The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

Anatarajia zile nafasi za raisi za kuteua wabunge.

Uchaguzi ulikuwa huru na haki kwa upande wa ccm pekee
Ingawa vyama vya upinzani ndivyo vinavyolalamika kuwa mawakala wao walizuiwa kushuhudia upigaji kura taarifa zinaonyesha kuwa mawakala wa vyama vyote walizuiwa!
Nani anaweza wazuia wa ccm na asitumbuliwe
 
We jamaa hata utumie miaka 100 kusifia uongo na udikteta, kwame hautapata uteuzi hata kuwa balozi wa nyumba 10.

Na watu kama nyingi ndio mnaompoteza kaisari kwa kusifia hata visivyosifika, hata mambo anayoamini mabaya kwa taifa nyinyi ndio mnamfanya apoteze dira na kuona mazuri. Kwasababu ya tamaa ya kupata uteuzi.

Kwa mtu yoyote mzima wa akili anajua uchaguzi huu haukua wa haki, hata kwa wana ccm wenyewe (Wakiongozwa na "Mnadhimu Mkuu Wa Uongo, Unafiki & Uzandiki - Prof Polepole") na vyombo vya usalama wanajua uchaguzi haukua wa haki.

Na hata Rais mwenyewe anajua uchaguzi huu haukua wa haki.

Uchaguzi kama ulikua wa "HAKI & MLISHINDA KWA KISHINDO" kwanini mlifunga "INTERNET" na "SMS KUWA SENSORED (Zenye neno Lissu/Tundu Lissu)"? Mlikua mnaogopa nini?

Mshindi anaanzaje kuogopa??? Mtenda haki anaanzaje kuogopa???
Nakuunga mkono. Kuna msemo maarufu: "The guilty are always afraid".
 
Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?
Mayalla, unataka kupinga nini hapo?
Kuwa ulikuwa huru na haki? kama unamuogopa au una hofu ya Mungu kamwe huwezi kupinga huu ukweli.
Kikubwa tuwe na hofu ya Mungu ktk mammbo yetu, tukumbuke kuna kiyama, wizi, dhuluma na unyanyasaji tunaokumbatia una mwisho wake na hukumu yake ni mbaya sana.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?

Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"

Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!

Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)

Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.

Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!

Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!

Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!


Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020


Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!

Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.

Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.

My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.

Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.

Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.

Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Gazeti linasema ukweli mtupu hongera sana wamarekani kwa kuona ushenzi wa serikali hii.
 
Mabandiko yako yatakuhukumu wewe mzadandiki pascal malaya wa siasa

Unajua ukweli kabisa uchaguzi haukua huru n haki kwa vigezo vyote
Wizi wa wazi wazi majibomboni
Mawakala kufanyiwa figisu za kutoruhusiwa kuingia kwenye vyumba vya kupigia kura
Hesabu za kura kutoakisi ukweli halisi wa wapiga kura..
Uchaguzi huu umekosa uhalali wa kuitwa uchaguzi wa taifa huru lenye demokrasia
 
Wewe mpiga Kura tu,huyo Wakala wa CDM ulimtambuwaje wakati mle ndani kulikuwa na watu si chini ya Watano!?
Kwani hajulikani yupi ni mtendakazi wa kituo na yupi ni wakala acha ushamba kulikuwa na sare za watenda kazi hivyo tuliweza kuwatofautisha na mawakala
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?

Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"

Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!

Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)

Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.

Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!

Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!

Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!


Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020


Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!

Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.

Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.

My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.

Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.

Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.

Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Mkuu, nmekutumia ujumbe PM kwako kuhusu ile ishu tuliyoongea.
 
Ukiona mjuzi wa sheria uchwala Yuko huko, makala zote zinazoihusu TANZANIA ujue ni yeye!!

Anashobokea wazungu kuwauzia nchi yetu Kwa bei ya uchochezi na uwongo!!

Huyu ni Kati ya wanasiasa ambao watakufa masikini sana na ambao mpaka mauti inawakuta, hawajui kuridhika, kazi Yao ni kutafuta madaraka Kwa namna yoyote Ile!

Ni Kati ya wanasiasa ambao shetani amewekeza maroho ya mauti paspo kujali ni Nani atakaye Kufa mbele Yao! Wanasiasa ambao hudhani, ikiwa nchi yake itavamiwa na majeshi ya kigeni, kisha kuachwa raia wakiuwana wao Kwa wao, eti husema mauwaji hayo wao hawahusiki!

