The Truth Has Been Revealed (KQ wana ndege 3 tu)

I asked the source that puts Kenya's debt at 70% idiot.
hawa jamaa ni malofa sana...kuna mmoja siku hyo alinimaliza...alidaisha internal debt ni sawa na madeni unayomdai jirani yako...nilicheka sana mkuu
 
naona umekamata mtu makende...sasa hapo leo ataruka ruka hadi ushangae...si hawa ni wale wa 2%unemploymebt rate
 
hawa jamaa ni malofa sana...kuna mmoja siku hyo alinimaliza...alidaisha internal debt ni sawa na madeni unayomdai jirani yako...nilicheka sana mkuu
Hahaha............hawa achana nao. Sijui ni ujinga ama kusumbua tu.
 
blah blah blah...ATCL wanamiliki ndege sufuri...zilizobaki ni za CCM....
 
Sawa, nataka tu proof. Ukinipa nitakubali Tanzania ndio Babayao hili eneo.😅😅😅
huyu hana kitu bro...ujuwaji mwingi tu...alafu atuletee data ya kuwa ATCL inamiliki ndege ngapi na inne lease ngapi pia ..
 

Ahaaa haaa haaa
wamezoea kuwafanya lenders kuwa part of their indebted company like KQ wakilemewa kulipa deni. wana restructure debt kuwa shares. but for the national debt sipati picha itakuwaje.
 
Ahaaa haaa haaa
wamezoea kuwafanya lenders kuwa part of their indebted company like KQ. wana restructure debt kuwa shares. but for the national debt sipati picha itakuwaje.
mkuu naskia hko bongo internal debt ni sawa na yale madeni unayomdai jirani yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…