Thread maalum ya wapenda Pikipiki kubwa

Thread maalum ya wapenda Pikipiki kubwa

Vyuma mbali mbali ulimwenguni.
20211123_223751.jpg
20211123_223730.jpg
20211123_223711.jpg
20211123_223654.jpg
20211123_223640.jpg
20211123_223614.jpg
20211123_223602.jpg
20211123_223541.jpg
20211123_223509.jpg
20211123_223455.jpg
20211123_223439.jpg
20211123_223420.jpg
 
Imetulia sana halafu imeuzwa bei ya kuku [emoji16]
20211123_234059.jpg
 
Sele mapikipiki anabei za kawaida sijui kwa kua yupo zanzibar au niaje
 
Duniani kila mtu na mapenzi yake, kuna watu hata wawe na gari ngapi lakini hawakosi pikipiki kubwa.

Kuna watu hata uwape pikipiki ndogo lakini hawatakaa nazo au watatumia kwa shida tu lakini mapenzi yao ni kwenye pikipiki kubwa.

Na pia kuna watu japokuwa hawajakuwa na uwezo wa kuzimiliki lakini wakijaaliwa kupiga pesa basi watavuta pikipiki kubwa.

Naam ukikaa uko juu, ni nzito barabarani haziyumbi kizembe....ujazo wa maana kwenye Cc na muonekano wa kibabe pamoja na mengineyo, twende kazi...

View attachment 1992900View attachment 1992901View attachment 1992902View attachment 1992903View attachment 1992904View attachment 1992905
Kwenye kupeana maelezo tutambue kwenye hizi pikipiki zipo kama magari kuna ya sports,za mjini na biashara,safari ndefu na off road kwenye kufanya maamuzi bora utambue ilo
 
Kuna kesi ilikuwahi kumkumba jamaa mmoja jirani, wanaishi nyumba ya kupanga na wapo wapangaji kama saba hivi wenye pikipiki na zote zinalala sebuleni.
Katika pikipiki hizo zote zilikuwa ndogo (fekon, Huoniao na Boxer) kasoro jamaa alikuwa na chuma kama hicho pichani.

Usiku mmoja wakaingia wezi wakapuliza madawa yao ya usingizi na kuchukua pikipiki zote ndogo ila XR wakaiacha!

Walioibiwa hawakuelewa wakajua ni mchongo wa jamaa hivyo akawekwa ndani, aliulizwa kwa nini pikipiki yake ilikuwa ndiyo ya kwanza kabisa karibu na mlangoni lakini imesogezwa vema kabisa na kuwekwa pembeni na zikachukuliwa nyingine?
Jamaa akajibu, itakuwa wezi walijua hizi nyingine kuziuza ni fasta na hata wakisema wauze spare ni mara moja, lakini wakiichukua hii machine itabidi mpaka ipate watu wake hivyo biashara itachelewa, lakini pia hizi ziko chache hivyo ni rahisi kuonekana hata ukiiuza wapi.

Jamaa akashinda akaachiwa [emoji2]
20211124_195034.jpg
 
Kuna kesi ilikuwahi kumkumba jamaa mmoja jirani, wanaishi nyumba ya kupanga na wapo wapangaji kama saba hivi wenye pikipiki na zote zinalala sebuleni.
Katika pikipiki hizo zote zilikuwa ndogo (fekon, Huoniao na Boxer) kasoro jamaa alikuwa na chuma kama hicho pichani.

Usiku mmoja wakaingia wezi wakapuliza madawa yao ya usingizi na kuchukua pikipiki zote ndogo ila XR wakaiacha!

Walioibiwa hawakuelewa wakajua ni mchongo wa jamaa hivyo akawekwa ndani, aliulizwa kwa nini pikipiki yake ilikuwa ndiyo ya kwanza kabisa karibu na mlangoni lakini imesogezwa vema kabisa na kuwekwa pembeni na zikachukuliwa nyingine?
Jamaa akajibu, itakuwa wezi walijua hizi nyingine kuziuza ni fasta na hata wakisema wauze spare ni mara moja, lakini wakiichukua hii machine itabidi mpaka ipate watu wake hivyo biashara itachelewa, lakini pia hizi ziko chache hivyo ni rahisi kuonekana hata ukiiuza wapi.

Jamaa akashinda akaachiwa [emoji2] View attachment 2022234
"itabidi mpaka ipate watu wake"[emoji3]
 
Hawa ni Honda na KTM, ni jamii ya sports na zinazumbua duniani kote katika michezo na mashindano.
20211126_144951.jpg
20211126_144936.jpg
 
Hawa ni wazee wa 'nzito' na ni kwa ajili ya safari ndefu.
20211126_144848.jpg
20211126_144834.jpg
 
Barabara korofi haipitiki? Hawa ndio nyumbani kwao.
20211126_144815.jpg
20211126_144800.jpg
 
Back
Top Bottom