Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
Ww na huyo jamaa huwa mnagongana mukichwa💠aseLaana inakutafuna. Afrika ya Kusini ni ya Wazungu?
kumbe upo mzee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww na huyo jamaa huwa mnagongana mukichwa💠aseLaana inakutafuna. Afrika ya Kusini ni ya Wazungu?
Botswana na MauritiusMi naona wote mnaongea msichokijua, ni taifa gani la africa lisilo na ujamas lipo vizuri
Miaka hiyo haya mambo ya demokrasia yalikuwa ni changamoto kila sehemu. Kwanza Kenya kulikuwa na udikteta kuliko Tanzania. Mobutu alikuwa darling wa West, nchi yake iko wapi? Malawi na nchi kibao za Afrika zilizokuwa hazina ujamaa bado zina changamoto... ni Nyerere aliziharibu?Hata kuwafunga wapinzani/ wakosoaji, kuondoa demokrasia, nayo malengo yake yalikuwa mazuri?
Ukomunisti sio Ujamaa mbona unalazimisha sana kuweka correlation?Ukomunisti au ujamaa ni mfumo wa kijinga na siku zote lazima ushindwe tu na sababu ziko nyingi sana. Soko huria japo sio perfect lakini ndio kichocheo kikubwa cha ubunifu, uvumbuzi, maendeleo na uhuru wa binadamu kulinganisha na mfumo wowote ule.
Ulitaka nitumie Zimbabwe kama baseline wakati aliye comment ameongelea Kenya?!Kenya ndiyo unapenda kuitumia kama baseline? Nilidhani ungelinganisha between two time lines
Tuangalie nchi kwa muktadha wao,Miaka hiyo haya mambo ya demokrasia yalikuwa ni changamoto kila sehemu. Kwanza Kenya kulikuwa na udikteta kuliko Tanzania. Mobutu alikuwa darling wa West, nchi yake iko wapi? Malawi na nchi kibao za Afrika zilizokuwa hazina ujamaa bado zina changamoto... ni Nyerere aliziharibu?
Nikki wa Pili.Kuna mkuu wa wilaya shabiki wa Thomas Sowell? Nani huyo?
Mkulu, unataka kusema Africa haikuwa na mifumo ya kidemocrasia kabla ya wakoloni kuja na kuharibu mifumo ya kiutawala?Miaka hiyo haya mambo ya demokrasia yalikuwa ni changamoto kila sehemu. Kwanza Kenya kulikuwa na udikteta kuliko Tanzania. Mobutu alikuwa darling wa West, nchi yake iko wapi? Malawi na nchi kibao za Afrika zilizokuwa hazina ujamaa bado zina changamoto... ni Nyerere aliziharibu?
Kitu gani Nyerere alifanikiwa katika masuala ya uchumi wa nchi?Mkulu, unataka kusema Africa haikuwa na mifumo ya kidemocrasia kabla ya wakoloni kuja na kuharibu mifumo ya kiutawala?
Hata hivyo ni ukweli usiopingika, Nyerere hakuharibu chechote in the context of socio- political, socio Economics and social fabric of Tanzania. It was quite the opposite na ninaweza kusema, Aliimarisha mifumo yetu iliyokuwa teyari ishaanza kulegezwa na itikadi za kimagharibi.
Ujamaa wa Nyerere ni wa tofauti na nchi za Scandinavia, jina zuri la uchumi wa hizo nchi ni Welfare states. Huo mfumo wao haufanyi matajiri kuwa haramu, hauweki watu katika vijiji vya Ujamaa na pia una kiwango cha juu cha demokrasia duniani. Huo unaitwa Ujamaa kwa sababu serikali inatumia nguvu nyingi sana kuhakikisha watu wote wanapata huduma bora za elimu na afya kwa gharama karibia na bure au bure kabisa.Ujamaa ulifeli kwasababu haikuwa muda wake, ujamaa unauingiza taratbu taratibu kwa kupitia mfumo wa kibepari (nchi kama Denmark na nyingine za ukanda huo baadhi ya watu hupenda kuziita "capitalist countries with strong social policies)
Tatizo lako wewe na Mohamed Said mnaongozwa na udini.Kwa miaka FaizaFoxy anayasema hayo, hapa hapa JF, mnajifanya hamumwelewi.
