Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Anamaanisha nini huyu nae!!?
Ana maanisha vifijo na vigeregere vya wanaccm alipokuwa anawaburudisha kwenye majukwaa Zuchu akaamini ashakuwa bonge la MC(mwanamuziki) sasa alivyoandaa tamasha la shukrani ndio akaumbuka ,wadau wanasema show utafikiri ilikuwa ya Mboso na yeye alikuwa kama anarukaruka anafanya mazoezi ya jogging.
 
Dah ..kwel adui wa wanawake ni wanawake wenyew [emoji16?

Hivi lini mtaanza kupendana ? Ile show we unaona ni yakiwaki? Tena mtu hana experience...Hebu madem mjifunze ku appreciate...Ile show zuchu kafanya poa sana...Mtu kafanya gestures zote, dancing..moves hadi kwa audience , comfortable still unasema hajatawala jukwa....? Uzur show ipo YouTube wala haiitaji hype..
Mwanamke akimkosoa mwanamke mwenzie haimaanishi anamchukia.
Unataka amsifie tu kwasababu ni mwanamke mwenzie hata kama yeye ameona aneboronga?
Bora mtu atoe constructive criticism kuliko asifie tu ilimradi.
 
Nimetoka tena kumuangalia, aisee nani alimwambia aimbe live maana sauti inakwama kwama kama gari bovu,
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke akimkosoa mwanamke mwenzie haimaanishi anamchukia.
Unataka amsifie tu kwasababu ni mwanamke mwenzie hata kama yeye ameona aneboronga?
Bora mtu atoe constructive criticism kuliko asifie tu ilimradi.
Wao kukosoa ni habits...hebu soma hyo comment unaona imejaa chuki tupu...na hii yote ni team.. huyo manzi hapo juu ni team kiba hakuna asie lijua. Sasa unafkr show ya zuchu atasifia?..ukosoe panapo kosoleka..panaposifika sifia..
 
Japokuwa jana sikuiona show ila kupitia comment hizi nimegumdua wanao iponda show ya Zuchu ni walewale wanaiponda WCB na Diamond humu JF kila siku,so bila shaka show ya jana ilikuwa nzuri.

Mwanzo mzuri dogo ana miezi minne kwenye game,anafanya vizuri kwenye digital platforms,jana amefanya show yake ya kwanza kubwa ktk venue kubwa,bila shaka ni kitu kizuri na kwa kupitia hizi clip YouTube naona show ilikuwa Nzuri na hata kama kuna makosa madogo madogo ana muda mwingi wa kujifunza kwani bado mchanga.

Kwa show ya jana mimi nampa 9/10.
 
Chuchu hamna kitu. Ni lebel tu ndo inambeba. Now nimeelewa why alikaa miaka minne bila kusaigniwa. Hana kipaji,sauti mbaya,kutawala jukwaa hajui.
Diamond hivi kweli si bora ungemsign Ruby. Ruby ni moto kabarikiwa yule binti. Ni vile hana promo tu .Angekuwa Mwislam im sure angesainiwa pale wasafi.
Samahani yule mwanao ulie sema ana vaa heleni kama sh0ga. ana hali gani saivi
 
Tamasha la shukrani lilikuwa la bure lile, wageni wengi ni marafiki walialikwa labda kama walitoa kama zawadi.
Kiingilio ilikuwa kwa watu baki, wasioalikwa. Na kiwango cha juu ilikuwa 500k, kwa maana ya 5M meza ya watu 10 (shared!).

Kwa vyovyote vile, acha kuteseka.
 
Back
Top Bottom