Thread maalum kwa ajili ya kutakiana heri ya mwaka mpya na sikukuu ya X-mass, pia kuorodhesha matukio yote yatakayotokea kwenye X-Mass na mwaka mpya

Aisee kwa huu ujumbe wako, nina imani ex wako mwaka wake umeisha na mikosi, na pia mwaka ujao utaanza vibaya kutokana na stress za mapenzi kutoka kwako.

Nje ya mapenzi yenu.. Kwa kuanzia mwaka ujao acha nimtakie mafanikio mema, yenye baraka na furaha tele
 
Amina mkuu.
Ndio hivo, kayataka mwenyewe.
 
Madame B Nami naruhusiwa kutumia hii yako? 🤣🤣🤣
Maana ni kama umenisemea 😜
 
Hizi ni salam za mwanzoni, siku hizo 2 zikifika kutakuwa na salam zake special pia…

Namtakia kheri ya Christmas na mwaka mpya My one and only, Heart King, Mi Corazon, Kaka Mzuri, Last Born, Babe, Love, Mume Wangu n.k (Yote hayo namuitaga yeye 😊)

Japo umerudi ktk maisha yangu wakati nusu ya mwaka huu ikiwa imesogea kidogo, mwaka mzima nauona mzuri.
Nimesahau hadi yale madhila ya katikati ya mwaka, mwaka umekuwa na neema, mabadiliko chanya juu yangu yote sababu yako.

Nakupenda sana. Namaanisha ktk kila nilichokuambia, kila nilichokuahidi.
Wewe ndio last born wangu ktk mapenzi, wewe ndio maana halisi ya maisha na mapenzi kwangu.
Siwezi kusubiri kuishi maisha yangu yote pamoja na wewe…
Te Amo, Corazon ❤️

Jamani eeeh, simtag! Anajijuaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…