JUA ni Kali Sana
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 1,202
- 1,543
Kwa msiomjua, Thomas Sowell ni mchumi, mwanahistoria, mwandishi, mkufunzi mwandamizi katika Taasisi ya Hoover nchini Marekani,na kadhalika.
Sowell ni mzaliwa wa Gastonia, NC.
Kwenye hii video, anaizungumzia Tanzania na sera yake ya Ujamaa chini ya Rais Nyerere.
Isikilize/ iangalie halafu tuambie ni wapi kakosea.
I think he is spot on!
View: https://youtu.be/H-tUQmXQ-xk?si=UryuPvS5grgzt_rr
ali waweka rumande baadhi ya matajiri, babu yetu akiwemo๐๐คฃIt was indeed the economic policy of socialism which killed Nyerere reputation to western, and they made him look bad and chosen Kenya, which infact adopted Capitalism from its inception.
Kosa la Nyerere nadhan ni kutumia resources za Tanzania kujaribu kutengeneza superiority ya Tanzania kwa nchi nyingi za SADC ambazo bado zilikuwa kwenye independence struggle...
He failed economically to the western view point, lakini alifanikiwa kutengeneza Reputation ya Tanzania na Watanzania kwa mataifa mengi Africa, offcourse with costs.
Tanzania trusted ally now wapo SADC wengi kuliko EAC.. because of him.
Nafikiri aliamini akiondoka Economics zinaweza tengenezwa na his successor.. and Mkapa Proved somehow , JPM too.
Issues za Kilimo na Railyway we are doing that bad, but as personal weaknesses hakuwa anapenda wajuaji, kwakuwa alijua gharama ya kuzungukwa na wajuaji kama kina Kambona...๐
Thanks.
Alijua watamsumbua..ali waweka rumande baadhi ya matajiri, babu yetu akiwemo๐๐คฃ
Shida historia ime wekwa kijamaa, Kuna watu hawaja pewa heshima walio stahili.Alijua watamsumbua..
Alikuwa mjamaa kweli kweli, lakini kuendesha nchi changa kama hii yenye watu milion karibu kumi kipindi hicho na wasomi hawafiki 200.. haikuwa rahisi
Baada ya miaka 40 ya Nyerere kustaafu. Ni hoja mfu. Halafu hoja kwamba ujamaa umeiharibia Tanzania, ukilinganisha na nchi ambazo hazikua na ujamaa mbona hakuna tofauti?Lawama kwa nyerere zinasaidia nini kipindi hiki
Tanzania ni kubwa karibia mara mbili ya Kenya, ina rasilimali nyingi zaidi ya Kenya na ardhi kubwa ya kilimo kuliko Kenya.It was indeed the economic policy of socialism which killed Nyerere reputation to western, and they made him look bad and chosen Kenya, which infact adopted Capitalism from its inception.
Kosa la Nyerere nadhan ni kutumia resources za Tanzania kujaribu kutengeneza superiority ya Tanzania kwa nchi nyingi za SADC ambazo bado zilikuwa kwenye independence struggle...
He failed economically to the western view point, lakini alifanikiwa kutengeneza Reputation ya Tanzania na Watanzania kwa mataifa mengi Africa, offcourse with costs.
Tanzania trusted ally now wapo SADC wengi kuliko EAC.. because of him.
Nafikiri aliamini akiondoka Economics zinaweza tengenezwa na his successor.. and Mkapa Proved somehow , JPM too.
Issues za Kilimo na Railyway we are doing somewhat good compared to our counterparts... Now we are leading in Africa Maize Production... According to data.
Almost 30 p ya GDP ya TZ sasa ni kilimo, up from less than 20% back then...
Generally Nyerere wasn't that bad, but as personal weaknesses hakuwa anapenda wajuaji, kwakuwa alijua gharama ya kuzungukwa na wajuaji kama kina Kambona...๐
Thanks.
Zao la ujamaa, unadhani nyumba inaanza kujengwa roof kabla ya foundation?Lawama kwa nyerere zinasaidia nini kipindi hiki
Hao ndio zao la siasa za familia yako, nyie ndio mmetuharibia nchiKwa hiyo sasa unataka kuwapongeza waliouza bandari?
Tanzania ni kubwa karibia mara mbili ya Kenya, ina rasilimali nyingi zaidi ya Kenya na ardhi kubwa ya kilimo kuliko Kenya.
