Japokuwa jana sikuiona show ila kupitia comment hizi nimegumdua wanao iponda show ya Zuchu ni walewale wanaiponda WCB na Diamond humu JF kila siku,so bila shaka show ya jana ilikuwa nzuri.
Mwanzo mzuri dogo ana miezi minne kwenye game,anafanya vizuri kwenye digital platforms,jana amefanya show yake ya kwanza kubwa ktk venue kubwa,bila shaka ni kitu kizuri na kwa kupitia hizi clip YouTube naona show ilikuwa Nzuri na hata kama kuna makosa madogo madogo ana muda mwingi wa kujifunza kwani bado mchanga.
Kwa show ya jana mimi nampa 9/10.