The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mimi ni meneja mwenye uwezo wa kucheza mechi hizi katika hatua kubwa kama hivi. Ndio maana tupo hapa," alisema Pep Guardiola. "Nitafurahia mechi, ni wazi. Nasubiri kwa hamu kufika pale na kucheza. Napenda kucheza kwenye uwanja ule, tutafanya kila tuwezalo kuwafunga. Baada ya kushikana mikono.
"Kushinda, kusare au kufungwa, hatuendi kushinda au kupoteza Ligi ya Uingereza. Ni mechi muhimu kwa sababu tunaweza kushinda pointi, lakini ni hivyo hivyo kwao pia. Tunachowaza ni namna ya kucheza vizuri na kushinda mchezo."

Habari za Timu

Ingawa Ibrahimovic, Jones na Matic wapo kamili kwa upande wa United, kiung Marouane Fellaini atakaguliwa kwanza kuelekea mechi hiyo.
Paul Pogba anaanza kuitumikia adhabu yake ya kufungiwa mechi tatu Jumapili baada ya kadi nyekundu dhidi ya Arsenal, ataungana na Michael Carrick na beki Eric Bailly kushuhudia jukwaani.

Kiungowa Manchester City David Silva yupo fiti kwa safari ya Old Trafford baada ya kupata majeraha madogo lakini nahodha Vincent Kompany bado yu shakani kwa mechi hii kutokana na tatizo ambalo halijawekwa bayana.
Beki wa kushoto Fabian Delph amepona maradhi yake lakini mabeki John Stones na Benjamin Mendy bado wanaendelea kuuguza majeraha.
 
Natabiri kesho manchester united anashinda 1-0 ushindi wa nyumbani ni 100%√√√ hakuna cha drooo pale ktk mech zote alizocheza sasa nendeni na kale ka jesus kanakofunga magoli karibia na kipa mkifikir mtapata hiyo nafas
Okay...
Buttttttttttttt,is it your wish or you said it according to football facts..?
 
Natabiri kesho manchester united anashinda 1-0 ushindi wa nyumbani ni 100%√√√ hakuna cha drooo pale ktk mech zote alizocheza sasa nendeni na kale ka jesus kanakofunga magoli karibia na kipa mkifikir mtapata hiyo nafas
Reserve ur comment
 
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amewataka wachezaji wake kuepuka mipira ya adhabu karibu na goli lao na kutopaki basi wakati watakapowakabili watani zao wa jadi Manchester United kwenye Uwanja wa Old Trafford leo Jumapili.

Guardiola amewaonya wachezaji wake kuacha kutengeneza mazingira ya mipira ya adhabu katika mchezo huo muhimu zaidi kwao.

Kocha huyo Mhispania, anahofia Man United inaweza kupata mabao kupitia mipira ya adhabu endapo Man City haitakuwa makini.

Man United ina wachezaji wengi warefu kulinganisha na Man City. Romelu Lukaku, Nemanja Matic, Chris Smalling na Zlatan Ibrahimovic ni wachezaji warefu ambao watakuwa tishio kwa Man City.

Kiungo wa pembeni aliyerudishwa kucheza beki wa kushoto Ashley Young amepata umaarufu kwa mashuti ya mpira wa adhabu.

Inakadiriwa kuwa watu zaidi ya bilioni moja watakuwa wakitazama pambano la Manchester United dhidi ya Manchester City.

Kiungo wa Manchester United, Paul Pogba ataukosa mchezo huo akitumikia adhabu yake ya kufungiwa mechi tatu baada kuonyeshwa kadi nyekundu katika pambano lililopita dhidi ya Arsenal baada ya kumkanyaga mlinzi wa kulia, Hector Bellerin na pia atazikosa mechi dhidi ya Bournemouth na West Brom.

Wengine watatu watakaokosa mechi hiyo ni mabeki watatu, John Stones na Benjamin Mendy wa Manchester City na Eric Baily wa Manchester United wote hawa ni majeruhi.
 
Manchester City (4-3-3): Ederson; Walker, Otamendi, Kompany, Delph; De Bruyne, Fernandinho, Silva; Sterling, Gabriel Jesus, Sane.

Manchester City substitutes: Bravo, Danilo, Gundogan, Aguero, Mangala, Bernardo Silva, Zinchenko.
 
David Silva’s goal from close range had given City a deserved lead, but the visitors’ defensive frailties were exposed again moments later when Delph’s error allowed Rashford to restore parity.
Well, after a relatively low-key first half, this derby has just sparked into life, and it is 1-1 at the interval after two goals in the space of four minutes!
 
David Silva’s goal from close range had given City a deserved lead, but the visitors’ defensive frailties were exposed again moments later when Delph’s error allowed Rashford to restore parity.
Well, after a relatively low-key first half, this derby has just sparked into life, and it is 1-1 at the interval after two goals in the space of four minutes!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nakutafuta kule kwenye uzi wa Gunners kumbe uko huku...sioni updates za usajili wa Arsenal
 
Back
Top Bottom