Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
We Nabii Tito bado unaendelea na unabii uchwara au umekoma na hutarudia tena?Sawa mkuu , kocha wa Chelsea atapigwa fainali zote mbili , alaf disaster itaanza msimu ujao na kabla ya mwez wa 12 atakuwa ametimuliwa kazi .....!!!
Apa nakubaliana na wewe tuchel ni kocha wa kawaid Sion kama ni mtu sahihi
We are UCL Champions 2021Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.
Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.
Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
Mkuu kuna kitu kinaitwa Bahatisha Ndulute unakijua , Avram Grant alifika hadi fainali kama hii .We are UCL Champions 2021
Huu ndio udhaifu wa Tuchel
Haya mambo ni kawaida sana kwenye mpiraMkuu kuna kitu kinaitwa Bahatisha Ndulute unakijua , Avram Grant alifika hadi fainali kama hii .
Pep hajamuweza Tuchel badoMkuu kuna kitu kinaitwa Bahatisha Ndulute unakijua , Avram Grant alifika hadi fainali kama hii .
KAMPIGA GUARDIOLA MARA TATU NDANI YA SIKU ISHIRINI.. BADO TU ANABAHATISHA?Mkuu kuna kitu kinaitwa Bahatisha Ndulute unakijua , Avram Grant alifika hadi fainali kama hii .
Jana kadhirisha anaweza.Hawezi kutengeneza team spirit , hana uwezo wa kubadili fomesheni ndani ya uwanja , he has no quick mind as Benitez .
🤣🤣🤣🤣🤣Ni vyema sana, Siasa ikatengwa na michezo in all aspects yaani hadi kwenye uchambuzi.
Kwenye soka hua hakuna kubahatisha,hakuna kitu Bahati,hiyo ni imani ya kujifariji tu,team ikifungwa jua kua kuna sehemu inakosea na imezidiwa mbinu na team pinzani,ushindi huja kwa juhudi,maarifa na kujitoa,achana na imani za kusema Bahatisha.Mkuu kuna kitu kinaitwa Bahatisha Ndulute unakijua , Avram Grant alifika hadi fainali kama hii .
Mungu ibariki JFPamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili mchezo ndani ya dimba.
Nimemfuatilia tangu Borussia Dortmund hadi PSG, nguzo yake kuu ni aina fulani ya wachezaji, wachezaji ambao hawapo Chelsea.
Namtabiria kutimuliwa mapema kuliko hata Lampard.
Wacha weeee !!!Tuchel Ni kocha mzuri anayeweza kuimprove standard ya mchezaji mmoja mmoja yeye ndiye aliyemfanya Pulisic ashine na Aina ya wachezaji waliyopo Chelsea ndio Aina ya wachezaji anaowataka
Ulisema[emoji23]Mkuu utabir wako kwenye mpira upo konki Sana accuracy ya tabiri zako huwa 90% , huwa unafeli kwenye siasa Tu [emoji2] wanaokupinga soon watadhalilika vibaya mno....Chelsea ni timu ngumu mno Kwa makocha wengi....hasa hao walaini laini ambao kila akitaka mchezaji Fulani analetewa
Enheee[emoji23]Nyota ya Lampard?!
we ukashabikie rede tu au mbio za langalanga maana mpira umekusihinda mkuu
Hahahahaha [emoji23]wewe ulitaka atumie wachezaji gani, wa arteta?
asee sijawahi kuona mtu anaongea utumbo kama wewe kwenye hili jukwaa la michezo, yaani kocha kaikuta timu ipo out of big 4, amewafunga makocha wazoefu kama Diego simeone, Zizou, kamtoa Guardiola F. A useme anatembelea nyota!?
Bado unataka ufutwe?Huu Uzi ufutwe mtu unatuongopea mchana kweupe[emoji3]View attachment 1801895