Waafrika sasa, hasa wa Afrika mashariki , kama tumeshindwa kujifunza kilichotokea tangu mwanzoni mwa mwaka huu na kinaendelea mpaka sasa huko Afrika ya Libya, Tusije kujilaumu kama wakazi wa Bengharz wanavyosikitika/jilaumu kwa sasa kwa kuwaruhusu vijana wao wahuni kuanzisha ubomoaji wa nchi yao kwa msaada mkubwa wa NaTo. Kumbuka haitakuwa lazima Copy and Paste ya mazingira ya uanzishwaji wa vurugu za Afrika ya kaskazini kwa hapa kwetu Afrika ya mashariki, la asha.......... Tuchanganye na za kwetu kunusuru uhai halisi wa Umoja wa Afrika ambao ungezaliwa upya Septemba mwaka huu na sasa umeharishwa kwa wahuni wachache kukubali kurubuniwa.