Thomas Sowell: Jinsi Ujamaa wa Nyerere ulivyoiharibu Tanzania

Thomas Sowell: Jinsi Ujamaa wa Nyerere ulivyoiharibu Tanzania

Attachments

  • IMG-20250223-WA0040 (1).jpg
    IMG-20250223-WA0040 (1).jpg
    78.2 KB · Views: 2
Hasara Kubwa imepata Tanganyika na Zanzibar kiasi ni kuasisiwa kwa Chama kinaitwa TANU full stop.
 
Nyerere hakuwa smart angekuwa smart asingeandaa katiba mbovu Kama hii ambayo Ccm wanaitumia Kama silaha ya kubakia madarakani with zero impact.

Pia hakuwekeza katika kuandaa Elimu bora mfano kusema lugha ya kiswahili ni siasa Ambazo hazikuwa na tija .

Ujamaa ni Sera mbovu Sana kuwahi kuandaliwa Tanganyika.
 
Lawama kwa nyerere zinasaidia nini kipindi hiki
Zinasaidia sana kwa kubaini makosa yaliyofanyika chini ya uongozi wake, mipango yake na itikadi zake ili tusije tukarudia makosa kama yale na kupotea tena njia.
 
Kwa msiomjua, Thomas Sowell ni mchumi, mwanahistoria, mwandishi, mkufunzi mwandamizi katika Taasisi ya Hoover nchini Marekani,na kadhalika.

Sowell ni mzaliwa wa Gastonia, NC.

Kwenye hii video, anaizungumzia Tanzania na sera yake ya Ujamaa chini ya Rais Nyerere.

Isikilize/ iangalie halafu tuambie ni wapi kakosea.

I think he is spot on!


View: https://youtu.be/H-tUQmXQ-xk?si=UryuPvS5grgzt_rr

Ngosha katoleq mfano nchi ganiya kiafrika ambayo haikufuata ujamaq wa Nyerere na ni bora kuliko Tanzania?
 
Kenya ndiyo unapenda kuitumia kama baseline? Nilidhani ungelinganisha between two time lines
Hii mifano watanzania wengi wenye vinasaba vya Kenya wanapenda kuitumia sana sana Wapare maana Kenya ni chimbuko lao, ukimsikia tu mtu anaaanza Kenya hivi na Tanzania hivi ooh Kenya hawana Ardhi ooh Tanzania wanayo Ardhi halafu anajiweka upande wa Kenya huku anawaona watanzania km sio namna gani Mpare huyo, watanzania wanayo Ardhi ambayo imehodhiwa na kakikundi cha watu fulani na ukiigusa wanakushughulikia ipasavyo
 
Ni muhimu pia kufahamu kwamba Nyerere alirithi kutoka kwa wakoloni uchumi mzuri uliokuwa unafanya vizuri mfano Kiwanda cha nyama kawe, mashamba ya mkonge, ngano, chai na kahawa, vyama vya ushirika vilivyokuwa imara, benki, reli zilizokuwa zinafanya kazi, mipango miji n.k ila wakati anaondoka madarakani karibia kila kitu katika uchumi kilikuwa kimeenda kombo na kuharibika. Kwa kipimo chochote huwezi kusema huko ni kufanikwa.
🌤️🙋‍♂️✍️🎯👏👌👍👊🤝🙏💐🛡️
 
Nilitaka niache kukujibu ila ngoja..

Hasira hizi zote ni kwa neno Successors au kun kitu unataka ufafauzi?

Nimechagua successors wa Nyerere ambao walipambania Economic reforms aggressively...

Mkuu Magufuli alifanya economic reform gani tangible???

Pili kwanini select Marais wakristo tu???

Acha janja janja, ubaguzi na ukaburu!!!
 
Hii mifano watanzania wengi wenye vinasaba vya Kenya wanapenda kuitumia sana sana Wapare maana Kenya ni chimbuko lao, ukimsikia tu mtu anaaanza Kenya hivi na Tanzania hivi ooh Kenya hawana Ardhi ooh Tanzania wanayo Ardhi halafu anajiweka upande wa Kenya huku anawaona watanzania km sio namna gani Mpare huyo, watanzania wanayo Ardhi ambayo imehodhiwa na kakikundi cha watu fulani na ukiigusa wanakushughulikia ipasavyo
😲🤔🤓
 
Nyerere hakuwa smart angekuwa smart asingeandaa katiba mbovu Kama hii ambayo Ccm wanaitumia Kama silaha ya kubakia madarakani with zero impact.

Pia hakuwekeza katika kuandaa Elimu bora mfano kusema lugha ya kiswahili ni siasa Ambazo hazikuwa na tija .

Ujamaa ni Sera mbovu Sana kuwahi kuandaliwa Tanganyika.
Kuendelea kumlaumu Nyerere kwa katiba mbovu ni kuonyesha jinsi gani sisi tuliopo sasa tusivyo na uwezo wowote.

Kama tunajua ni mbovu kwa nini hatutengenezi nyingine iliyo bora zaidi?

