John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Karl Peters au Karl Max?Au Leninn?Naongez tu
Ieleweke.Kwa wale wasiojua, Muasisi wa Ujamaa alikuwa KCarl Peters wa Ujerumani. Na baadae kuigwa na Nchi zingine.
ujiridhie kuhusu hilo
Wazungu walijua bila ya uwepo wa aina fulani wa Ujamaa na Kujitegemea, Capitalist system ina lenda ku Collapse.
=======
Itoshe, kuna wajinga na wapuuzi waliomezeshwa nakukaririshwa maneno, kwamba Ujamaa na kujitegemea ni Itikadi ya Kisiasa kama ilivyo itikadi ya WaCommunist wa Ulaya mashariki. Sio kweli kabisa.
Hawajui wanachokiongelea.
"No research no right to speak."
Mao Zedong