Una hasira...Ujamaa wa Nyerere ilikuwa ni KABURI la Uchumi wa Tanzania. Uchumi wa Tanzania ulikufa na kuzikwa rasmi kwa kupitia Sera na Itikadi mbaya sana za Ujamaa. Azimio la Arusha ndiyo ilihitimisha Safari na Uhai wa Uchumi wa nchi hii ya Tanzania.
Takribani 60% ya Umaskini na Ufukara uliotopea hapa Tanzania umesababishwa na Siasa za Kikomunisti/Ujamaa za Mwl. J.K. Nyerere. Mwalimu aliiga Siasa mbaya sana za Kikomunisti kutoka kwa Marafiki zake wakubwa waliokuwepo enzi hizo kutoka nchini Urusi, China, Cuba, na Korea ya Kaskazini.
Mbaya zaidi Sana, Mwl. Nyerere alifuata na kuiga Itikadi na Falsafa Mbaya zaidi za Siasa za Kikomunisti, Itikadi ya Juche.
Itikadi za Juche ni falsafa kali zaidi za misimamo mikali ya Siasa za Kikomunisti/Ujamaa.
Siasa za Azimio la Arusha kuhusu Ujamaa na Kujitegemea ni Misingi ya Itikadi kali sana ya JUCHE, Yaani Jaju, Jurip and Jiraw.
Mzee Yoda. Kwa fikra zako bila ya kukukwaza ni kama za Sowel, ni biased! hata nikitaja mafanikio yake utajiondoa ufahamu.Kitu gani Nyerere alifanikiwa katika masuala ya uchumi wa nchi?
Pale mfa maji anaposhindwa kuacha kutapatapa.Lawama kwa nyerere zinasaidia nini kipindi hiki
You nailed it man!Hii mada ndio nimeamini kweli hii nchi watu uwezo wa kufikiri ni mdogo sana,huyo Mzungu ni Mpumbavu kama wanaomuunga mkono walivyo Wapumbavu zaidi yake,
Unapomzungumzia Nyerere lazima Akili itulie sio anaropoka ropoka kama kuna kitu kimeingia sehemu za Siri,
Swali la kwanza la kujiuliza kama Great Thinkers mnavyojiita humu ndani,nini maana ya Uhuru kwa wakati ule kipindi watu weusi wametoka kunyanyaswa, kufanywa watumwa na kila baya kutoka kwa hao mabwana zenu weupe?
Kwann tulipigania Uhuru?
Nyerere anakabidhiwa nchi tulikuwa na wataalamu wangapi wazalendo wa kuleta hayo maendeleo ya haraka haraka?
Kwanini tulikuja na Azimio La Arusha?
Mmesoma au kusikiliza hotuba ya Nyerere ya miaka 10 ya kujitawqla tangu nchi ilipopata Uhuru maendeleo ambayo tuliweza kupiga kuzidi miaka ya hao mbwa weupe waliyotutawala?
Anguko la jumuia ya Afrika mashariki?
Vikwazo vya kiuchumi hasa upatikanaji wa vipuri katika mitambo ya viwanda vyetu tulivyokuwa tumeanza kuanzisha hao mbwa kutotupa kwa wakati ili viwanda vife?
Kupanda kwa bei ya Mafuta miaka ya 70s kulikopelekea mtikisiko wa uchumi karibu Dunia nzima je?
Vita vya Uganda na Ukame uliokuja baadae?
Nyerere tunamuheshimu kama kiongozi aliyejharibu kujenga Misingi ya hii nchi licha ya changamoto zilizokuwepo kipindi hiko,bila ya Nyerere sisi tuliopo kwenye sekta ya Madini tusingeweza kupata Leseni za umiliki wa Uchimbaji wa Dhahabu au hata kumiliki Ardhi pengine,
Huko nchini China raisi wa kwanza Mao anaheshimika sio sababu ya kujenga Fly Over au Bullet Trains,watu wengi waliokufa chini yake ila yeye alipigania China kwanza na maendeleo ya mtu mmoja mmoja baadae,Deng Xiaoping kaleta mabadiliko ila misingi ya Mao unafanya kazi mpaka leo.
Nchi haijengwi na mtu mmoja na ndio maana alitoka madarakani akawaachia wengine,lakini mpaka leo watu wapumbavu bado mnalaumu.
Swali la kujiuliza kabla hujamlaumu Nyerere wewe binafsi umefanya nini kuisaidia hii nchi?
Zidumu Fikra Za Mwalimu!