayohusika ni roho yako, Roho/soul yako ndio kila kitu chakoJe kuna uwezekano wa kutokea mgogoro wa nafsi na mwili. Nafsi inataka hiki mwili unataka hiki, Hapo unakuta kuna shida kiroho? Ama ni jambo la kawaida.
Najihisi kukosa utulivu wa nafsi kwa kitambo sasa. Kiasi chakua *sometime yes somwtime no*
Ahsanate sana Brother kwa kunipa sifa hiziNimefurahi sana kukutana na hilo bandiko lako mkuu. wakati naelekea kumalizia kitabu cha Rick warren.. Hakika kuna jambo la pekee sana umewekewa ndani ya ko ambalo lina kusudi kubwa mno La Mungu kukuumba....Sauti hiyo ya ndani iendelee kukuonesha kwa wazi na uwepesi zaidi na zaidi... Sifa na utukufu apewe Mungu kwa namna anavokufunulia mambo kwa namna ya tofauti..Your The best Brother[emoji119]
Nimekuelewa mate. Hope Yatakaa sawa.Mate..
Safi sana, mimi ndivyo ninavyoishi pia. Furahia hivyo ulivyo na wala usijione wa tofauti. Ukianza kujiona haupo sawa jinsi unavyoishi utampa chansi shetani apenyeze roho ya tamaa ya vitu/mali. Furahia hali yako mkuu hakuna kitu kibaya kama tamaa ya mafanikio. Jipongeze sana kama umeweza kudhibiti hali hiyo.
Kwanza uelewe wewe unaishi tu ila usukani/Destiny wa maisha yako upo kwa aliyekuumba.
Kama inakuyia moyo ni sawa pia. Duniani cha msingi sio pesa hatukuja kutafuta pesa. Utajiri mkubwa kwa binaadamu ni furaha ya maisha anayoishi,haijalishi maisha yakoje.
Mkuu wewe ni Roho iliyotoka kwa Mungu. Swali hilo linajibik vizuri sana..Wewe ni kusudi. Ndio maana inatakiwa ujue kusudi lako
Nimeelewa mkuu.Mate..
Safi sana, mimi ndivyo ninavyoishi pia. Furahia hivyo ulivyo na wala usijione wa tofauti. Ukianza kujiona haupo sawa jinsi unavyoishi utampa chansi shetani apenyeze roho ya tamaa ya vitu/mali. Furahia hali yako mkuu hakuna kitu kibaya kama tamaa ya mafanikio. Jipongeze sana kama umeweza kudhibiti hali hiyo.
Kwanza uelewe wewe unaishi tu ila usukani/Destiny wa maisha yako upo kwa aliyekuumba.
Kama inakuyia moyo ni sawa pia. Duniani cha msingi sio pesa hatukuja kutafuta pesa. Utajiri mkubwa kwa binaadamu ni furaha ya maisha anayoishi,haijalishi maisha yakoje.
Mkuu wewe ni Roho iliyotoka kwa Mungu. Swali hilo linajibik vizuri sana..Wewe ni kusudi. Ndio maana inatakiwa ujue kusudi lako