NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Wezi tu.
Tusichekelee sana, sisi tuna ndege jee uwezo wa kuliendesha shirika la ndege likaleta faida tunao? Maana tukumbuke Air Tanzania ilishakufa kabisa na jitihada za Magufuli tu ndiyo zinalifufua shirika hilo. Litadumu?
Wacha ujuha wewe. Unabishana nini hapa na Wakenya?mi nimekujibu ile comment yako ya awali ila ajabu una diverge sijui unazungumzia ufahamu sijui mali asili sasa hayo mambo ya mali asili ukamuulize baba jesca na top leaders ila mm kama mwananchi I have done my part, I went to school, to university, I pay taxes and other tolls ..... uchumi wa kenya kuwa mkubwa ni swala la investment na investors wanao na policies which all of Tanzania cries to,...
Walitanguliza maslahi binafsi mbele,kama unafuatilia kwa sasa ukizingua unatoka,ukihujumu jela nidhamu imeongezeka,kwa sasa walau kuna hofu maana serikal iko macho muda wote ,utaratibu huu ukiendelea tunaweza sana Ila walilzegeza mijizi haiishi watafilisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu kwa fact au lah km hauna cha kujengea hoja yenye mashiko sio ucomment upupuFursakibao ukitaka kufika NYC lazima upitie NAIROBI upende usipende.
Tetesi: ACACIA yaikana BARICK GOLD mchana kuepe kwa press release na kusema haitambui makubalino kati ya barick na TANZAGIZA....Yani bado mnaliwa na beberu?
Kwahiyo tumekubaliana kuwa Serikali ya Kenya ina Ndege 3 tu.ATCL leases planes from your government, KQ leases planes from Kenyan businessmen. What's the difference?
Kama wanasema brt ya udart iko kwao,mlima kilimanjaro uko kwao,bakhresa,ali kiba,diamond wanatokea kwao watashindwa vipi kusema ndege za klm nazo ni za kwao!mkenya akisema maneno 100 neno lenye ukweli ni 1 tu kabila lake,kwenye kabila uwa awadanganyiJamaa isije ukajumlisha na ndege za KLM maana hamchelewi kusema zenu.
God save us
Hawa wamevunja rekodi sasaKama wanasema brt ya udart iko kwao,mlima kilimanjaro uko kwao,bakhresa,ali kiba,diamond wanatokea kwao watashindwa vipi kusema ndege za klm nazo ni za kwao!mkenya akisema maneno 100 neno lenye ukweli ni 1 tu kabila lake,kwenye kabila uwa awadanganyiView attachment 1027982
The government of Kenya owns only one plane. The presidential plane. Kenya Airways is an independent parastatal that the government happens to have shares in.Kwahiyo tumekubaliana kuwa Serikali ya Kenya ina Ndege 3 tu.
God save us
You need a brain surgery.Kama wanasema brt ya udart iko kwao,mlima kilimanjaro uko kwao,bakhresa,ali kiba,diamond wanatokea kwao watashindwa vipi kusema ndege za klm nazo ni za kwao!mkenya akisema maneno 100 neno lenye ukweli ni 1 tu kabila lake,kwenye kabila uwa awadanganyiView attachment 1027982
Faida gani kubwa...wakati mmesema ni loss making entity hyo KqKipi muhimu na Bora,kununua Ndege Kwa cash then zijiendeshe Kwa hasara Kwa kutumia Kodi za Wananchi au kukodisha ndege na kuziendesha kibiashara kwa faida kubwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana uchumi karibia mara mbili wa Tanzania.We TAYO kwelii yaan una judge tu mtu simple simple kama vile unamfahamu.... Sasa Kenya wana Uchumi gani wakusema unatisha sanaaa.
Alafu unasema eti elimu imekusaidia nn ? Iv we una AKILI kweli ? Tazama LEMBA lako ilo utazani PAZIA la SINEMA
Faida kwa nchi - indirect benefit is way higher than the losses it makes.Faida gani kubwa...wakati mmesema ni loss making entity hyo Kq
JKIA handles more passengers than the whole of Tanzania combined.Biashara ya ndege bila kua na kundi la watu wengi ambao ni 'middle class' ni bure kabisaa/hakuna biashara hapo.
Haha....ndio hapo sasa...watuoneshe hiyo safari ya NYC waliyoenda na KQ hapa tuioneNakumbuka NYC safari ilisitishwa.
Ama?
God save us
So what?JKIA handles more passengers than the whole of Tanzania combined.
Uchumi wa makaratasi ww hamna chochote za kutisha kenya ... Labda useme Nairobi ni pazuri kuliko Bongo na sekta ya utaliii performance yake mwaka jana imetoka na taarifa zipo Tz imefanya vizuri kushinda Kenya kimapato .... Ila in real sense hamna cha kutisha Kenya ...maskini wa Kenya na waTanzania tena mbona wa Tanzania ana afazali mara dufuuuuu ....Wana uchumi karibia mara mbili wa Tanzania.
JKIA handles more passengers than the whole of Tanzania combined.
..yani wanatia aibuu....Kama wanasema brt ya udart iko kwao,mlima kilimanjaro uko kwao,bakhresa,ali kiba,diamond wanatokea kwao watashindwa vipi kusema ndege za klm nazo ni za kwao!mkenya akisema maneno 100 neno lenye ukweli ni 1 tu kabila lake,kwenye kabila uwa awadanganyiView attachment 1027982