Thomas Sowell: Jinsi Ujamaa wa Nyerere ulivyoiharibu Tanzania

Thomas Sowell: Jinsi Ujamaa wa Nyerere ulivyoiharibu Tanzania

Wazungu wa west siku zote wamekuwa wakidemonize socialism na communism. There is no way watasifia ujamaa au kumsifia kiongozi wa kijamaa. Chuki za kiitikadi zipo deeply ingrained ni kama ambayo hamas hawezi kusifia chochote cha yahud au shabiki mnazi wa simba asivyoweza kuisifia Yanga.
Ni wazungu hao ndio ambao wamekuwa wakitoa skolaship kwa baadhi yetu kwenda kusoma kwenye vitabu vyao, vyuo vyao, kufundishwa na hao wazungu, na tunakuwa indoctrinated kuwa ujamaa ni mbaya na Nyerere was bad.

Kuna nchi jirani kadhaa, ambazo hazikufuata ujamaa wala hazikuwa na mtu kama Nyerere, ZIKO WAPI KIUCHUMI?

Na toka Nyerere kaondoka, tuko wapi kiuchumi?
Yahudi anaweza kusifia hamas sio? Hamwez kuwa waelezeaji wa issue ukiwa una bias simba ulitaja yanga lakini mumeo yahudi umeshindwa kuweka vs ni kama mpuuzi mmoja hapa ety uchumi anasema ungerekebishwa na mkapa na magufuli hv huu udini mpaka lini nyie vibwetere aliona kutaja aliefata baada ya nyerere ni mwinyi akarukia mkapa than magu dah mnajua kujizima data
 
loader.png
 
Wazungu wa west siku zote wamekuwa wakidemonize socialism na communism. There is no way watasifia ujamaa au kumsifia kiongozi wa kijamaa. Chuki za kiitikadi zipo deeply ingrained ni kama ambayo hamas hawezi kusifia chochote cha yahud au shabiki mnazi wa simba asivyoweza kuisifia Yanga.
Ni wazungu hao ndio ambao wamekuwa wakitoa skolaship kwa baadhi yetu kwenda kusoma kwenye vitabu vyao, vyuo vyao, kufundishwa na hao wazungu, na tunakuwa indoctrinated kuwa ujamaa ni mbaya na Nyerere was bad.

Kuna nchi jirani kadhaa, ambazo hazikufuata ujamaa wala hazikuwa na mtu kama Nyerere, ZIKO WAPI KIUCHUMI?

Na toka Nyerere kaondoka, tuko wapi kiuchumi?

Ujamaa/Ukomunisti ni Kitu kibaya sana, hakuna ubishi juu ya suala hili.

Kufeli kwa nchi nyingi sana za Afrika zaidi sana kumesababishwa na Ubovu wa akili za waAfrika wenyewe (especially for Black Africans countries).

Rais wa zamani wa nchi ya Afrika Kusini enzi za Utawala wa Ubaguzi wa rangi Bw. Pieter W. Botha aliwahi kusema kwamba "Tuliwakataa, tuliwatenga na kuwaengua kabisa Watu weusi katika mchakato wa maendeleo ya nchi na ujenzi wake kwa sababu hawana akili nzuri. Endapo kama tungewajumuisha basi wangetuharibia mambo yetu mazuri yaliyopo Afrika Kusini leo hii."
 
It was indeed the economic policy of socialism which killed Nyerere reputation to western, and they made him look bad and chosen Kenya, which infact adopted Capitalism from its inception.

Kosa la Nyerere nadhan ni kutumia resources za Tanzania kujaribu kutengeneza superiority ya Tanzania kwa nchi nyingi za SADC ambazo bado zilikuwa kwenye independence struggle...

He failed economically to the western view point, lakini alifanikiwa kutengeneza Reputation ya Tanzania na Watanzania kwa mataifa mengi Africa, offcourse with costs.

Tanzania trusted ally now wapo SADC wengi kuliko EAC.. because of him.

