The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Kwamba kuna propaganda pande zote is given, propaganda ni sehemu ya maisha. In the west, out of every two times anybody smiles at you, one smile is propagandic . This is why I am not ashamed that Africans do not smile for the cameras as much as their western counterparts, they are not as much sophisticated in the propaganda aspect. An African is more prone to tell you how he feels than a prim and proper westerner.

Orwell had the nerve to declare - in a book title nonetheless- "All Art Is Propaganda", and art is all around us -from cave paintings to the latest Jay-Z album-. Who can deny? By him, if you deny that this world is standing on a fabric of propaganda, you are denying there is art in this world.

Ghadaffi anaangushwa, iwe mwezi mmoja au mwaka mmoja ujao. Simply because he is on the wrong side of the basic tenets of history and entropy. The rebels are only 80 km from Tripoli according to Al-Jazeera. Ninavyoandika hivi naangalia Al-Jazeera wanasema wananchi wanaondoka Tripoli, washkaji zake waliokuwa naye toka mapinduzi bila damu ya kumuondoa mfalme Idris 1969 -the latest being Abdul Salaam Jallud- Ghadaffi wana defect. Wanaogopa waki hang around mapaka dakika ya mwisho watajumlishwa na Ghadafi katika mashtaka, yote ya watu wa Libya na hata ya ICC. Ghadaffi mwenyewe anaongea na "rebels" kutafuta suluhu. All the signs are there.

As the old english saying goes, "You can fool some people for some time, but you can't fool all the people all the time".

And Gadaffi is hardly trying to fool anyone, especially with his "god complex" antics.

Mark my words, my above prediction is rather conservative and generous on the part of his supporters.

The Ghadaffi regime is approaching a meltdown quicker than you think.

The more important qustion to me is, are the rebels prepared? Could they forge a united nation in the wake of this chaos?
 
Uko sawa
Unaonaoje ukatupa hizo site ambazo hazina propaganda. Ungezania kusoma kutoka mwanzo ungelewa kinachozungumziwa hapa, so unatuambia miji iliyokaribu na Tripoli haijatekwa?,Yaelekea kila habari wewe unasoma vichwa vya habari, Usie kama Mohammed Saeed al-Sahhaf,Sadam former Information Minister. Sidhani ni vema kukurupuka kujibu tena kwa kejeli. Sio busara ku challenge uelewa wako but u can read the link below, ukishamaliza changanya na akili zao ndio ujenge hoja

kila la kheri
Gadhafi looking isolated as Libyan rebels advance on Tripoli | World | Deutsche Welle | 17.08.2011



Libyan capital is fearful as rebels approach Tripoli

U.N. to Launch Tripoli Evacuation - The Daily Beast
Libyan rebels say to head towards Tripoli | Africa | World Bulletin
http://www.nytimes.com/reuters/2011/08/15/world/africa/news-us-libya.html?_r=1&ref=world
Rebels Encircle Tripoli, Threaten To Cut Off Gadhafi Supplies : The Two-Way : NPR

Hoja yangu ipo kwenye ile thread kuu kuhusu vita ya Libya. Haya mambo tulishayajadili sana tokea vita inaanza to the extent kuwa we can't see anything new from this war. Some we made our conclusions since then on what will or will not happen. Pia sioni unachonipinga hapa ni nini b'se kwenye post yako ya nyuma you said exactly the same thing. Umesema "Ni vema ukaangalia taarifa kutoka vyanzo mbalimbali then utumie akili zako ku balance." Na mini nikasema "Tatizo unasoma site zenye habari za kipropaganda. Pia tumia kichwa chako." kuna tofauti gani hapo?

Tatizo watu tunashia kusoma na kuangalia news kwenye kwenye media. We don't bother looking for critical sources and make objective analysis on the matter. Hizo links ulitozotoa are merely news sites and I don't think one can learn a lot from them, apart from being informed what is happening on the ground kwa matakwa ya owners of those sites.

Ukiangalia watu wengi hapa tunapinga hizi propaganda japokuwa tunayoandika inayoshesha kabisa how much we have been influenced by those propaganda. Ndio maana nikamjibu mwanzisha tthread, they need to use their own brain and assess what they read or see in the media.
 
