The Ugly Truth: Wanaume Wote ni Malaya na Wasaliti

Pole sana...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Kweli kabisa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
na tazama mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo
 
Haujakosea wanaume nature yke ni kuwa na wake wengi ukiona mwanaume anaishi na mke mmoja ujue hana furaha n ndo maana tunakufa mapema zaid yenu
 
Ndio maana Uislaam umeruhusu kuoa wake wanne maana lilionekana hili ni tatizo la kimaumbile
Tatizo na Wanawake nao wanacheat sijui nao iwe ruksa kuwa wanaume wengi daaah hii kitu ni noma sana
 
Kwahiyo hao wanaume 99% wanachiti na wanawake 1% sio? ….tuache bana
 
Hizi tafiti umefanyia wapi mpaka ukapata hiyo conclusion??
 
Kwa nature ya maumbile na mazingira tunayoishi, mwanaume hawezi kuwa malaya bali mwanamke ndiye anayekuwa malaya. Kwa mazingira tuliyo nayo mwanaume kuwa na wanawake watano na zaidi anayewamiliki kwa wakati mmoja ni jambo la kawaaida sana.
 
...Kwahiyo kama umeolewa au una mpenzi ukimkamata na mwanamke mwingine usimhukumu kwa KUCHEAT bali mhukumu kwa KUCHEAT KIPUMBAVU mpaka akakamatwa wakati wenzake wanacheat na hawakamtwi.
😂😂😂
Umetisha mkuu..
Umenena vyema kuwa wanachepuka bila sababu, na pia wanakuwa wanawapenda wake zao. Sasa mbona unawaita wasaliti?!!!
Rekebisha heading ya uzi bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…