Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
Habari wakuu .
Mimi nimekuwa nikusumbuliwa na matatizo ya kuumwa na kichwa aina ya kipanda uso.
Nimetumia Dawa za kutuliza maumivu Kwa muda mrefu Sana , Ila nimekuja kupona Kwa kutumia tiba moja inaitwa "Urine therapy).
Tiba hii nimetumia siku tano Kwa kufanya hivi.
Kunywa mkojo robo kikombe kila Ahsubui kabla ya kula kitu chochote .
Sasa Ngozi yangu imekuwa na Nuru Sana, maumivu ya kichwa yamepotea.
Urine therapy
Tiba ya mkojo ni tiba nzuri sana.
Huu ndo ushuhuda.
Mimi nimekuwa nikusumbuliwa na matatizo ya kuumwa na kichwa aina ya kipanda uso.
Nimetumia Dawa za kutuliza maumivu Kwa muda mrefu Sana , Ila nimekuja kupona Kwa kutumia tiba moja inaitwa "Urine therapy).
Tiba hii nimetumia siku tano Kwa kufanya hivi.
Kunywa mkojo robo kikombe kila Ahsubui kabla ya kula kitu chochote .
Sasa Ngozi yangu imekuwa na Nuru Sana, maumivu ya kichwa yamepotea.
Urine therapy
Tiba ya mkojo ni tiba nzuri sana.
Huu ndo ushuhuda.