Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Janja janja...mitiketi ya VIP imetolewa bure..Kigagula babu Tale yuko busy na kura za maoni
 
Hakuna incentives kwa mwanamke kumpenda mwanamke mwenzie, kimsingi unakusudia wanawake watende ubaguzi wa kijinsia

ongelea kuungana mkono kifalsafa utakua sahihi.

Kama "kavu" ni tusi basi mwenyewe!
Na aliekwambia kuna incentives kumchukia mtu nani? Kama mb64 ni tusi basi naww kichwa chako mb64
 
Na aliekwambia kuna incentives kumchukia mtu nani? Kama mb64 ni tusi basi naww kichwa chako mb64
Iko hivi hao wamama hawajachukiwa na wamama wenzao bali hawajaungwa mkono tu.

Naamini umenielewa sasa
 
😲😲😲😲😲
 
Sure pal.....wanawake na mambo Yao....
 
Kiujumla nilichokiona wengi humu mnafikili tunaopinga hizo takwimu tuna chuki na wcb ila kiujumla hiyo takwimu aliyoitoa kiuhalisia haipo hivyo tukubali kukosolewa kwa sababu jamaa ameikuza sana wakati tuliokuwemo ukumbini tumeona mambo mengi kama msifiwa sauti kukatika
 
Naona Comment yako ulini quote ukisema Wcb/wasanii wanaharibu maadili ya kizazi hiki,Modes wameifuta sijui ilikua ina shida gani ile.
Zengwe mkuu
Ila ndiyo ukweli
Mibongo fleva yote inakiuka maadili sahv

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…