TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

Imani hiyo ya re-incarnation imeenea sana India ila huku kwetu haijaenea kiasi hicho!
 
Kimara ipi?Mbona huyo jamaa alikuwa anafahamika sana Kimara,ina maana hakukutokea mtu anayemfahamu hadi watu wakamuua?
Duh!
 

RIP
 

Hebu nieleweshe kuhusu hawa Tembo, Ni wakala wa Serikali kukusanya pesa vituoni?
Wanatoa huduma gani kwa madereva wa daladala?
Je! hizo pesa zinaishia mikononi mwao au zinaingia pia serikalini?
Kama si shughuli halali kwanini bado wapo na vyombo vya usalama hawiwashughulikii?
 
Watu wanashift kwenda mars kwa sasa...kwanini tusiombee roho yake ikawe reborn Mars maana wazungu washaanza safari sasa.
 
Sijui raia walioshiriki kuutoa uhai wake wamefaidika na nin mpaka wakati huu.
 
Huyo jamaa alikuwa anajihusisha na wizi wa chini chini kwa kutumia nguvu zake
 

Kifupi ni kwamba hawahusiani na serikali, ila tu wanakuwa na ulinzi wa mapolisi wa maeneo husika kwa sababu kuna mgao unaokwenda kwao.

Unaweza ku-google 'Underground boss" au "Underworld boss" kujua mifumo yao inavyofanya kazi, ni copy cat za ki-Mafia.

Ila kwa hawa Tembo ni at very low scale, siyo kwa level za hao Mafioso, uchukulie tu kama mfumo.
 
Alikuwa ni jamaa fulani anayeishi maisha ya uswahili japo jina lake ni kubwa sana.

 
Israeli mtoa roho jana alitembelea kimara basi na lori kuungua bondia kuuawa lakini hii tabia wananchi kujichukulia sheria mkononi mbaya sana na yakukemea na kuwekawa matamko yenye uzito sikuiz mtu hata ukiwa na bifu na mtu tu ukiitiwa mwizi unauawa kwann hii tabia inaachwa iendelee ee Mungu tusaidie[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hebu toa Taarifa inayoeleweka, kama alikuwa mwizi au mbakaji tusitoe pole wala RIP
LICHA YA KUWA MAARUFU KTK NGUMI ILA ALIKUWA MWIZI,MKABAJI....NA SHUGULI YAKE YA TOKEA ZAMANI ALIKUWA HAJAIACHA
ALIZOEA KUWAIBIA TEMEKE,TANDALE,MANZESE HUKO MAANA SI NDIYO WANAMJUA SASA KAENDA KIMARA KAYAKANYAGA HUKO...SASA SJUI ALIJARIBU KUWAIBIA AU MAANA INASEMEKANA ALIITIWA MWIZI....NDIYO KACHEZEA KICHAPO.

OVA
 
Huu mchezo unaweza kumkuta yeyote, muda wowote, inabidi ukomeshwe haraka. Upiversity unatoka na manzi anayemtaka, anakuitia tu mob wanakutanguliza mbele ya enzi.

R.I.P Mashari/Mashali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…