The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

maskini mwanaume alijenga mahekaru na mahekaru kila kona ya dunia lakini anajificha kwenye mtaro, kweli binadamu wote tuna limitations zetu hatu uwe na kiburi cha aina gani!
 
Walidhani wanaweza kuishi kwa kuwaua na kuwatesa wananchi wanaowapinga, sasa nao imekula kwao, mwisho mbaya
 
Every community on this mother earth has the right to choose its form of governance. So it was not wrong that Libya and other Arab countries have Feudalism while others have what is termed Democratic governments.

Mutassim found himself born and raised and adapted to that system. Why should he be killed?. For that matter why should his father be killed? That he refused democracy is no reason. These people have lived in feudalism for ages. One can't just go and dictate anything alien and expect positive response.

Just like if you go to America today and tell to do away with democratic governance they will fight. These are supposed to be evolutionary events. So I still say Why Kill Gaddafi; Why kill Muttassim?
 
OK, ni mtizamo wako binafsi, na binadamu huwa hatufurahii umwagikaji wa damu, lakini ...

Afrika itatawaliwa na nchi za kimagharibi hadi mwisho wa kiama. Afrika haina umoja hata kidogo, Afrika kilamtu yuko kibinafsi na kwa maslahi yake, laiti kama waafrika wangeungana na kuwa kitu kimoja haya manyanyaso ya nchi za kimagharibi kwetu afrika yasingekuwapo. Sijui ni linitutajifunza na sijui ni lini wafrika wataamka kwani kila kukicha kwa maslahi yao (magharibi) wantunyanyasa. Kama kweli wanapenda haki kwanini hawaendi SOMALIA, SUDANI kwenda kutetea huko, ama kwa sababu ni nchi za kimaskini hakuna madini, mafuta na malighafi nyinginezo zitakazo wanufaisha wao.

Somalia na Sudan kufanya nini? Ulaya inapakana na Libya.. Waitalia na Wagiriki wana undugu wa damu na Walibya. Waafrika weusi tuna undugu gani na Walibya zaidi ya kuwa 'grouped' kama continent moja? Ndiyo maana nchi kama Morocco walijitoa AU.

Tunatawaliwa bila kujielewa kuwa tunanyonywa wanatufanya watakavyo, wanatulekesha wapendavyo AFRIKA itabaki kuwa shimo la takataka kwa nchi za magharibi. Ukija upande wa Libya kweli Gadafi kama mwanadamu na mazuri na mabaya yake hata mimi yapo mazuri na mabaya yangu pia, kwanini tunaona mabaya tu mazuri hayaonekani. Libya watu wanasoma BURE narudia tena BURE kuanzia chekechea hadi vyuo Vikuu wanatibiwa BURE hakuna malipo, umeme na maji pia garama zake ni kidogo sawa na bure. Hivi vyote Libya walipatiwa ni nchi gani ya Afrika inapewa huduma hizi zote.

Upande wangu nchi za maghalibi zimepandikiza chuki na visasi kwa walibya na kamwe hii nchi ya Libya haitokaa kwa amani kwani tayari wameshawekeana visasi, chuki na ukabila ndani yake. na hii dhambi haitokaa ifutike vizazi na vizazi. Wataendelea kupigana sasa wenyewe kwa wenyewe kwani kila mtu atakakuwa kiongozi na kila atakae ingia madarakani ataonekana mmbaya. Nchi za magharibi zimepiga Gadafi sababu ya Mafuta sasa watachukua mafuta yao yakiisha wanaachia nchi yenu kama picha haina mwelekeo.

Gadafi mwanzoni alitaka nchi za kiarabu waungane wawe waoja na wenye sauti moja kwa maslahi ya nchi zao za kiarabu alijitahidi ikashindikana akageukia upande wa nchi zote za Afrika akataka ziungane wawe wamoja wenye sauti moja wameshindwa kuungana. Daima nitamkumbuka kwa mema yote alioyafanya ameacha historia ingawa najua nchi za kimagharibi watajitahidi kuipotosha na kuanika maovu yake tu yale mazuri watayameza.

Naona humjui vizuri Ghadaffi! Alikuwa mtu hatari sana. Alipandikiza chuki na kusponsor vita Africa magharibi (Liberia, Sierra Leone, Bukirna Fasso, etc.). Na tuzisahau wanajeshi wetu wa Tanzania wailouwawa na Majeshi ya Ghadafi kwenye vita vya Kagera.

Kwa kifupi, amemwaga damu na kuliza watuwengi sana kuanzia Afrika kwenyewe, Ulaya na Marekani pia.

Afrika imebaki na kiongozi mmoja tu ambaye nae anawindwa sana na nchi za kimagharibi Mzee Mugabe peke yake ndie namwona kwangu ni Jemedari hawaogopi hawa majitu anawaambia ukweli! Libya iko siku watakaa chini na kumkumbuka Gadafi. Nimtazamo wangu binafsi.

Mugabe kwa lipi? Africa tuna viongozi wenye upeo mkubwa na rekodi za kueleweka kama Abdoulaye Wade na G. Jonathan. Siyo hao waliyochoka.
 
