mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
Umeambiwa ameshafariki, unatoa pole ya nini sasa. Muombee dua kwa Mungu.Pole sana kwa bondia wetu
God TaitaNakumbuka kuna mchezaji mmoja alichezea yanga ,stars na saiz yupo timu moja hv kabla alikuwa mkabaji hatari lkn tokea aajiriwe kwenye mpira kabadilika sana na imekuwa history tu saizi .
Lkn ndugu yetu Bado aliendekeza ujinga na maskani yao ya wapiga nguki manzese ,kagera ndio walivyo,.unaambiwa toa simu na mwenyewe unatoa mchana kweupe ,.ukiingia kwenye anga hutoki utakabwa ngumi utakula
Japo ni jambo la kuhuzunisha lkn iwe fundisho kwa wengine ,.tuacheni kujihusisha na masuala ya kijinga kila jambo lina mwanzo na mwisho
Na unachosema mkuu ni kweli kabisa watu wa manzese ,kagera nk wanamjua vilivyo . .maisha aliyojichagulia siyo kabisa
Extra curricula activitiesUbondia wa kwetu sio kazi, mpaka unshtukiwa ulikuwa unafanya "extra curricula activities" ni hatarious.. Anyway Rest In Peace.
Haha kweli unamjuaGod Taita
Hata kama ndo ujichukulie sheria mkononi?Mimi binafsi namfahamu Thomas Mashali enzi hizo nilikuwa naishi Tandale.Mashali alikuwa anaishi Tandale Muembeni karibu na makaburi ya kwa Bi Mtumwa,alikuwa mtemi na m'babe maarufu sana mitaani.Ukikutana nae tu,jua umekutana na dhoruba.Maana akitaka kufanya chochote kwako anafanya tena mchana kweupe.Na hata mchezo wa ngumi ameanza siku nyingi ila alitumia kipaji chake vibaya.
Kuna wadogo zake wawili wa kiume mmoja anaitwa Charles mashali,yeye alikuwa anacheza sana mpira enzi hizo mpira wa 'chandimu'
Mshahara wa dhambi ni mauti.
Sawa. Sasa hii ina uhusiano gani na kifo chake.Mashali alikuwa underground boss, if you know what I mean.
Alikuwa na vikundi vya wezi/vibaka waliokuwa wakiiba wanampelekea, na pia alikuwa anacontrol makusanyo yasiyo rasmi kwenye vituo vya daladala (hawa wanajiita Tembo).
Hawa Matembo wanagawana maeneo, na ili umiliki eneo lazima uwe mbabe na uthibitishe kwamba wewe ni mkali.
Sawa. Sasa hii ina uhusiano gani na kifo chake.
Unajuaje aliyepost hana degree, amekuonesha vyeti vyake original.Ndo mana Nape anawakomalia wawe na degree. Mana wanapost nonsenses. Haiingii akilini
Watu wanajaribu kuelezea course ya murder ndo maana sikuelewa connection ya maelezo yako.Siyo kila historia ya marehemu ina uhusiano na kifo chake.