Nafikiri aliamini akiondoka Economics zinaweza tengenezwa na his successor.. and Mkapa Proved somehow , JPM too.
Ni muhimu pia kufahamu kwamba Nyerere alirithi kutoka kwa wakoloni uchumi mzuri uliokuwa unafanya vizuri mfano Kiwanda cha nyama kawe, mashamba ya mkonge, ngano, chai na kahawa, vyama vya ushirika vilivyokuwa imara, benki, reli zilizokuwa zinafanya kazi, mipango miji n.k ila wakati anaondoka madarakani karibia kila kitu katika uchumi kilikuwa kimeenda kombo na kuharibika. Kwa kipimo chochote huwezi kusema huko ni kufanikwa.
 
Mkuu wanasiasa wa Tanzania Nyerere aliwajua kitambo sana...

Angalia kina Msigwa, Dr. Slaa, Lema, Covid?

Unadhani anaeandika historia ya Upinzani asipowataja atakuwa kakosea mahali?
Kwa hao hakuna shida, ila historia ya usalama wa nchi hii kuanzia 2005 iko hovyo.
 
Kqa

Hyo successor wa nyerere ni mkapa na na magufuli ambae hata kujua kama atakua raisi hakushuhudia hv unaupofu au unamalengo yako jee nyerere alipokelewa uraisi na mkapa than akampasia magufuli hii ni historia au maharage ya wapi au ni sucseer wa kigangoni hebu weka wazi
Nilitaka niache kukujibu ila ngoja..

Hasira hizi zote ni kwa neno Successors au kun kitu unataka ufafauzi?

Nimechagua successors wa Nyerere ambao walipambania Economic reforms aggressively...
 
Ni muhimu pia kufahamu kwamba Nyerere alirithi kutoka kwa wakoloni uchumi mzuri uliokuwa unafanya vizuri mfano Kiwanda cha nyama kawe, mashamba ya mkonge na kahawa, vyama vya ushirika vilivyokuwa imara, benki, reli zilizokuwa zinafanya kazi, mipango miji n.k ila wakati anaondoka madarakani karibia kila kitu katika uchumi kilikuwa kimeenda kombo na kuharibika. Kwa kipimo chochote huwezi kusema huko ni kufanikwa.
Sio kwa bahati mbaya,

Resources nyingi alizpeleka kudai uhuru mataifa ya SADC ambayo bado yalikuwa kwenye mapambano hayo kama Zim, SA, Botswana, Angola etc..

Vita ya 1978. Na Amin, ilitibua Uchumi wetu big time.. legends have it kwamba it costs us more than 1B USD... Enzi hizo... Wakati GDP ilikuwa chini kidogo ya $2.8B.....

Ila hii imejenga strong ally kwa nchi nyingi za Africa, na tunaaminika kwa sababu ya gharama hizo alizolipa Nyerere, offcourse kwa Uchumi wetu pia.

Kwa Sasa Africa Tanzania ikisema kitu hapana, tuna back up ya nchi karibia 20 zitatuunga mkono..

Kenya ana nani? Rwanda? Uganda?

We shall overcome, i believe!
 
Ni muhimu pia kufahamu kwamba Nyerere alirithi kutoka kwa wakoloni uchumi mzuri uliokuwa unafanya vizuri mfano Kiwanda cha nyama kawe, mashamba ya mkonge na kahawa, vyama vya ushirika vilivyokuwa imara, benki, reli zilizokuwa zinafanya kazi, mipango miji n.k ila wakati anaondoka madarakani karibia kila kitu katika uchumi kilikuwa kimeenda kombo na kuharibika. Kwa kipimo chochote huwezi kusema huko ni kufanikwa.
Fact!
 