Tanzania na imlaani mtu huyo, Amina
Ficha ujinga wako,wewe ndo utakufa maskini wa roho na mali.unafikiri risasi 16 mwilini ni sawa na manati??Mungu atamuinua mpaka mtubu dhambi
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?

Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"

Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!

Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)

Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.

Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!

Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!

Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!


Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020


Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!

Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.

Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.

My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.

Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.

Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.

Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
U. S wamemwibia kura trump, na amegoma kuondoka ikulu. Hilo lenyewe wamelizungumziaje
 
Hakuna uwongo hapo, walichoandika ni ukweli mtupu. Kituo nilichopigia kura mimi wakala wa Chadema alizuiwa katakata kuingia ndani, hii nimeona kwa macho yangu kabisa sijaambiwa na mtu! - Sasa uchaguzi gani huo!
Kwa ujumla uchaguzi huu, utamfanya Magufuli adharaulike na kila mwenye akili na hekima, maisha yake yote. Huu haukuwa uchaguzi bali ulikuwa ni uhuni uliofanywa na dila dhidi ya wananchi.

Mtu kama Mahera, miaka yake yote ya kuishi Duniani, ataonekana ni takataka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pasco, ukweli ni kuwa huu uchaguzi umetuvuruga Watanzania kuliko uchaguzi wowote ule tangu mfumo wa vyama vingi; hata kama tunajifanya kukubali kuwa ulikuwa fair, bado ulikuwa uchaguzi mbovu kuliko wowote na nashangaa sababu ni nini hasa maana sikuona mtu wa kumshinda JPM, labda ni hofu tu ndio zilitupelekea kubaka uchaguzi. Nashauri tu wanasiasa, viongzi wa dini na CBOs wakutanishwe, wakae pamoja na kuweka mambo sawa. Mwenye jukumu la kufanya hayo ni Rais wetu mwenye na Chama chake cha CCM.

Vv
 
We jamaa hata utumie miaka 100 kusifia uongo na udikteta, kwame hautapata uteuzi hata kuwa balozi wa nyumba 10.

Na watu kama nyingi ndio mnaompoteza kaisari kwa kusifia hata visivyosifika, hata mambo anayoamini mabaya kwa taifa nyinyi ndio mnamfanya apoteze dira na kuona mazuri. Kwasababu ya tamaa ya kupata uteuzi.

Kwa mtu yoyote mzima wa akili anajua uchaguzi huu haukua wa haki, hata kwa wana ccm wenyewe (Wakiongozwa na "Mnadhimu Mkuu Wa Uongo, Unafiki & Uzandiki - Prof Polepole") na vyombo vya usalama wanajua uchaguzi haukua wa haki.

Na hata Rais mwenyewe anajua uchaguzi huu haukua wa haki.

Uchaguzi kama ulikua wa "HAKI & MLISHINDA KWA KISHINDO" kwanini mlifunga "INTERNET" na "SMS KUWA SENSORED (Zenye neno Lissu/Tundu Lissu)"? Mlikua mnaogopa nini?

Mshindi anaanzaje kuogopa??? Mtenda haki anaanzaje kuogopa???
Anawahi ukiwa niwamototo,kabla hajapitwa na muda wa teuzi.
 
Tumekuwa misukule ni kupelekwa pelekwa popote. Kama tulivyosema kuna ambao Magu ni kama Mungu na watakataa hata ukweli wa wazi! Ridiculous!
 
Siku zote nimekuwa natetea sisiemu huwa hawaibi kura.

ILS huu wa wakati huu kitendo cha kuona karatasi nyeti kama ya kura kwenye clips za video mitaani nimeogopa sana.

Kama zinatengenezwa na wapinzani kwa ajili ya propaganda, basi TISS ilipaswa iundwe upya kwa kushindwa kukusanya intelligence na kuzuai hilo. Kitendo cha licha ya kuonekana mitaani na hakuna hata mtu aliyekamatwa na kushtakiwa, tena clip moja mlalamikaji akiwa ameshika hayo makaratasi ya kura zilizopigwa mbele ya Polisi zimenifanya niogope siasa n4a utaratibu wetu wa kutoa haki.

Kikubwa naomba Amani ktk ya dhuruma
Mtihani ukivuja unafutwa,ila matokeo tokeo yakivuja hayafutwi, hii imekaaje wajameni.?
 
Back
Top Bottom