The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Pain killer [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mshikeni huyu ameonekana duka la mangi ananunua sumu ya panya..
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23]hivi kweli semi final uefa ndio ya kulialiaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Moment kama hizi kwenye football ni za kawaida vinginevyo labda ukashabikie mieleka [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usitulutee mahubiri jambo la umuhimu ni kwamba jana mmegongwa 3 basi.
MADRID NDIO DAWA YA MAKABWILI KAMA WEWE.
Huna lolote achana na Mimi mzee[emoji23][emoji23][emoji23]

Mpaka hapa tupo kwenye mafanikio makubwa ,imagine kupoteza semi final tu dunia nzima inatuzungumzia ze cityzen [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pep Guardiola anatafunwa na laana,jina lake bado lipo kwny kifuu cha nazi kijijini Ivory Coast huko.View attachment 2212016View attachment 2212017
Sisi hatuamini katika huo ujinga mzee [emoji23][emoji23] yaan the boss pep guardiola awapigie magoti ,unaumwa nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hapa ni kuingia sokoni kuvuta striker mmoja mkali ,na CB wawili ,then tunaendelea kutesa epl [emoji28]
 
Kwishnei........Kwisha habari yako na bado EPL subiri suprise nakuhakikishia.
Kheeeeeh we nae sasa suprise gan tena? Khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiukweli hatuna bahati na UEFA, ila iko wakati wetu tutafurahi na sie.
 
imagine tumetoka nusu final dunia nzima inatuzungumzia [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Big club in the world

This is Manchester city baby


Come on city

[emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]
 
Watu mnateseka na mnasema city Haina fans ,au ni mikeka yenu imechanika maana humu watu wanatoa mapovu hatari [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

City ina tupa raha Sana ...!
 
Acha kujipa moyo wewe
 
Duniani inawashangaa mlivopoteza kipumbavu Sana, mmezidiwa Hadi na nottingam forest na Aston Vila[emoji16]
 
Mimi nafurahia Sana team langu man city ,team kubwa imetolewa semi final na dunia nzima inatuzungumzia , headline ulaya nzima ni man city [emoji28][emoji28][emoji28]

Radio ,tv ,wachambuzi wote wanazingimzia the big team Manchester city [emoji28][emoji28][emoji28]

Hadi vilaza ambao hawajui mpira ,wanamzungumzia bernado Silva ,Mahrez ,kDB [emoji28][emoji28]

This is ze cityzen baby ,come on [emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]
 
Duniani inawashangaa mlivopoteza kipumbavu Sana, mmezidiwa Hadi na nottingam forest na Aston Vila[emoji16]
Wee rafiki hapa unafanya nn? Tuache na team yetu.
Muende kwa team zenu, khaaaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…