You nailed it man!
Hofu yangu ni kiwango cha akili cha watakaosoma hii comment yako!
Mkuu huu mtandao umekuwa wa Kisenge sana,kuna watu wana majina makubwa humu ila ukisoma comment zao kwenye mambo ya msingi kuhusu nchi au Historia yetu unabaki kushika kichwa tu,
Kwa mfano Nyerere aliandika Kitabu cha Tanu Na Raia kuwakumbusha viongozi juu ya wajibu wao katika Taifa hili changa,bado akaja na kauli mbiu ya Uhuru Na Kazi ili watu wajue Uhuru sio kukaa kwenye vibanda vya kahawa na kubishana mambo ya Yesu na Mtume Mohammed nani ni mkweli au Simba na Yanga,
Akabinafsisha na shule za Misheni ili hawa mbwa wanaomtukana leo babu zao wajue hata kusoma na kuandika,akaja na UPE ili kila mtanzania kwanza ajue kusoma na kuandika na wachache waende Elimu ya juu ili kuja kuiokomboa hii nchi kiuchumi,
Mimi nipo Katavi huku,miaka ya 70 huyo mzee alileta Timu ya wataalamu kutoka Urusi kufanya tafiti za kijiolojia kufahamu Assets za Madini tulizokuwa nazo,wale warusi waligundua vitu vya hatari ila inavyosemekana walipotaka kuchimba Mzee alikataa na kusema nataka mpaka wananchi wangu wawe na Elimu ya mambo hayo,mimi nimebahatika kupata Geological Map ya hao warusi,ni hatari yaliyomo na namshukuru Nyerere mpaka naingia kaburini,leo hii mimi namiliki Leseni za Madini ya Dhahabu na Kopa sababu yake.
Wachina wanakimbilia Katavi kuvuna Copper na Gold watu weusi wanabaki kubishana Simba na Yanga au harusi ya Mobeto na msenge mwenzake.
Shida ya watu weusi lipo Kichwani,tunapenda kulalamika bila ya kuja na suluhisho,hata kujaribu tunashindwa na mtu akijaribu ikitokea matokeo hayajakuwa mazuri ndio hapo hapo tunapoonesha kuwa hana Akili wakati wewe mwenye Akili umeshindwa kujaribu chochote.
Fikra Za Mwalimu Zidumu.