Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
binafsi nimeelewa hasa hapo kwenye inner voice.Pole sana mkuu. Jitahidi usome upya
Mkuu nashukuru kwa uzi na elimu nzuri ambayo kuipata ni nadra sana na jinsi ulivoielezea,barikiwa kwa ilo mkuu.Ahsante sana mate.
More.bless.to you too
adi uwa natabasamu aiseeHuu uzi ni nadharia tu za kufikirika ila hakuna evidence yoyote ya kuthibitisha hizi dhana.huyo alitesa hapa duniani unaishi pekeyako wengine unaowaona ni just personal manifastation sijui ndio muongo kabisa.
Nafikir ni kwa 80% mkuuDa'Vinci nimeona sahemu umeandika kuhusu “Free Will”, wewe unaona (Fikiri, Dhani, Hisi) Free Will kwa binadamu ni kwa kiwango cha asilimia ngapi?
Mkuu sorry naomba nisaidie kituKwanza hongera kwa lililoshiba, kuandika sio kazi ndogo bila kujali umeandika nini. Wewe umeandika kitu cha maana.
Majibu yatatofautiana kutokana na sababu mbali mbali kama imani, malezi, kiwango cha uelewa, mazingira n.k.
Kwa ufupi, kuna kitabu ameandika Rick Warren kinaitwa The Purpose Driven Life, kimejaribu kuelezea kusudi la mwanadam kuwepo duniani.
Nikitulua naweza kuleta muhtasari na maoni yangu pia.
Kwa sasa, barikiwa sana mkuu
Mkuu sorry naomba nisaidie kitu
Personally naona ni 50/50 | 50% ni Free Will na 50% ni system (Chip/Card) binadamu anaendeshwa kwa programmed systems.Nafikir ni kwa 80% mkuu
(Last time naona id yako ilikua expert. Umefanyaje kua platinum.?)
Unamjua Saint Tomass Aquinas.? Most world's philosopher ranked no 6.Personally naona ni 50/50 | 50% ni Free Will na 50% ni system (Chip/Card) binadamu anaendeshwa kwa programmed systems.
Last Time nilikuwa Platinum mkuu ilikuwa ni thread ya Director Spielberg,.. All in all kuwa Platnum ni Authentic 🙈 I think au kuwa na mchango kwa JamiiForums na Jamii yako. 🌚
Hapana Bro!Unamjua Saint Tomass Aquinas.? Most world's philosopher ranked no 6.
Aliandika kitabu hiki..Aliweza kua moja ya mwanafalsafa mkubwa duniani kutokana na kufunuliwa kwa hali ya juu kuhusu masuala ya Free will..
View attachment 1488957
Oh Oke, that's greatAlikua na uwezo mkubwa wa kupambanua masuala ya free will mpaka Atheist wanakubali..
Alikua very enlightened na roho mtakatifu. Ndio maana tukamterm as Saint
Mkuu huwa na appreciate Sana nyuzi zako. Ni mmoja wa watu wachache ambao nikisoma nyuzi zao ubongo Wangu unashiba.When the inner voice start to whisper to follow the furthest star..That voice inside is who you are
Mkuu Kuna sorry kwa kutoka nje ya madaufahamu mkubwa na wa kiwango cha juu kwa mwanadamu ni pale atakapogundua kuwa hapa duniani anaishi peke yake..
Unaishi wewe mwenyewe...hapa duniani ninaishi mimi mwenyewe na sio wengine hao ninaowaona(unaowaona).
Sikuja duniani kwa bahati mbaya na ndo mana mpaka sasa hivi hujafa au sijafa mpaka utimize( nitimize) kile ulichopangwa (nilichopangiwa)kukifanya katika quanta times( muda uliogawanyika ili kila kitu kifanyike kwa wakati maalumu kulingana na kukomaa kwa ufahamu wa mind yako)
Ni Saikolojia pana sana kuelewa hii dhana.. ila ukweli ni kwamba upo peke yako katika ulimwengu huu.. the other (people) and suroundings are just your personal aspects of personality(ideological view of manifestation)..
