Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu samakai ndani ya maji haoni umuhimu wa maji. Wacha watie adabu, wamejitakia kuunga mkono watu wenye ajenda ya kuwadhoofisha.
Walibya wameingizwa mkenge na kuitupa almasi baada ya kupewa chupa. Dunia yote watu wanahangaika na kupigania hata nusu tu ya walichokuwa wanakipata wao.
Wakadanganywa kwamba hicho walichonacho ni upuuzi tu mbele ya usanii unaoitwa demokrasia, as if ndiyo inayojaza tumbo au kupeleka watoto shule.
Ni kweli alikuwa anasaidia nchi masikini lkn alikuwa na mapungufu yake,alitanguliza udini mbele zaidi kwenye kutoa misaada,smhn kma nimekuudhi
According to several web sources, the National Transitional Council (NTC) announced its offer of amnesty/pardon to anyone from Gaddafi's family or circle of friends who can capture or kill him.
NTC spokesman Mustafa Abdel Jalil, who believes that "the end will only come when he's captured, dead or alive," said Gaddafi's captor or killer can get the money and remain a free man.
Gaddafi has a $2 Million bounty on his head | COOLBUSTER.net
pia hapa Gaddafi to The Hague | Geoffrey Robertson | Comment is free | The Guardian
hivi kipigo cha gadaffi kinatofauti na kipigo cha Yesu ! Hata yeye walimdhihaki na kumtemea mate ! Au?islam gadaffi ajiandae kunyongwa llive
waacheni jamani na nchi yao watakavyoifanya ndivyo hivyo sisi tuangalie mwanzo wao na huo mwisho wao mimi ninaogopa isije Libya ikawa Second IRAQ?
bla bla bla tu za siasa......hawatafanya lolote maana walitaka afe