LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
ni mkojo wa mtumkojo wa mnyama yupi au hata mkojo wa punda niombe ufafanuzi kidogo niutafute.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mkojo wa mtumkojo wa mnyama yupi au hata mkojo wa punda niombe ufafanuzi kidogo niutafute.
poa nimekuelewa kumbe hata mkojo wangu unafaani mkojo wa mtu
Hakika.Hii naweza kuamini kuna ushuhuda mdogo ulitokea mwaka 2023 nilikua nimeandamwa na madeni mengi sana pia biashara ilikua haiko poa nikajitafuta kwa mtaalam wa kienyeji basi nilipokua kule nilipigwa mitishamba kisha kuna dawa ilichanganywa na maziwa pia nikaambiwa nikojolee kisha na kunywa nikafanya hivo baada ya siku 3 mambo yaanza kuwa mepesi.
ila ujipime usije ukajiambukiza UTIpoa nimekuelewa kumbe hata mkojo wangu unafaa
sina UTI na sijawahi ugua hyo UTI Nipo makini sana..ila ujipime usije ukajiambukiza UTI
Kwelikwa zamani hakukuwa na UTI siku hizi uti ipo unaweza kuambukizwa
Hakika na hongeraMimi nilikunywa mkojo nilipong'atwa na nyoka na ulinisaidia na kuweza kupona japo nilichanganya na dawa zingine za kienyeji
Asante,sikujua kama ni tiba kwenye magonjwa mengine pia nimeongeza kitu hapaHakika na hongera
Inatumika kwa magonjwa yaliyoshindikana hospital, ni muhimu kupima mkojo na kupata matibabuHii tiba imetumika sana tu ila haipewi tija. Inatibu mpaka vidonda kichwani, upele, unaogeshwa mkojo. Pia hutumika kama onyo kwa watoto watundu na watukutu wasiotii wazazi wao, ukimuambia mtoto ukifanya kosa hili nitakunywesha mkojo lazima mtoto atatii amri, maana mkojo ni mchungu na hauna ladha nzuri, ukute mkojo wenyewe umevundikwa siku nyingi. Ila siku hizi ni kama hautumiki sana kutokana na maendeleo ya tiba na maradhi ya maambukizi yamekuwa mengi haifai tena kuogeshwa au kunyweshwa mkojo wa mtu mwingine
Wakubwa kama mlevi au mtu wa ngono zembe inakua changamotomkojo kiboko ni wa watu wazima, wa watoto si mzito
Unalombwahii kitu ndo naiskia mara ya kwanza!! na bado sijaamini na swezi kuulizia mtu yyte ntachekwa buree!! mods huu ni upotoshaji naagiza Uzi ufutwe haraka sana!!
Wanasema usiwe umekunywa pombe jana yake, vizuri pia usiwe umekula nyamaHii itakuwa kweli kabla ya kuanza kutumia nilianza na kusoma Makala mbali mbali.
Ila hii tiba imekaa vizuri Sana.
Hii ni world wide therapy.hii kitu ndo naiskia mara ya kwanza!! na bado sijaamini na swezi kuulizia mtu yyte ntachekwa buree!! mods huu ni upotoshaji naagiza Uzi ufutwe haraka sana!!
Heri ya mwaka mpyaNimewaza tu , inaweza leta shida kubwa kwa figo 🤔
Wakati unasubiri akujibu, ngoja nichangie kidogo. Ukizingatia composition ya mkojo kwamba ni takamwili, Taka mwili ni pamoja na visivyotakiwa kuendelea kuwepo mwilini mwako (microbes, excess salts/minerals n.k) kwani kuendelea kuwepo mwilini kunasababisha madhara mwilini.Sijakataa , umesoma nilichouliza lakini?
Huyo unayemjibu anashangaza sana. Badala ya kuutafuta ukweli anakimbilia eti kwa kuwa ndo mara ya kwanza kusikia yeye hajui jambo hilo anawaagiza Mods waufute tena haraka sana. Anadhani mods ni wahemukaji kama yeye.Hii ni world wide therapy.
😁😁😁 hakika kutokuelewa mambo ni Mbaya sanaHuyo unayemjibu anashangaza sana. Badala ya kuutafuta ukweli anakimbilia eti kwa kuwa ndo mara ya kwanza kusikia yeye hajui jambo hilo anawaagiza Mods waufute tena haraka sana. Anadhani mods ni wahemukaji kama yeye.