Bado hujasemaNimezaliwa wakati President Mkapa ni Raisi, hivyo siwezi nikasema nina jua yaliyojiri wakati wa Urais wa Nyerere.
But, kutoka hadithi za Babu na Babaangu, na kutoka vitabuni n.k. Nyerere was the Greatest, still the greatest amongst African and World leaders alike Today.
His intellect and vision were unmatched then and still unmatched Today.
Hata hivyo sihitaji mzungu aje kuniambia mazuri au mabaya yake.
Ushahidi upo wazi leo hii.
Watanzania wanajitambua.
Nchi zina sababu zao za kufeli kulingana na muktadha mbalimbali na matatizo waliyokuwa nayo.Malengo yalikuwa mazuri ila matokeo yakaja ndivyo sivyo
Ingawa maendeleo aliyokua anayapigania Mzee Nyerere na Hali ilivyo kwa nchi zilizoiga ubepari toka mwanzo hata hatutofautiani sana, South Africa hiyo hapo mbona nao wamefeli tu
Upo Sawa mkuu,Tanzania ni kubwa karibia mara mbili ya Kenya, ina rasilimali nyingi zaidi ya Kenya na ardhi kubwa ya kilimo kuliko Kenya.
Mkuu wanasiasa wa Tanzania Nyerere aliwajua kitambo sana...Shida historia ime wekwa kijamaa, Kuna watu hawaja pewa heshima walio stahili.
kina Sykes wame saidia Sana, Kuna watu wa tabora pia.
โ๏ธ๐๐ฎBado hujasema
South Africa hakuna Siasa za Ujamaa wala Ukomunisti. South Africa ni full Ubepari.Malengo yalikuwa mazuri ila matokeo yakaja ndivyo sivyo
Ingawa maendeleo aliyokua anayapigania Mzee Nyerere na Hali ilivyo kwa nchi zilizoiga ubepari toka mwanzo hata hatutofautiani sana, South Africa hiyo hapo mbona nao wamefeli tu
Hyo successor wa nyerere ni mkapa na na magufuli ambae hata kujua kama atakua raisi hakushuhudia hv unaupofu au unamalengo yako jee nyerere alipokelewa uraisi na mkapa than akampasia magufuli hii ni historia au maharage ya wapi au ni sucseer wa kigangoni hebu weka waziIt was indeed the economic policy of socialism which killed Nyerere reputation to western, and they made him look bad and chosen Kenya, which infact adopted Capitalism from its inception.
Kosa la Nyerere nadhan ni kutumia resources za Tanzania kujaribu kutengeneza superiority ya Tanzania kwa nchi nyingi za SADC ambazo bado zilikuwa kwenye independence struggle...
He failed economically to the western view point, lakini alifanikiwa kutengeneza Reputation ya Tanzania na Watanzania kwa mataifa mengi Africa, offcourse with costs.
Tanzania trusted ally now wapo SADC wengi kuliko EAC.. because of him.
Nafikiri aliamini akiondoka Economics zinaweza tengenezwa na his successor.. and Mkapa Proved somehow , JPM too.
Issues za Kilimo na Railyway we are doing somewhat good compared to our counterparts... Now we are leading in Africa Maize Production... According to data.
Almost 30 p ya GDP ya TZ sasa ni kilimo, up from less than 20% back then...
Generally Nyerere wasn't that bad, but as personal weaknesses hakuwa anapenda wajuaji, kwakuwa alijua gharama ya kuzungukwa na wajuaji kama kina Kambona...๐
Thanks.
Miaka 40 yote bado unalalamikia msingi? Mipango miji mibovu analalamikiwa Nyerere wakati yeye mini yake ameacha imepangiliwa, barabara mbovu analaumiwa Nyerere, rais kua na msafara wa magari 120 kwenye ziara yake lawama ni kwa Nyerere, ufisadi mkubwa lawama ni Nyerere, elimu mbovu lawama ni Nyerere, huduma mbovu za afya lawa ni Nyerere, mtu akishindwa kumpa mkewe mimba lawama ni Nyerere, mwanaume akishindwa kusimamisha lawama ni Nyerere, uchawa lawama ni Nyerere.Zao la ujamaa, unadhani nyumba inaanza kujengwa roof kabla ya foundation?
.....โ๏ธ๐๐ฎ