Ngumu kuelewa hapa...
but you are just alone in this universe ndo mana life pathy yako ni tofauti na ya mwingine (ulimwenguni kote)..
This is the matrix of your life... you are living alone and the manifestation of your ideas is that created following your idea of perception.
Your body(avotor) is just interacting with your own manifestation za kile mind yako iliwaza kipindi cha nyuma..
Tafuta muda kaaa peke yako halafu utafakari juu ya interactiom yote unayoipata ,utagundua kuwa ni product ya your own perception ambayo imezaa manifestation katika creation form ..
Kaa alone ufikirie kuwa kwanini hapa duniani pattern yote ya manifestation inaihusisha mind yako kwa asilimia 100!!! namanisha kwanini huwezi ishi kwa mbinu anazotumia mwingine?!! lazima mtatofautiana mtizamo na jinsi ya kumanifest mambo..
Kila unachokiona ni matokeo ya your own perception of ideas that turns into physical manifestation..
Ulimwengu ni wewe mwenyewe and nothing else...
The entire population of different things you interact is just a product of your every idea you had before today..
Kila wazo unalolipata sasa hivi linajenga manifestation badae na hii inategemeana na frequency ya vibration ya wazo lako katika kusynchronize na universal pattern of true nature on reality.
........... ndo mana time manifestation inatofationa na frequency inayopresent idea yako...
Hutakuja kuishi out of your own imagination..
And this is the game life-trick ambayo watu mabilioni bado hawajaijua...
If you change your idea from today hakika hata manifestation ya kitu chochote utakachointeract nacho kitabadirika na matokeo ni jinsi mind yako ilikichukulia kwa vibration frequency flani.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji101][emoji101]
""(vibration frequency ikiwa kubwa ndipo time manifestaion inakuwa short hence kinawahi kuonekana katika physical reality na kama vibration frequency ni ndogo hata time manifestation inakuwa ndefu hence kitachukua muda kuja kuonekana katika physical reality.. but kila wazo kichwani mwako one day menifestation into physical reality itakuja kuonekana)"""
Hapo ndo tunapata tafsiri sahihi ya usemi wa yule paka wa Schrödinger kuwa kuna option mbili au nne za kumwelezea paka akiwa ndani ya box..
Paka aliyeko ndani ya box anaweza kuwa hai au kafa kama utachukua maamuzi ya kumwangalia....usipomwangalia hakuna jibu sahihi hapo ila mpaka utakapochungulia ndo yes au no ila probability ni 0.5 kuwa paka yule kafa ndani ya box au yu mzima[emoji4]
Mpaka leo ni magwiji wachache sana wameelewa juu ya tafsiri halisi ya ile paradoxy katika quantum level... ukiwa na brain ya sisimizi hutaelewa jamaa alikuwa ana maana gani..( maybe somedays i wana make this clear juu ya paradoxy ya yule paka anapresent nini katika quantum level of awareness..
Katika maisha haya ,manifestation ya kitu chochote katika macho ya kuonekana inategemea na kama idea yake umeipresent kwenye subconscious mind yako au laaa...
kitu chochote kitaonekana katika mazingira ya kawaida kama tayari kilikuwa kishaongelewa kichwani( fikirika)
Hakitaonekana kamwe kama utakuwa hujakifikiria kwenye mind yako..[emoji3447]
Manake nini chochote kile unachointeract nacho iwe ni watu, miti wanyama au kitu chochote jua ni product ya mind creation uliyonayo...
Kama kila kinachoonekana duniani hapa ni matokeo ya perception zako basi amini upo alone katika ulimwengu huu na hapo ndo tunasema you are the creator of your own destiny...
Sory naweza kuwa nimepresent kitu tofauti na lengo lako ..sory mkuu [emoji122][emoji122]