Hoja yangu ipo kwenye ile thread kuu kuhusu vita ya Libya. Haya mambo tulishayajadili sana tokea vita inaanza to the extent kuwa we can't see anything new from this war. Some we made our conclusions since then on what will or will not happen. Pia sioni unachonipinga hapa ni nini b'se kwenye post yako ya nyuma you said exactly the same thing. Umesema "Ni vema ukaangalia taarifa kutoka vyanzo mbalimbali then utumie akili zako ku balance." Na mini nikasema "Tatizo unasoma site zenye habari za kipropaganda. Pia tumia kichwa chako." kuna tofauti gani hapo?

Tatizo watu tunashia kusoma na kuangalia news kwenye kwenye media. We don't bother looking for critical sources and make objective analysis on the matter. Hizo links ulitozotoa are merely news sites and I don't think one can learn a lot from them, apart from being informed what is happening on the ground kwa matakwa ya owners of those sites.

Ukiangalia watu wengi hapa tunapinga hizi propaganda japokuwa tunayoandika inayoshesha kabisa how much we have been influenced by those propaganda. Ndio maana nikamjibu mwanzisha tthread, they need to use their own brain and assess what they read or see in the media.

Propaganda ni kama "Standard Room Temperature" kwa wanasayansi, au "ceteris paribus" kwa wachumi na "innocent until proven guilty" kwa wanasheria.An illusionally ideal that could hardly be realized.

W e all know these to be unrealistic ideals, but they have that Selassian paradox efect of "an illusion to be pursued, but never attained" whic at times could be put to good use.

So let's not dwell on what is propaganda, evolution itself is based on the salesmanship of propaganda to get a mate, otherwise you wouldn't be here. Kwa nini tausi wana mkia wenye rangi nzuri? Propaganda tupu.

Tukubali kwamba propaganda ni sehemu ya maisha, what then?

If you cancel out the negative popaganda of the "rebels" and that of Ghadaffi, nani anabaki kuwa na aibu zaidi? Nani anabaki kuwa muongo mkubwa? Nani anafyata mkia zaidi?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt; Wewe mpuuzi sana inaelekea unafikiria kwa kutumia masaburi.Sijui huko ulaya ulienda kufanya nini kama wewe ni kilaza kiasi hicho.kama nyerere angetugawa kwa misingi ya ukabila tanzania leo ingekuwa ya aina gani ?Ifike mahali waafrika tuwakatae viongovi wapumbavu kama Gadaf huyu jamaa ni mwendawazimu na mnafki wakupindukia hana tofauti na wakina mugabe.
<br />
<br />
Ukiitwa na kuulizwa ''haya wewe unamuita Gadafffi mpumbavu na mnafiki, je wewe Rais wako ni nani?''........utamtaja au utaingia chini ya meza?
Acha kuwa mpumbavu ktk mwezi mtukufu wewee.

Gadaffi kaitoa nchi ikiwa inapumulia masabuli mpaka sasa nchi inaziburuza nchi za ulaya nyingi tu.

Haya je huyo rais wako na wale waliomtangulia ambao walikuta nchi ikiwa na kila aina ya neema je wametufanyia nini zaidi ya kuturudisha utumwani?

Saa mbovu wewe
 
Penda usipende hii vita haishi bila ghadaff kuondoka, ataondoka tu awachie na wengine nao watawale bwana. Viongozi waafrika sijui kwa nini huwa hawataki kuachia madaraka. hebu niambieni uchaguzi wa mwisho libya ulifanyika lini? na kama hamna hata uchaguzi kizazi cha sasa hakiwezi ongozwa na mtindo wa kifalme. Ataishia kuaibika kama Gbagbo
..............................................
Ni kweli Libya hapakuwa na uchaguzi lakini aliyekuwa madarakani kamanda Gadaffi ameweza kuiweka nchi ktk mfumo imara na uchumi thabiti usitetereka kihanithi ******* kama huu uchumi mdebwedo wa hapa kwenu.