Hilo ni jukumu la yeyote yule. Nimetoa mapendekezo tu. Na nadhani hata kichwa cha hii thread kingebadilishwa na kusomeka The Libyan Crisis and Africa's options, tosha!



Haya mkuu,
Ongezea na mawazo yako.
 
Last edited by a moderator:
Ni vema viongozi wetu na watoto wao waliojaa viburi wakazitafakari hizi picha na kujifunza kuwa Umma unanguvu zaidi kuliko mamlaka na utajiri. Kiongozi anayejishusha na kuheshimu watu wake hata kama ni wenda wazimu hawawezi kamwe kumfanyia kama alivyofanyiwa Gaddafi na wanae.
 
...Mugabe kwa lipi? Africa tuna viongozi wenye upeo mkubwa na rekodi za kueleweka kama Abdoulaye Wade na G. Jonathan. Siyo hao waliyochoka.
Hapo kwa Abdoulaye Wade na G. Jonathan sidhani kama kuna ukweli wowote. Hao nao ni wale wale! Ayi Kweyi Armah's epic novel 'The beautiful ones are not yet born' (1968) still stands the test of time, id est until today!
 
Look at these statistics:

1. Under Ghadafi rule an ordinary Libyan lived at $2 per day.
2. 40% of Libyans were unemployed.
3. Ghadafi used state's resources to support military campaigns in Idd Amin's Uganda, to Colombia's FARC etc.
4. He ruled for over 42 years and was not prepared to contemplate the possibility of stepping down
5. Less than 1% of Libyans, mostly his family members and close allies enjoyed the national cake
6. He ruled with an iron fist: Dissidents DISSAPPEARED or were imprisoned as political prisoners

Source: Inside Story on Al jazeera.
Halafu bado you feel sorry kwa mtu kama huyu: anaelewa madaraka hadi anatengeneza furniture na bastola ya dhahabu kwa kutumia pesa ya nchi, kweli?

What I Learnt about Libya .mp4 - YouTube
 
alikosea mahesabu alipotaka kuwasafisha watu wa Benghazi kwa kutuma majeshi yake,tankers,jet fighters na kuwaambia waziwazi there will be no mercy,no pitty na ataifanya door by door....ha hahaha hahaha NATO waliiona ile na kwa ujinga wake akafikiri utani au alikuwa deluded,lakini in a serious note kwanini 42yrs in power na kuendesha nchi kama mali binafsi na nani asiyeamini bila NATO kuingilia Benghazi watu wangesafishwa kama kuku...acha aende lakini no any justification kumua lakini naye kawafyeka wangapi?hii ni lesson kwa madikteta wanaojiona semi god,sijui kwanini wale mafisadi hawashughulikiwi namna hii sio kuwaua ila to parade them in our court na kuwapa loooong jail sentences na kuwafilisi mali zao zote na familia zao ingesaidia kupunguza umaskini kwa wengi
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Every community on this mother earth has the right to choose its form of governance. So it was not wrong that Libya and other Arab countries have Feudalism while others have what is termed Democratic governments. Mutassim found himself born and raised and adapted to that system. Why should he be killed?. For that matter why should his father be killed? That he refused democracy is no reason. These people have lived in feudalism for ages. One can't just go and dictate anything alien and expect positive response. Just like if you go to America today and tell to do away with democratic governance they will fight. These are supposed to be evolutionary events. So I still say Why Kill Gaddafi; Why kill Muttassim?

Who killed them?
Why are Libyans celebrating?
Why should one family decide for the rest of 6m. + people of libya?
Figure out buddy!
 
...maficho ya mwisho baada ya NATO kusambaratisha msafara wa Comrade
article-2051361-0E75C4D300000578-248_634x427.jpg
 
Look at these statistics:

1. Under Ghadafi rule an ordinary Libyan lived at $2 per day.
2. 40% of Libyans were unemployed.
3. Ghadafi used state's resources to support military campaigns in Idd Amin's Uganda, to Colombia's FARC etc.
4. He ruled for over 42 years and was not prepared to contemplate the possibility of stepping down
5. Less than 1% of Libyans, mostly his family members and close allies enjoyed the national cake
6. He ruled with an iron fist: Dissidents DISSAPPEARED or were imprisoned as political prisoners

Source: Inside Story on Al jazeera.
Halafu bado you feel sorry kwa mtu kama huyu: anaelewa madaraka hadi anatengeneza furniture na bastola ya dhahabu kwa kutumia pesa ya nchi, kweli?

Pata muda usome na hii halafu ulinganishe na hiyo ya Al jazeera.
Destroying a Country's Standard of Living: What Libya Had Achieved, What has been Destroyed
 
So Obama and his Western allies are really progressing with their bid to try and recolonize Africa. They claim Gaddafi was a dictator. I agree. But is this the way to do things? How about BUSH. That man is the Hitler of our times. So much blood is on his hands yet he is a hero in America. I honestly feel bad.
 
Back
Top Bottom