Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

Mamita upoooo
 
Duuuu! Wasafi kusign msanii wanaangalia dini?
 
Ile performance ya Zuchu Na Jide... niliwaza ingekuwa Jide na Ruby ingekuwa ni moto wa kuotea mbali. Natamani itokee hawa watu wawili wa perform jukwaa moja
 
Khaa Shishi jaman... ila ame improve, atakuwa anapendaga kusikiliza zile inspiration clips za kizungu.
 
😂😂😂😂😂 shishi maconfidence
 
Kingereza hakimkataagi mlevi yeyote.
Atakipatia tu japo kwa kudaka daka hivyo ndivyo wenye lugha yao hupenda kusikia na hufurahisha sana.
 


Kwenye Tickets hapana kwa kweli sio kweli kulikuwa na Tickets za mbawa za kumwagaaaa labda uchanganye na matangazo ya Live waliingia zaidi ya watu 25k hapo pesa ilikuwepo
 
Ile performance ya Zuchu Na Jide... niliwaza ingekuwa Jide na Ruby ingekuwa ni moto wa kuotea mbali. Natamani itokee hawa watu wawili wa perform jukwaa moja
Jana yenyewe nilitamani Ruby awepo,naona waliogopa atamfunika Zuchu.
 
Umemaliza kila kitu

Upo sahihi.

Dini yake Ruby ndio tatizo
 

Mkuuu kabla hujaandika jiulize maswali mwenyewe,Aliyesainiwa Wasafi ndo anakipaji kuliko amabaye hajasainiwa...yule ni Ruby na huyu ni Zuchu.
 
Mboso ni hatari nimeona show amepiga sebene la haja,jamaa anakipaji sana atafika mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…