TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

Kuna kitu sijakielewa hapa. Yaani wamekaa Bar, akiwa na rafiki zake wakinywa, anatokea mtu wanapishana maneno, kawaida katika kupishana maneno hapo kumbuka lazima watakua wali buy attention za watu. Halafu huyo wanayepishana naye maneno anaamua kpiga kelele za mwizi, ghafla wanatokea watu wakiwa na mapanga na marungu na kuingia sehemu hiyo ya biashara na kuanza kumshambulia mteja, hapo bar hakuna wahudumu? hakuna ulinzi? wale rafiki zake walikwenda wapi?
Mwandishi makini hawezi ku report vitu vya aina hii, kama angejiuliza haya maswali niliyojiuliza mimi basi angeendelea kuutafuta ukweli au ange report kifo badala ya kutoa details zilizopoteza radha kwa wingi wa ukakasi.
Haiwezi kuwa kirahisi hivyo. Kuna kitu cha ziada
 
Kuna kitu sijakielewa hapa. Yaani wamekaa Bar, akiwa na rafiki zake wakinywa, anatokea mtu wanapishana maneno, kawaida katika kupishana maneno hapo kumbuka lazima watakua wali buy attention za watu. Halafu huyo wanayepishana naye maneno anaamua kpiga kelele za mwizi, ghafla wanatokea watu wakiwa na mapanga na marungu na kuingia sehemu hiyo ya biashara na kuanza kumshambulia mteja, hapo bar hakuna wahudumu? hakuna ulinzi? wale rafiki zake walikwenda wapi?
Mwandishi makini hawezi ku report vitu vya aina hii, kama angejiuliza haya maswali niliyojiuliza mimi basi angeendelea kuutafuta ukweli au ange report kifo badala ya kutoa details zilizopoteza radha kwa wingi wa ukakasi.

Kama kawaida yako - well said, nilikuwa sijaona maoni yako. CHEERS.
 
Ipo imani mara tunapofariki uhai huutenga mwili ambao kiimani huuita "udongo",
Nafsi hai hii huondoka zake baada ya kuuacha mwili,na ipo imani huenda kuingia ndani ya kiumbe hai kingine kwa maisha mapya.
"Why don't we uses" REST IN PEACE AND BORN AGAIN IN ......../
 
Nchi zilizotawaliwa na wajerumani zina tabia ya kuwa na uzushi mwiiingi..ukweli juu ya kifo chake ni ngumu sana kupatikana kila mtu anaongea lake..
 
Tatizo la Celebrities wengi wa Tanzania hawajui kuishi kistaa..kuna vitu kama Staa hutakiwi kuvifanya,kuna sehemu hutakiwi kwenda....kuna Bar za kwenda kunywa,za watu wenye pesa zao...hata akitokea Chizi mmoja na mawivu yake akakupigia kelele basi watu watakukamata wakupeleke Polisi,Sio Unaingia Bar za Kiswahili kama hizo mapanga yako karibu,sio kila bar unaingia kunywa.

Usipojua thamani yako utaondoka hapa duniani mapema sana!!
R.I.P Thomas Mashali,nilikuwa nakukubali sana..pengo lako kubwa sana
 
Ifike mahali watu waache hii tabia, miaka ya nyuma kule Kurasini walimpiga kiberiti kijana wa watu alfajiri. Baadae ikaja kugundulika ni mgonjwa wa akili. Polisi wanatakiwa wafanye uchunguzi na waliofanya mauaji wachukuliwe hatua. Hiyo ni murder case, haiwezekani ikachukuliwa poa tu hivihivi. Watu wastaarabu hatuuani hovyohovyo tu, hii tabia ikomeshwe.
 
Mkuu hebu pitia na hizo posts zilizotangulia Kuna watu nao wanamfahamu alikua na vikundi vyake vya uporaji,wengine wamesema alikua mtemi na akilewa nilazima awe mkorofi Sasa hebu tuweke vizuri upoa wake ulikuaje kwa unavyomfahamu wewe!!!
Mm simfahamu kihivyo ila alikuwa anapenda sana kuja Meridian bar na alikuwa anakaa hadi usiku mnene sikuwahi ona anazinguana na mtu yyte
 
Siku hizi tumekuwa na jamii au watanzania wanaochukua sheria mkononi. Matukio ya kumshukia mtu kuwa mwizi au mchawi na kuanza kumpiga yamekuwa mengi sana. Tukio la dodoma na hili la Machale kama ni kweli yanazidi kutuogopesha jamii ya watanzania tulionao
 
Kuna kitu sijakielewa hapa. Yaani wamekaa Bar, akiwa na rafiki zake wakinywa, anatokea mtu wanapishana maneno, kawaida katika kupishana maneno hapo kumbuka lazima watakua wali buy attention za watu. Halafu huyo wanayepishana naye maneno anaamua kpiga kelele za mwizi, ghafla wanatokea watu wakiwa na mapanga na marungu na kuingia sehemu hiyo ya biashara na kuanza kumshambulia mteja, hapo bar hakuna wahudumu? hakuna ulinzi? wale rafiki zake walikwenda wapi?
Mwandishi makini hawezi ku report vitu vya aina hii, kama angejiuliza haya maswali niliyojiuliza mimi basi angeendelea kuutafuta ukweli au ange report kifo badala ya kutoa details zilizopoteza radha kwa wingi wa ukakasi.
mashali alikua na tabia ya kupora hadharani,anakupora simu ukileta fyoko unakula punch za maana
 
Haya Yote Waziri ndio aliyokuwa anayataka... Panya road Mkubwa kadhibitiwa...

Ila Kama Hakuwa Mwizi na huyo aliyemuitia Mwizi Mungu Anamuona
Kama alikuwa mbabe na kwenye ugomvi anachukua mali za watu pole zake huko alipo
 
Mashali alikuwa underground boss, if you know what I mean.

Alikuwa na vikundi vya wezi/vibaka waliokuwa wakiiba wanampelekea, na pia alikuwa anacontrol makusanyo yasiyo rasmi kwenye vituo vya daladala (hawa wanajiita Tembo).

Hawa Matembo wanagawana maeneo, na ili umiliki eneo lazima uwe mbabe na uthibitishe kwamba wewe ni mkali.
Unaongea kitu ambayo ni halisi sema kuna watu hapa Dar Hawajuo hawa matembo.
 
Kinachotushangaza ni aina ya kifo kilichomkuta kapigwa kwa kosa lipi hasa ngoja tuendelee kusikiliza redio zetu tutapata majibu ya maswali yetu,sijui kawakosea nini wananchi wenye hasira kali
 
Kimara Ipi, na lini ilitokea, bar gani hiyo,
Kimara siku hizi kuna umafya hivyo.
 
Back
Top Bottom