Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Chuki au katoa mtazamo wake mkuu??

Bro nimeshangaa sana kuonekana ni mwenye chuki ilhali nimeshasema namsapoti dogo.
Kuna watu bado wapo kwenye ule upuuzi wa uteam sijui nini ambao kwangu hivi sasa ni ushamba tu, mambo kama haya ndiyo yanayosababisha wengine tuwe watazamaji tu wa JF siku hizi.
You are missed
 
Wazee wa kuongeza zero nyuma wakiugua tu matangazo kila kona kuomba msaada maisha ya sanaa ya bongo yamejaa ulimbukeni na stress kibao ,ukimsikia v money alijiita v money akisema anazo leo analialia ndio utajua hizo billion 2 za huyo dogo
Ukitaka kupiga Hela za wabongo waandalie show tu
Utawatafuna mpaka basi

Ova
 
Chuchu kasainiwa kulipa fadhila kwa mama ake. Ukikaa karibubna domo lazima akulipe kwa namna fulani mfano gigy kuropoka kootee ni kujiweka karibu na wao wamemkubali,lokole etc

Ruby tatizo lake kiburi hata angekua muislam wasingemuweza
Chuchu hamna kitu. Ni lebel tu ndo inambeba. Now nimeelewa why alikaa miaka minne bila kusaigniwa. Hana kipaji,sauti mbaya,kutawala jukwaa hajui.
Diamond hivi kweli si bora ungemsign Ruby. Ruby ni moto kabarikiwa yule binti. Ni vile hana promo tu .Angekuwa Mwislam im sure angesainiwa pale wasafi.
 
Japokuwa jana sikuiona show ila kupitia comment hizi nimegumdua wanao iponda show ya Zuchu ni walewale wanaiponda WCB na Diamond humu JF kila siku,so bila shaka show ya jana ilikuwa nzuri.

Mwanzo mzuri dogo ana miezi minne kwenye game,anafanya vizuri kwenye digital platforms,jana amefanya show yake ya kwanza kubwa ktk venue kubwa,bila shaka ni kitu kizuri na kwa kupitia hizi clip YouTube naona show ilikuwa Nzuri na hata kama kuna makosa madogo madogo ana muda mwingi wa kujifunza kwani bado mchanga.

Kwa show ya jana mimi nampa 9/10.
👏👏
 
Bro nimeshangaa sana kuonekana ni mwenye chuki ilhali nimeshasema namsapoti dogo.
Kuna watu bado wapo kwenye ule upuuzi wa uteam sijui nini ambao kwangu hivi sasa ni ushamba tu, mambo kama haya ndiyo yanayosababisha wengine tuwe watazamaji tu wa JF siku hizi.
You missed
Madam hakuna point ya kumwambia yote hayo. Kila mtu ana haki ya kutoa mtazamo juu ya chochote kile as long as havunji Sheria. Ni kitu Cha ajabu Sana mtu anapotoa post kisha anataka sote tukubaliane na mtazamo wake....huku ni kukosaa ufahamu sahihi.

Jana nilikuwepo kwenye show ya zuchu, binti Bado Sana ana hitaji kukuzwa zaidi. Huwezi kumlinganisha na wakina Nandi au Ruby kwa sauti Bado Sana.

Katika kutumbuiza naamini ni ugeni wa show kubwa Kama Ile na kwa kuwa yupo na lebel kubwa kibongo bongo ataendelea kujifunza na atakuwa mtumbuizaji mzuri ana jiamini Sana binti.
 
Madam hakuna point ya kumwambia yote hayo. Kila mtu ana haki ya kutoa mtazamo juu ya chochote kile as long as havunji Sheria. Ni kitu Cha ajabu Sana mtu anapotoa post kisha anataka sote tukubaliane na mtazamo wake....huku ni kukosaa ufahamu sahihi.

Jana nilikuwepo kwenye show ya zuchu, binti Bado Sana ana hitaji kukuzwa zaidi. Huwezi kumlinganisha na wakina Nandi au Ruby kwa sauti Bado Sana.

Katika kutumbuiza naamini ni ugeni wa show kubwa Kama Ile na kwa kuwa yupo na lebel kubwa kibongo bongo ataendelea kujifunza na atakuwa mtumbuizaji mzuri ana jiamini Sana binti.

Asante
 
Kwa hiyo mleta unataka kusema show nzima haikuwa na kasoro au mapungufu? Yaani mada yako nzima ni kusifia na kupongeza tu, wakati watu wengi wanasema wameona mapungufu kibao.

Japokuwa mimi sio mpenzi wa mziki wa bongo flavour kabisa lakini by default nimejikuta nawajua wasanii wengi wa Bongo flavour. Na kiukweli kabisa Zuchi mpaka sasa simjua kabisa. Hivyo nahisi huyo binti huenda atakuwa overrated au underground fulani.
[/QUQU
Ungesoma vizuri alichopost ungechangia VYEMA......
 
Hahaha wengi wanaoshabikia Huyo zuchu humu sijui hata Kama walienda ukumbini mlimani city. Wengine walikuwa kwao mikoani au wamekaa makwao wanasubiri clip za YouTube na Wasafi TV.


Narudia Tena kusema Tanzania haijawahi kupata msanii overrated kama zuchu. Zuchu ni msanii wa kawaida Sana Tena Sana Ila kwasababu ukiongea unaonekana hater ngoja tuone mwisho wake.

Ni sawa na harmonize alivyokuwa Wasafi tulisema humu kuwa ukimuondoa diamond Hakuna msanii mwingine pale wcb mwenye uwezo Kama Harmonize. Leo linaanza kuonekana hata diamond tungo zake za siku hizi zinaanza kuyumba maana moja ya watunzi wake wakubwa alikuwa harmonize.


Huyo zuchu mtu anaemuandikia nyimbo ni Mboso , Sasa fikiria angekuwa anaandika kila kitu yeye.
 
Back
Top Bottom