Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Watu Sahv mnaugulia tu vingilio mlivyotoa
Maisha yamerudi pale pale
Ova
Chuki au katoa mtazamo wake mkuu??
Ukitaka kupiga Hela za wabongo waandalie show tuWazee wa kuongeza zero nyuma wakiugua tu matangazo kila kona kuomba msaada maisha ya sanaa ya bongo yamejaa ulimbukeni na stress kibao ,ukimsikia v money alijiita v money akisema anazo leo analialia ndio utajua hizo billion 2 za huyo dogo
Ndo manaaa alaa Sasa naanza KUELEWA......Yes mkuu hapa wanaodiss ni wale team kiba...angalia anaediss kisha kaangalie post zake unakuta ni Hater mzur wa wcb
Chuchu hamna kitu. Ni lebel tu ndo inambeba. Now nimeelewa why alikaa miaka minne bila kusaigniwa. Hana kipaji,sauti mbaya,kutawala jukwaa hajui.
Diamond hivi kweli si bora ungemsign Ruby. Ruby ni moto kabarikiwa yule binti. Ni vile hana promo tu .Angekuwa Mwislam im sure angesainiwa pale wasafi.
ππJapokuwa jana sikuiona show ila kupitia comment hizi nimegumdua wanao iponda show ya Zuchu ni walewale wanaiponda WCB na Diamond humu JF kila siku,so bila shaka show ya jana ilikuwa nzuri.
Mwanzo mzuri dogo ana miezi minne kwenye game,anafanya vizuri kwenye digital platforms,jana amefanya show yake ya kwanza kubwa ktk venue kubwa,bila shaka ni kitu kizuri na kwa kupitia hizi clip YouTube naona show ilikuwa Nzuri na hata kama kuna makosa madogo madogo ana muda mwingi wa kujifunza kwani bado mchanga.
Kwa show ya jana mimi nampa 9/10.
πππKhaaaa! Dini tena???
Let's meet at the top, cheers π₯
Aah kumbe umeneja wa wasanii unalipa?Ukitaka kuwalia Hela wabongo
Waandalie show tu utawalaaa mpk basi
Ova
Madam hakuna point ya kumwambia yote hayo. Kila mtu ana haki ya kutoa mtazamo juu ya chochote kile as long as havunji Sheria. Ni kitu Cha ajabu Sana mtu anapotoa post kisha anataka sote tukubaliane na mtazamo wake....huku ni kukosaa ufahamu sahihi.Bro nimeshangaa sana kuonekana ni mwenye chuki ilhali nimeshasema namsapoti dogo.
Kuna watu bado wapo kwenye ule upuuzi wa uteam sijui nini ambao kwangu hivi sasa ni ushamba tu, mambo kama haya ndiyo yanayosababisha wengine tuwe watazamaji tu wa JF siku hizi.
You missed
πππππ mbavu zangu mie...loohWeka sura yako halisi tulinganishe
Madam hakuna point ya kumwambia yote hayo. Kila mtu ana haki ya kutoa mtazamo juu ya chochote kile as long as havunji Sheria. Ni kitu Cha ajabu Sana mtu anapotoa post kisha anataka sote tukubaliane na mtazamo wake....huku ni kukosaa ufahamu sahihi.
Jana nilikuwepo kwenye show ya zuchu, binti Bado Sana ana hitaji kukuzwa zaidi. Huwezi kumlinganisha na wakina Nandi au Ruby kwa sauti Bado Sana.
Katika kutumbuiza naamini ni ugeni wa show kubwa Kama Ile na kwa kuwa yupo na lebel kubwa kibongo bongo ataendelea kujifunza na atakuwa mtumbuizaji mzuri ana jiamini Sana binti.
πππBila shaka utakuwa mfuasi wa Mbowe
Kwa hiyo mleta unataka kusema show nzima haikuwa na kasoro au mapungufu? Yaani mada yako nzima ni kusifia na kupongeza tu, wakati watu wengi wanasema wameona mapungufu kibao.
Japokuwa mimi sio mpenzi wa mziki wa bongo flavour kabisa lakini by default nimejikuta nawajua wasanii wengi wa Bongo flavour. Na kiukweli kabisa Zuchi mpaka sasa simjua kabisa. Hivyo nahisi huyo binti huenda atakuwa overrated au underground fulani.
[/QUQU
Ungesoma vizuri alichopost ungechangia VYEMA......
Cha ulalamishi upo?? Ha ha ha hujuagi kusifiaZUCHU ANA SURA NZITO SANA JAMANI. YAANI KILA NIKIMUANGALIA NAPATA KICHEFUCHEFU. MSURA MZITO KAMA UJI WA TOGWA.