Sasa nieleze faida ulizozipata wewe ambaye nchi yako inafanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano...


Usikurupuke gagulo wewee
 
Huyo Gadhafi nae anachong'ang'ania ni nini? Amekuwa madarakani toka 1968, Libya ni ya walibya wote na si ya Ghadafi na familia yake pekee. Hata Assad wa Syria nae mambo sio mazuri
 
<br />
<br />
Ukiitwa na kuulizwa ''haya wewe unamuita Gadafffi mpumbavu na mnafiki, je wewe Rais wako ni nani?''........utamtaja au utaingia chini ya meza?
Acha kuwa mpumbavu ktk mwezi mtukufu wewee.

Kha,

Mi nikafikiri utaenda kumuuliza tofauti yake na Ghadafi, au ya rais wake wa rais wa Ghadaffi. Wewe unaenda kumuuliza tofauti ya Ghadaffi na rais wake?

Gadaffi kaitoa nchi ikiwa inapumulia masabuli mpaka sasa nchi inaziburuza nchi za ulaya nyingi tu.

Hujamuuliza mshashi kaitoa familia yake wapi na kaipeleka wapi, na kuburuza nchi za ulaya si sifa, hata swaini Hitler naye alishaburuza nchi za Ulaya lakini hata Wajerumani wenzake hawajigambi kwa hilo.

Haya je huyo rais wako na wale waliomtangulia ambao walikuta nchi ikiwa na kila aina ya neema je wametufanyia nini zaidi ya kuturudisha utumwani?

Unamuuliza maswali ambayo ungetakiwa kuwauliza hao ma rais, hivi wewe tukikuuliza kwa nini baba yako hakuzaa mtoto wa ziada na mama yako utaona hilo swali linafaa kwako?

Saa mbovu wewe

Na inawezekana wewe ndiye unayeifanya iende kuwa mbovu zaidi.
 
..............................................
Ni kweli Libya hapakuwa na uchaguzi lakini aliyekuwa madarakani kamanda Gadaffi ameweza kuiweka nchi ktk mfumo imara na uchumi thabiti usitetereka kihanithi ******* kama huu uchumi mdebwedo wa hapa kwenu.

Sasa nieleze faida ulizozipata wewe ambaye nchi yako inafanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano...


Usikurupuke gagulo wewee

Kama mtu ambaye angeweza kufuatia uhuru na kutoua/ kutotesa watu naye angeweza kufanya hayo hayo au hata zaidi ungesemaje?

Mubarak hakuwa as Draconian as Ghadaffi. I am certainly not a Mubarak supporter. But Mubarak's case is quite different from Ghadaffi's.

I used to live near Libyans - embassy personnel- in Dar, kila siku wanachukua malaya kwa sababu nchini kwao hawakuwa hata na uhuru wa kujirusha of all things.Worst nanny state possible.
 
Huyo Gadhafi nae anachong'ang'ania ni nini? Amekuwa madarakani toka 1968, Libya ni ya walibya wote na si ya Ghadafi na familia yake pekee. Hata Assad wa Syria nae mambo sio mazuri
<br />
<br />
we Vuvuzela ni katiba ndio iliyomuweka pale na si kama yeye ameng'ang'ania.

Na pia anapambana na atapambana mpaka mwisho ni kwa kuwa tu wanaotaka yeye atoke madarakani ni waasi na majeshi ya NATO.

Kama wangekuwa wanataka kumtoa madarakani raia then yeye anawaua basi ningekuwa upande wako, lakini kwa hili am so sorry
 
Bora umedelete post yako Gang Chomba.<br />
<br />
Msomi ni nani?
<br />
<br />
Kiranga mwenye kiranga hebu niorodheshee mabaya ya kamanda Gadaffi.
Wakati nasubiri daku la maana hapa nipate kuyapitia.


Haya 1st
 
Propaganda ni kama "Standard Room Temperature" kwa wanasayansi, au "ceteris paribus" kwa wachumi na "innocent until proven guilty" kwa wanasheria.An illusionally ideal that could hardly be realized.