Wazungu wa west siku zote wamekuwa wakidemonize socialism na communism. There is no way watasifia ujamaa au kumsifia kiongozi wa kijamaa. Chuki za kiitikadi zipo deeply ingrained ni kama ambayo hamas hawezi kusifia chochote cha yahud au shabiki mnazi wa simba asivyoweza kuisifia Yanga.
Ni wazungu hao ndio ambao wamekuwa wakitoa skolaship kwa baadhi yetu kwenda kusoma kwenye vitabu vyao, vyuo vyao, kufundishwa na hao wazungu, na tunakuwa indoctrinated kuwa ujamaa ni mbaya na Nyerere was bad.

Kuna nchi jirani kadhaa, ambazo hazikufuata ujamaa wala hazikuwa na mtu kama Nyerere, ZIKO WAPI KIUCHUMI?

Na toka Nyerere kaondoka, tuko wapi kiuchumi?
Naongeza tu

Ieleweke.Kwa wale wasiojua, Muasisi wa Ujamaa alikuwa Otto Van Bismark wa Ujerumani. Na baadae kuigwa na Nchi zingine.

ujiridhie kuhusu hilo

Wazungu walijua bila ya uwepo wa aina fulani wa Ujamaa na Kujitegemea, Capitalist system ina lenda ku Collapse.

=======

Itoshe, kuna wajinga na wapuuzi waliomezeshwa nakukaririshwa maneno, kwamba Ujamaa na kujitegemea ni Itikadi ya Kisiasa kama ilivyo itikadi ya WaCommunist wa Ulaya mashariki. Sio kweli kabisa.
Hawajui wanachokiongelea.
 
Alijua watamsumbua..

Alikuwa mjamaa kweli kweli, lakini kuendesha nchi changa kama hii yenye watu milion karibu kumi kipindi hicho na wasomi hawafiki 200.. haikuwa rahisi
Kuna element moja ya Ukomunisti ambayo Nyerere hakuitekeleza ipasavyo ambayo ni muhimu sana pia ili ujamaa/Ukomunisti ufanikiwe nayo ni ukatili uliopitiliza wa utawala. Ukiangalia sababu mojawapo ya ujamaa kufanikiwa kwa kiasi fulani China, Urusi Vietnam Cuba ni pamoja na mauaji ya mamilioni ya watu ili kufanikisha malengo ya kitaifa. Nyerere yeye kwenye ujamaa wake suala la rushwa anaongelea kuchapa watu viboko wakati wenzake walikuwa wananyonga.
 
Naongez tu

Ieleweke.Kwa wale wasiojua, Muasisi wa Ujamaa alikuwa KCarl Peters wa Ujerumani. Na baadae kuigwa na Nchi zingine.

ujiridhie kuhusu hilo

Wazungu walijua bila ya uwepo wa aina fulani wa Ujamaa na Kujitegemea, Capitalist system ina lenda ku Collapse.

=======

Itoshe, kuna wajinga na wapuuzi waliomezeshwa nakukaririshwa maneno, kwamba Ujamaa na kujitegemea ni Itikadi ya Kisiasa kama ilivyo itikadi ya WaCommunist wa Ulaya mashariki. Sio kweli kabisa.
Hawajui wanachokiongelea.
Wewe ungetulia kwanza ujifunze haya mambo kwa undani, Carl Peters aliyekuwa anatapeli ardhi Morogoro alianzisha lini ujamaa?!
 
Naongez tu

Ieleweke.Kwa wale wasiojua, Muasisi wa Ujamaa alikuwa KCarl Peters wa Ujerumani. Na baadae kuigwa na Nchi zingine.

ujiridhie kuhusu hilo

Wazungu walijua bila ya uwepo wa aina fulani wa Ujamaa na Kujitegemea, Capitalist system ina lenda ku Collapse.

=======

Itoshe, kuna wajinga na wapuuzi waliomezeshwa nakukaririshwa maneno, kwamba Ujamaa na kujitegemea ni Itikadi ya Kisiasa kama ilivyo itikadi ya WaCommunist wa Ulaya mashariki. Sio kweli kabisa.
Hawajui wanachokiongelea.

