Sijali
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 2,672
- 1,814
Mkuu hayo yote alifanya kwa pesa za walibya na ni si kutoka mfukoni mwake hata Adolf hitler nae alifanya tena mazuri zaidi yake! Lakini je! Hatakama ni wewe ukapewa kilakitu lakini ukakosa uhuru itakuwaje? Ukapewa vitu ukanyimwa utu itakuwaje? Just try to think before write this pumba.
Kama si u......huu ni nini? Uhuru wote ulionao Tanzania wakufaa nini? Acha pumba, uhuru ni baada ya tumbo kushiba...usidanganywe na Wamarekani, wao wanashiba. Nenda vijijini Bongo ukale uhuru wako!

