Mkuu hayo yote alifanya kwa pesa za walibya na ni si kutoka mfukoni mwake hata Adolf hitler nae alifanya tena mazuri zaidi yake! Lakini je! Hatakama ni wewe ukapewa kilakitu lakini ukakosa uhuru itakuwaje? Ukapewa vitu ukanyimwa utu itakuwaje? Just try to think before write this pumba.
Bora nimfaidishe mbu kuliko manyang'au haya!! I hate them all.
Gaddafi pia alikua anawalipia mahari vijana wa Libya wanapotaka kuoa that why alilkua akisisitiiza ndoa ya mke mmoja.Waarabu wamelaaniwa hata kwenye vitabu wameandika,wametiwa vidole vya macho na wamarekani na washirika wao wamekubali hawataakaa wapate raha tena katika maisha yao itakuwa kama Iraq maisha dumu.Leo kumelipuka Tripol kesho benghanzi maisha dumu,na uone vyombo vya habari vya magharibi walivyo washenzi wanatuonyesha wanaoshangalia tu mbona wengine hawawatoi?wametaka mafuta wamepata kwisha kazi.
pamoja na vikwazo vyote lakini mpaka wanampindua hana deni la nje,watu wanasoma bure matibabu, na mishahara wanapewa japo hawafanyi kazi wanataka nini tena?
Tuone hao watakao waweka watawapa maisha haya wakati mmarekani tayari ameshaweka makucha yake pale.itabaki historia tulikuwa tunapewa chakula,matibabu nyumba ,elimu bure.WATAVUNA WALICHOPANDA
RIP Gaddaf
Obama naye atadondoshwa na umma kwa kuongeza idadi ya masikini Marekani.Real talk, George Bush & Tony Blair should also be brought into int. criminal court cus they killed innocent people in Iraq and Afghanstan.
Mkuu hayo yote alifanya kwa pesa za walibya na ni si kutoka mfukoni mwake hata Adolf hitler nae alifanya tena mazuri zaidi yake! Lakini je! Hatakama ni wewe ukapewa kilakitu lakini ukakosa uhuru itakuwaje? Ukapewa vitu ukanyimwa utu itakuwaje? Just try to think before write this pumba.
Mkuu utantambua,
Hakuna mkamilifu na hilo ,mimi Nonda nimelisema mara nyingi tu. mbali na mapungufu ya Gaddafi hakuna kiongozi wa hata nchi moja ya Afrika ambaye amefanya kwa nchi yake kama Gaddafi amefanya kwa Libya na Afrika.
Kwa hiyo, ukitaka mtazamo mimi ningesema hilo la masofa na silaha ya dhahabu ni katika ufahari wa tamaduni za "waarabu". Lakini, yes, ni ufujaji wa fedha. Lakini jee hivyo vitu vimegharimu kiasi gani cha fedha? Hivi kweli kwa mchango wake wa maendeleo ya nchi ya Libya na yeye hakustahili "kastarehe kidogo"?
Nimalizie kusema kuwa kila mtu ana mapungufu na hilo unaweza kulitia katika mapungufu yake lakini mazuri yake yana uzito zaidi. Kwa bahati wengi wanasemea udhaifu wake mchache na wanaacha mazuri ,au kutokujali kabisa nini amefanya kwa nchi yake na Afrika.
Sasa na wewe, jibu hili. Je unajua jambo lolote jema, zuri ambalo Libya na Afrika ilipata chini ya uongozi wa Gaddafi?
Tunamshkuru jamaa kwa kuifichua.
Halaf jamaa kwao wako sita, yeye peke yake ndo member wa JF.nitamgongea like.
Halaf jamaa kwao wako sita, yeye peke yake ndo member wa JF.
Mimi namsifu kwa ujasiri wake.