Ujamaa na Kujitegemea ni Itikadi ya Siasa ndiyo, hususani Siasa za Kikomunisti.
Ujamaa na Kujitegemea ni mojawapo ya misingi mikuu mitatu ya Itikadi za Ukomunisti wenye msimamo mkali, unafahamika zaidi kwa jina la "JUCHE".
Juche Ina Misingi mikuu mitatu, yaani: Jaju, Jurip na Jiraw kulingana na. Sera hiyo ya Ujamaa na Kujitegemea.
 
Upo Sawa mkuu,

Lakini ukubwa wa nchi na resources sio hoja, Mindset za viongoz wake ndio kila kitu...

Kama mindset hazipo sawasawa kuendelea ni ndoto ..

Miaka 40 baada ya Nyerere kutoka madarakani kuendelea kumlaumu sio kumtendea haki ..

Mambo mengine tunakosea wenyewe .

Wapo watu hawastahili kabisa kupewa uongozi, lakini tujiulize nani anawafanyia vetting?

Wananchi wanawapigia tu kura bila kujali...

Huko Upinzani ndio balaa tupu.
Kusema kwamba ujamaa ulifeli na legacy yake haijawa nzuri sana katika nchi sio lawama, ni kuelezea uhalisia wa historia. Pia katika taifa founders ni muhimu sana kwa sababu ndio wanaoweka msingi.
 
Wazungu wa west siku zote wamekuwa wakidemonize socialism na communism. There is no way watasifia ujamaa au kumsifia kiongozi wa kijamaa. Chuki za kiitikadi zipo deeply ingrained ni kama ambayo hamas hawezi kusifia chochote cha yahud au shabiki mnazi wa simba asivyoweza kuisifia Yanga.
Ni wazungu hao ndio ambao wamekuwa wakitoa skolaship kwa baadhi yetu kwenda kusoma kwenye vitabu vyao, vyuo vyao, kufundishwa na hao wazungu, na tunakuwa indoctrinated kuwa ujamaa ni mbaya na Nyerere was bad.

Kuna nchi jirani kadhaa, ambazo hazikufuata ujamaa wala hazikuwa na mtu kama Nyerere, ZIKO WAPI KIUCHUMI?

Na toka Nyerere kaondoka, tuko wapi kiuchumi?
Kwa mtazamo wangu kinachokosewa ni implementation ya socialism, hautakiwi kuanza nayo bali socialism inabidi iwe the final stage of society:
1. Tunaanza na communism (ujima) ambapo taifa (state) linamiliki kila kitu (hapa naweza kutumia yamkini ya mfalme)

2. Kisha inafuata ubepari (capitalism) ambapo "taifa" lina "privatize" ili wananchi wajigawie keki ya taifa kwa nguvu zao

3. Baada ya msuguano wa kipebari uliosababisha rasiliamali za nchi zikatumika kweli kweli basi Sasa ndio inaingia ujamaa (socialism) maana tayari taifa linakuwa na rasiliamali tosha kwenye mzunguko kutunza wananchi wake

Ukiangalia kwa makini utagundua ujima, ubepari na ujamaa mifumo yote mitatu ni msuguano/uhusiano kati ya taifa (state) na wananchi wake (working class)

Katika Ujima taifa linakuwa kama vile "limeshikilia" rasiliamali kwa niaba ya rasiliamali kazi

Katika ubepari taifa linakabidhi rasiliamali katika mikono ya rasiliamali kazi na katika mfumo huu wanazaliwa mabepari ambao wataiongoza na kuitumikisha rasiliamali kazi hii kuelekea katika malengo Fulani ya kimaendeleo (uchumi kukua)

3. Tukifika katika steji ya ujamaa (socialism) hapa ni kama vile taifa linachukua zao la ubepari na kulitawanya baina ya wananchi/working class/rasiliamali kazi

Kiufupi....... Utaanzaje na ujamaa wakati hata hizo rasiliamali za kugawana hazijatoka ardhini wala kwenye bongo (mawazo) zenu
 
Back
Top Bottom