Inabidi uutafute tuu usawa eeheheheee
Kuna muda anaamka tu pasipo amshwa tena unaweza kuwa na mawazo mengine unakuta mtu kaamka hata hujui sababu zake za kuamaka
Maanina wallah..
Kwa heri aisee
Wasalimu huko
Aahahahahhaaa mie nilijua uta trace location umfate..... maana hali aliyoondoka nayo.....[emoji39][emoji39]
Sina wa kumsalimu aisee
Dunia unayo ishi uko peke yak?[emoji33][emoji33]
Aahahahahaa looh, you need a session rather a full class, cause these quotes wonβt end laaah aahahahhahaaaaaa.
Wyatt umenifanya niwakumbuke wayans brothers....
If you had time please enroll in Kasieβs class for every thing about Mahaba Matata.
Mr. Smasher, wondering the way you smash like mashed potatoes....π€©[emoji38][emoji38][emoji39]
Please note, itβs not all about cooking... itβs more than that.
Aisee mie na vimbau nah hapana.mkuu mbona tunasemana hivi?
Ngoja niende kupika mimi saiv
Ni mwendo wa pensi na vest [emoji23][emoji23]
hahaha nashukuru mkuuAisee mie na vimbau nah hapana.
Vipite tu siviangalii mara mbili.
Hahahahaa umesemaaa malnourished?!
Hahahaa utapopolewa humu
mbio alizotoa kaniacha na vumbi tuAahahahahhaaa mie nilijua uta trace location umfate..... maana hali aliyoondoka nayo.....ππ