Hapo Nyerere hastahili lawama yoyote ile.
 
Ukomunisti au ujamaa ni mfumo wa kijinga na siku zote lazima ushindwe tu na sababu ziko nyingi sana. Soko huria japo sio perfect lakini ndio kichocheo kikubwa cha ubunifu, uvumbuzi, maendeleo na uhuru wa binadamu kulinganisha na mfumo wowote ule.
Ujamaa ulifeli kwasababu haikuwa muda wake, ujamaa unauingiza taratbu taratibu kwa kupitia mfumo wa kibepari (nchi kama Denmark na nyingine za ukanda huo baadhi ya watu hupenda kuziita "capitalist countries with strong social policies)
 
Ngosha katoleq mfano nchi ganiya kiafrika ambayo haikufuata ujamaq wa Nyerere na ni bora kuliko Tanzania?
Kama nimemsikia vizuri, kaitaja Côte d’Ivoire.

Sasa, sijui kama wao waliufuata ujamaa wa Nyerere au la.

Na sina uhakika hiyo video ni ya mwaka gani maana sasa hivi Thomas Sowell ana miaka 94 na hapo kwenye video anaonekana bado ni kijana kabisa….so possibly ilikuwa labda kwenye miaka ya 60 mwishoni au 70 mwanzoni.
 
Kwa msiomjua, Thomas Sowell ni mchumi, mwanahistoria, mwandishi, mkufunzi mwandamizi katika Taasisi ya Hoover nchini Marekani,na kadhalika.

Sowell ni mzaliwa wa Gastonia, NC.

Kwenye hii video, anaizungumzia Tanzania na sera yake ya Ujamaa chini ya Rais Nyerere.

Isikilize/ iangalie halafu tuambie ni wapi kakosea.

I think he is spot on!


View: https://youtu.be/H-tUQmXQ-xk?si=UryuPvS5grgzt_rr

Is Kenya better than us? Wao walifata ubepari!
Kushindwa kwa ujamaa wa nyerere, sababu hqikuwa ujamaa peke yake kama mfumo, tukumbuke kipindi hicho, ilikuwa Vita baridi, super power wawili wakigombana, influence ya magharibi ilikuwa kubwa kuhakikisha sera za kijamaa zinashindwa, America na nduguze walimsumbua sana nyerere, walimtishia kumnyima misaada, kusema Nyerere aliharibu nchi peke yake kwa sera ya ujamaa, sio kweli ni kumuonea,
Kenya walifata ubepari, Leo hii kuna ukabila balaa, kikundi kidogo cha watu ndio kinamiriki nchi!
Tuje Leo, miaka 25+ baada ya nyerere, hatuna ujamaa lakini nchi haiendi! Ufukara kila Kona, China ni wakomunist,na ni super power, UK, US ni mabepari na ni super powers, sera peke yake, haijengi nchi, lazima vigezo vingine viingie hapo,
Hawa ngozi nyeupe ni shida sana, sasa hv wameanza kusema, utumwa na biashara ya utumwa ilisababishwa na mtu mweusi sio wao, kwamba wakati wanakuja Afrika, walikuta tayari tunafanyiana utumwa!
 
Kwa msiomjua, Thomas Sowell ni mchumi, mwanahistoria, mwandishi, mkufunzi mwandamizi katika Taasisi ya Hoover nchini Marekani,na kadhalika.

Sowell ni mzaliwa wa Gastonia, NC.

Kwenye hii video, anaizungumzia Tanzania na sera yake ya Ujamaa chini ya Rais Nyerere.

Isikilize/ iangalie halafu tuambie ni wapi kakosea.

I think he is spot on!


View: https://youtu.be/H-tUQmXQ-xk?si=UryuPvS5grgzt_rr

Sasa yule mkuu wa wilaya anayependa sana kuvipost vitabu vyake atasemaje?
 
Mi naona wote mnaongea msichokijua, ni taifa gani la africa lisilo na ujamas lipo vizuri
 
Wewe ungetulia kwanza ujifunze haya mambo kwa undani, Carl Peters aliyekuwa anatapeli ardhi Morogoro alianzisha lini ujamaa?!
Vidole viliteleza Hapo kweli nilijichanganya majina.

Hakika alikuwa ni Otto von Bismark na sio Karl Peters.

I stand corrected.

Otto V.B alianzisha sera za Kijamaa; Bismarkism -na hivyo kumfanya kuwa muasisi wa Ujamaa ndani ya Captalism/free market system.
 
Amechanganyikiwa.
Kweli, nilichanganya majina.
Ni Karl Max na Lenin ndio Waasi wa falsafa hizo
Kweli, lakini Nyerere hakuwahi kuwa na itikadi za Kikomunisti, hivyo basi wewe ndie umejichanganya hapo kwa kulazimisha Nyerere alifuata itikadi hizo.

Tambua pia, Falsafa za Nyerere hauezi zifananisha na za wakina Carl Marx au Lenin.

I urge you to stop simplifying them to fit your western ideological frameworks.
 
Back
Top Bottom