The Most 5 skilled RAPPER in Bongo Hip Hop Of All Time.

Sugu nae huwezi kumbeza mashairi yake ni ya hit n nail on it na misamiati pia ya kidibaji dibaji inapobidi.

hivi pia hawa vijana waliokuwa wanachana kwenye mashindano enzi zile kama clouds kina godzila ect waliishaaga wapi hata kutoa nyimbo
 
Hivi Afande nae anafanya Hip hop??
Na kua MC mkali ni kua nyimbo nyingi kwani??
Anyway, simpigii chapuo Dogo ila naona pia sio wa kumuondoa.
Mkuu ulinunuaga ile albamu ya "mkuki moyoni?" by afande sele, au ata ushawahi kujipa muda kusikiliza nyimbo zake? He is very good when it comes to deliver a message with exra ordinary rhymes. Yani vina kati na mwisho, that is good and needs a skilled rapper to do that.
Hashim simuondoi ila lets face some facts, can you compare him with fid? Can you compare shadow of dark destiny(the most recognised single ya hashim) with one ( the most recognised single ya one incredible)? Can you compare his freestyle skills with nikki's?
Sikatai ni mkali but not to that extent.
But all in all, kila mtu ana sikio lake.
 
Ni mekuelewa kwa list hyo,ila ukitaka kusikiliza hiphop ya bongo "tune kiss fm any time"
 
Langa Kileo
Albert Mangwea
Afande Sele
Fid Q
Prof Jay
Mr ii Sugu
Langa alikua sana tu, ngwair pia. tunaongelea mashairi , hawa late upcomings pia kama Kala Jeremiah ila sasa sema ku classify hip hop na bongo fleva ya kawaida ndio panagomba. ila all in all mashairi wako vizuri
 
Kazi kazi ni kazi gani ile? Au ule mchiriku wakipindi kile?to plain story, cant be a great hiphop huwezi mcompare na kubanda. Prof unge mpa nafasi ya tano
Huyo kubanda overrated tu.... Na Prof is a better lyricist kuliko huyo jamaa.
 
TRUE THAT I always wonder why Mr II anapewa heshima sana katika mziki huu wa HIP HOP up to now wakati kipindi chake kilisha pita kitambo sana. To be honest hata kwa STEREO hasimami kuanzia FLOW mpaka Utunzi wa mashairi!
Unamfahamu Chuck D!?!?
 
TRUE THAT I always wonder why Mr II anapewa heshima sana katika mziki huu wa HIP HOP up to now wakati kipindi chake kilisha pita kitambo sana. To be honest hata kwa STEREO hasimami kuanzia FLOW mpaka Utunzi wa mashairi!
Achaneni hao kina Stereo wa Kukariri vina,
Mr II hata sasa ukimwambia achane mistari ya "Ana Miaka Chini ya 18" atakuchania kuanzia Verse mpaka Korasi zote bila kukata sautu wala kuishiwa Pumzi.


Kuna kipande kilikua kikisabaa kwenye whatsapp kikiuonyesha akiwa ana perform wimbo wake wa "Ni Wapi Tunakwenda" iaka hiyo yuko dogo tu, ungekiona hicho kipande angalau ungeelewa.

Binafsi nilishamuona kwenye tamasha moja hivi miaka ya hivi karibuni alichana nyimbo zake kama tatu hivi mfululizo bila playback kuanzia verse mpaka koras na hakutoka nje ya biti. Ni wasanii wachache sana wa Hiphop wenye uwezo huo. Labda tu sababu tu ya ubunge wake tunakua hatuuoni kwenye matamasha ila angekua mtaani hana kazi kauwawa ana njaa njaa pengine tungeuona nae kwenye show mbalimbali akipanda ku perform labda tungemuelewa zaidi.
 
TRUE THAT I always wonder why Mr II anapewa heshima sana katika mziki huu wa HIP HOP up to now wakati kipindi chake kilisha pita kitambo sana. To be honest hata kwa STEREO hasimami kuanzia FLOW mpaka Utunzi wa mashairi!
Hata young killah anamkimbiza
 
Roma na makini joh kwa hizi flow ni so more walitakiwa wawepo
 
kwanini Joh makin hayupo katika list hii?
Hit single za Jcb ni ngapi hadi kuingizwa katika list tena nafasi za juu kabisa?
mara ya mwisho Jcb alitoa hit tanfu lini
Ukiskia paah ft Jaymoe &fid q..Bwii ft jambo squad
 
Lunduno, Mexicana siwajui kabisa hebu tupia single zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…