W e all know these to be unrealistic ideals, but they have that Selassian paradox efect of "an illusion to be pursued, but never attained" whic at times could be put to good use.

So let's not dwell on what is propaganda, evolution itself is based on the salesmanship of propaganda to get a mate, otherwise you wouldn't be here. Kwa nini tausi wana mkia wenye rangi nzuri? Propaganda tupu.

Tukubali kwamba propaganda ni sehemu ya maisha, what then?

If you cancel out the negative popaganda of the "rebels" and that of Ghadaffi, nani anabaki kuwa na aibu zaidi? Nani anabaki kuwa muongo mkubwa? Nani anafyata mkia zaidi?

I agree propaganda is part of our lives. Unless you live as a hermit, totally isolated from people, you will always encounter propaganda. Being a subset of rhetoric, propaganda is simply a manipulation attempt. It misdirects or distracts the attention away from the main issues.

However, people should educate themselves to avoid being indoctrinated. Given the fact that the news editors have decided to throw out the basics of journalism in favour of racy innuendo, it's important for people to read between the lines of the news and see what isn't being reported, or what is reported once, quietly, and not followed up.

For example, Israel wound its way toward a sixth week of social protests but has quietly been reported in the world media. For good and for bad, Israelis are accustomed to being in the news, but not on this protest probably because some of the explicitly political complaints include the amount of money going to Israeli special interests like settlements in the West Bank and the ultra-orthodox populations, rather than to the general economy.

Same to the recent UK riots. It very clear that the big and multinational stores were looted and set on fire by the looters. I am even told an Olympic village was set on fire. However, the UK media has been showing Pakistanis and Bangladesh corner shops as the major targets by the rioters. It is funny because many rioters are being charged for breaking in or setting fire some big stores never shown on the media.

People need to train themselves and learn the tactics used in the propaganda and intellectually learn when something is propaganda and when it's the truth. In an age of information overload, distraction techniques can be as effective as active propaganda. Instead of going with the wind, we should test for distraction by looking for items that appear repeatedly and those that appear quietly.

But people should be aware of deliberately placed lies that are repeated with the hope that people will believe it if it is repeated often enough and those eye-catching stories which are simply planted. Obviously, "We the people" need to buy newsroom bean counters a set of journalism textbooks, perhaps highlighting the chapter on how to avoid becoming a propaganda tool especially in the world of social media.
 
Waafrika ndivyo tulivyo,hatufikiri nje ya mtandao wa kikoloni.
Eti Kikwete akisema hatoki baada ya 2015!.Kwani tatizo liko wapi hata akitawala mpaka afe.Kwani lazima tuwe na maraisi wangapi siku dunia itakapofikia kiama.Muhimu ni uadilifu wa kiongozi na si lazima atawale kwa formula ya kizungu,miaka mitano mitano.
Wazungu ni washenzi hata kuliko mababu zetu kabla hawajafika wao.Tangu waanze vurugu zao miaka ya karibuni huko Afghanistan na Iraq sina hamu nao kabisa na sioni cha maana kuwaiga.

Mkuu kumbe upo? Karibu Juba kaka. Najua kujitenga kwa Sudan ya Kusini inakuuma ile mbaya. Kwa wale wafanya biashara ya slaves, imedoda. lol. Na Gaddafi naona inakula kwake kiaina. Bashar al- Assad nae kama inakula kwake vile? Watamtumia summons hivi punde kama walivyofanya kwa Omar al-Bashir for commiting crimes against hamanity. Everything is going against your wishes sir. lol.
 


Yea, especially when the video was posted on YouTube by the Libyan Army. Kama the Libyan Army imekuwa the source of information about the war, then inaonyesha ni jinsi gani tumekuwa propaganda tools.
 
