Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
Imani hiyo ya re-incarnation imeenea sana India ila huku kwetu haijaenea kiasi hicho!Ipo imani mara tunapofariki uhai huutenga mwili ambao kiimani huuita "udongo",
Nafsi hai hii huondoka zake baada ya kuuacha mwili,na ipo imani huenda kuingia ndani ya kiumbe hai kingine kwa maisha mapya.
"Why don't we uses" REST IN PEACE AND BORN AGAIN IN ......../
View attachment 426997 View attachment 426990
Thomas Mashali,bondia mashahuri wa Tanzania amefariki usiku wa leo baada ya kupigwa mapanga maeneo ya Kimara.Inasemwa kuwa Mashali alikuwa kambini akijiandaa na pambano,lkn alitoka kambini na jamaa zake na kwenda kunywa moja moto na moja baridi.
Baada ya kupata kilaji,Mashali alihama Bar moja na kwenda nyingine,ambapo wanasema akilewa huwa anakuwa na fujo.Sasa aliingia Bar nyingine akaanza kuleta ubabe wa kupiga watu.Raia wakamuitia mwizi,watu wakaja na mapanga na marungu wakampiga mpaka kufa.Walipokuja kugundua ni Mashali,ilikuwa ameshauwawa na kupoteza damu nyingi.
Madereva wa bodaboda wakamchukua na kumpeleka Muhimbili.Mpaka sasa mabondia wanakusanyika Muhimbili kwa ajili ya utaratibu wa mazishi.
Kwa Heri Bondia Thomas Mashali.
Mkuu Tembo wapo kabisa na ni halisi, wanagawana maeneo.
Mimi hawa niliwafahamu baada ya Tembo wa Ubungo kwenda kuvamia kituo kipya cha Mbezi Mwisho, kukatokea vita kali sana na wale wa Ubungo wakatimshwa, sasa baadae tena kukatokea mtafaruku wa Tembo wa pale Mbezi mwisho mpaka ikafikia kugawana stendi, mwingine alichukua stendi ya Malamba Mawili.
Mashali alikuwa ni Tembo wa Manzese, sina uhakika utawala wake ulikuwa unaishia wapi lakini jamaa alikuwa na eneo kubwa analomiliki kwa muda mrefu tu.
Mkiambiwa mshahara wa dhambi ni mauti msibisheUtavuna ulichopanda, kama ni kwa ugomvi au ulevi, ama ni kwa kuiba au kunyang'anya. The world is not fair
Hebu nieleweshe kuhusu hawa Tembo, Ni wakala wa Serikali kukusanya pesa vituoni?
Wanatoa huduma gani kwa madereva wa daladala?
Je! hizo pesa zinaishia mikononi mwao au zinaingia pia serikalini?
Kama si shughuli halali kwanini bado wapo na vyombo vya usalama hawiwashughulikii?
Kabla hajaingia kwenye ngumu MASHALI alikuwa Mkabaji mzuri TU huko tmkHuyo jamaa alikuwa anajihusisha na wizi wa chini chini kwa kutumia nguvu zake
LICHA YA KUWA MAARUFU KTK NGUMI ILA ALIKUWA MWIZI,MKABAJI....NA SHUGULI YAKE YA TOKEA ZAMANI ALIKUWA HAJAIACHAHebu toa Taarifa inayoeleweka, kama alikuwa mwizi au mbakaji tusitoe pole wala RIP
WALE WABABE MARA NYINGI WANAISHIAGA MIKONONI MWA RAIAA....RAIA HAWATAKAGI UJINGA UKINGIA KTK RELI ZAO HUCHOMOKIApumzike panapomstahili alikwa MKOROFI MNO.
Alishawahi kufungwa miaka 2.Kabla hajaingia kwenye ngumu MASHALI alikuwa Mkabaji mzuri TU huko tmk
OVA