Tiba ya mkojo (urine therapy) hii tiba inafanya kazi vizuri na kwa ufanisi

Tiba ya mkojo (urine therapy) hii tiba inafanya kazi vizuri na kwa ufanisi

Miaka mingi huko nyuma mkojo uliwatibia wale wana pale bengi wakapona ugonjwa mkubwa.

Kuhakikisha tu UTI haipo
 
Sipati picha nikiuchanganya na smart gin au double kick, hii itatibu hadi cancer
 
😁😁😁akili ndogo Sana wewe

😁😁😁akili ndogo Sana wewe
Hivi Unamkumbuka Mama Terry?
. . . Huyu alikuwa wa mwanzoni kabisa kutangaza tiba ya Mkojo, , , alitukanwa sana wakati ule.
Lakini Leo Ndio tiba inayotrend mitandaoni.
Nasema hivi Mie Nasubiri Wataalamu waje na tiba ya Kinyesi Cha Binadamu Ndio nitamtumia dose kamili.
Yaani Mkojo na mavi.,😂
 
Kwa hakika hiki kizazi kina laana.
Leo vitu NAJISI Ndio TIBA ya afya zetu.
Hivi mimea na matunda aliyotupatia Mwenyezi Mungu yamisha kabisa Mashambani?
 
Hii tiba inafanya kazi. Nilitumia sio nusu ama robo lita bali nilikuwa ninakunywa mkojo wote kila ninapokojoa. It did wonderful!

Jesus is Lord&Savior
 
Hata maji ya chumvi yanaweza tibu kipanda uso , kumbuka pia mkojo una chumvi chumvi hivyo ungejua tiba ya maji ya chumvi hasa ya mawe wala usingekua na sababu ya kunywa mkojo😆
Tuelekeze basi na wewe tuachane na hizi UTI tunazokunywa kila siku asubuhi
 
Back
Top Bottom