Last edited by a moderator:
jionee mwenyewe hapa: Libya: Zlitan celebrates the liberation of Misratah - Part II, 16 August 2011 - YouTube

unajua kuna propaganda kali vibaya sana katika hii vita, lengo la western media ni Local consumption katika nchi zao ili waone kwamba hii vita itaisha karibuni, na pia kutwist international opinion ionekane Ghadafi keshaisha/loser, huku kumbe behind the scenes wakijaribu kuzilazimisha serikali za nchi masikini zidiplomatically ziwatambue waasi kwa kutumia technic ya isolation.
Unajua population ya Libya inamkubali Ghadafi, na waasi hawana manpower ya kuteka, na kulinda miji wanayoingia sembuse wakaikamate Tripoli, inavyosemekana kuna elementi za waasi kila mji, ila wanakuwa ni vipoketi poketi, wanaingia katika mitaa na kuleta vurugu za hapa na pale in the presence of western media ikiwemo na aljazeera vibaraka then wanachukua picha ama video, kisha waurushia ulimwengu eti wameteka mji.

ukitaka alternative ya Western media news tembelea mara kwa mara mtandao huu: Mathaba - Independent News Agency

Why don't they celebrate in misurata&#65279; if it is freed? Kama umekomboa Tanga kwa nini ukashangilie Arusha? Look like they are propaganda tool.
 
Mkuu kumbe upo? Karibu Juba kaka. Najua kujitenga kwa Sudan ya Kusini inakuuma ile mbaya. Kwa wale wafanya biashara ya slaves, imedoda. lol. Na Gaddafi naona inakula kwake kiaina. Bashar al- Assad nae kama inakula kwake vile? Watamtumia summons hivi punde kama walivyofanya kwa Omar al-Bashir for commiting crimes against hamanity. Everything is going against your wishes sir. lol.
Mimi nipo namshukuru Allah.
Nakuonea huruma kwamba unashangilia kukaa Juba iliyotenganishwa na Sudan bila faida yoyote.
Sasa tena unatamani Libya iliyotulia miaka yote hiyo ivurugwe kwa misingi ya kishenzi.
Kule Sudan walipita njia ya mbali ambayo watu kama wewe hawawezi kuona ndani yake.Basi hata Libya!.Poleni EMT na wenzio.
Najua hata AFRICOM wakianza ukoloni wao Tanzania wewe utaunga mkono tu.Ikifika hapo tutamuomba Mungu atutolee vinjeketile wengine badala ya watu wa aina yako.
 
waarabu tuna usemi usemao '' fas.bir swaburan jamiila" yaani tuwe na subira njema kwa kila jambo.

hakika kuna propaganda nyingi sana za kutoka kwa nchi mshirika wa NATO . lakini ukisoma habari mbalimbali za nchi za kiarabu unaona fika wapinzani wamezidiwa sana hususan silaha zimepungua sana karibu kuwaishia. na wananchi waliorubuniwa na nch za magh'rib wamuondoe Ghaddaf wamechoka kuona mapambano yakiendelea siku hadi siku na kuona miji inabomolewa na shughuli za maendeleo zinasimama na hivyo kusababisha wananchi kuwa wakimbizi.

hakika wengi Libya wamechoka sana na vita hivi na kutamani kurudi utawala wa Ghadafi.

namaliza kwa kusema. Ukweli utadhihiri tuwe na subra
Hapo kwenye red: Qaddafi aliwahi kukaririwa akiwasema Alqaeda kuwa ndo wanawachochea watu wa benghaz, kisha akarudi kusema ni nchi za kibepari!?????? Ukiona wananchi unaowatawala wanakuasi jua kuwa wanataka kiongozi
 
Leo hii Kikwete nae akisema hatoki baada ya 2015, then baadae akamwandaa Riz1 amrithi madaraka, je watanzania watakaa kimya?

Anaweza akamwandaa then nguvu ya umma ikamkataa kama wakenya walivyomkataa mtoto wa baba la taifa lao Uhuru Muigai Kenyatta.
 
Leo hii Kikwete nae akisema hatoki baada ya 2015, then baadae akamwandaa Riz1 amrithi madaraka, je watanzania watakaa kimya?
<br />
<br />

Mkuu kwa jinsi watu wanavyomuombea mabaya huyu ****** hata aseme anaongeza one day zaid hapatakalika I guess
 
Gaddaf wanamuonea walibya wenyewe wangeamua hatma yake sio westerners ambao wako kimaslai zaidi
 
Back
Top Bottom