Tiba ya mkojo (urine therapy) hii tiba inafanya kazi vizuri na kwa ufanisi

Tiba ya mkojo (urine therapy) hii tiba inafanya kazi vizuri na kwa ufanisi

Shida yako akili umeielekeza kwenye dawa za hospital tu, mimi nimekunywa mkojo nilipoumwa na nyoka (kifutu) imenisaidia na mpaka sasa nipo hai
Vitu vingi tu ni dawa ila kujua side effects zake na kuzipima uzito wake ni muhimu pia.
 
Wakati unasubiri akujibu, ngoja nichangie kidogo. Ukizingatia composition ya mkojo kwamba ni takamwili, Taka mwili ni pamoja na visivyotakiwa kuendelea kuwepo mwilini mwako (microbes, excess salts/minerals n.k) kwani kuendelea kuwepo mwilini kunasababisha madhara mwilini.
Kwa mantiki hiyo kutumia mkojo kama mojawapo ya tiba haikatazwi bali unatakiwa pia uwe na Tahadhari au uwe mwangalifu.
Usinywe mkojo tu eti kwa sababu walisema ni dawa na eti hata huko USA wanatumia. Kwa mfano uko kwenye dozi e.g. dawa za hospitali au Tiba asili sio vizuri ukatumia mkojo wako kwani utakuwa una recycle takamwili(Sumu) zitokanazo na dawa unazotumia. Halafu pia jiridhishe kwamba huna maambukizo mengine e.g UTI, STD, n.k.
Ni hayo tu.
Yeah hapo nimekusoma sna.
 
Habari wakuu .

Mimi nimekuwa nikusumbuliwa na matatizo ya kuumwa na kichwa aina ya kipanda uso.

Nimetumia Dawa za kutuliza maumivu Kwa muda mrefu Sana , Ila nimekuja kupona Kwa kutumia tiba moja inaitwa "Urine therapy).


Tiba hii nimetumia siku tano Kwa kufanya hivi.

Kunywa mkojo robo kikombe kila Ahsubui kabla ya kula kitu chochote .

Sasa Ngozi yangu imekuwa na Nuru Sana, maumivu ya kichwa yamepotea.


Urine therapy
Tiba ya mkojo ni tiba nzuri sana.
Samahani ni ushauri wa kitaalamu au? Nataka kujaribu 😖
 
Habari wakuu .

Mimi nimekuwa nikusumbuliwa na matatizo ya kuumwa na kichwa aina ya kipanda uso.

Nimetumia Dawa za kutuliza maumivu Kwa muda mrefu Sana , Ila nimekuja kupona Kwa kutumia tiba moja inaitwa "Urine therapy).


Tiba hii nimetumia siku tano Kwa kufanya hivi.

Kunywa mkojo robo kikombe kila Ahsubui kabla ya kula kitu chochote .

Sasa Ngozi yangu imekuwa na Nuru Sana, maumivu ya kichwa yamepotea.


Urine therapy
Tiba ya mkojo ni tiba nzuri sana.


Huu ndo ushuhuda.
Hii ni aina ya matibabu inayojulikana kama isopathy. Mkojo ni mkusanyiko wa bidhaa za kimetaboliki zinazochujwa na figo katika jitihada za kuweka usawa wa asidi, usawa wa madini na usawa wa vitamini na upand wa damu katika usawa. Ikiwa vitamini B inazunguka katika mwili itaondolewa na figo kwenye mkojo.
Kwa hivyo, mkojo ni mchanganyiko wa bidhaa za shughuli mbali mbali za seli ambazo mwili hauhitaji wakati huo na hivyo kuziondoa.
Wataalamu binafsi wa tiba ya mkojo wanaamini kuwa virutubishi hivi na baadhi ya kinyesi zinaweza kuwa tiba katika kuweka afya ya mwili. Wanaamini kuwa ni sawa na imani ya homeopathic kwamba dozi ndogo za sumu inayokuua zinaweza kutumika kukuponya. Mimi Si mtaalamu na sina ufanisi katika jambo hili pia siamini sana katika aina kama hizi za matibabu Lakini kuhusu wazo la isopathy ni la kimsingi.
 
What's the active ingredient inayoact kukutibu? Kama unatoka mwilini kwako why haujakutibu ukiwa ndani uje kukutibu ukitoka na kuurudisba? Keupe kekundu
 
What's the active ingredient inayoact kukutibu? Kama unatoka mwilini kwako why haujakutibu ukiwa ndani uje kukutibu ukitoka na kuurudisba? Keupe kekundu
Mzee unaelewa mchakato wa kutengenezwa hadi kuwa mkojo?, Kama hatua ambayo mkojo unakuwa umekamilika je ni mwishoni kabisa na unatoka kama taka. Yani mkojo ukiwa umekamilika tyr unatoka km taka
 
Mzee unaelewa mchakato wa kutengenezwa hadi kuwa mkojo?, Kama hatua ambayo mkojo unakuwa umekamilika je ni mwishoni kabisa na unatoka kama taka. Yani mkojo ukiwa umekamilika tyr unatoka km taka
Mkojo si end-product ila by-product
 
HEBU TUZUNGUMZIE KUHUSU MATUMIZI YA MKOJO

Kumekuwa na shuhuda nyingi kuhusiana na tiba hii ya mkojo. Mkojo ni moja kati ya uchafu anaotoa mtu, hukusanywa kwenye kibofu na kupita kwenye mrija wa mkojo kwenda nje. Lakini wakati huo huo ni zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambayo hufanya kazi kadhaa kwa matumizi yake. Watu wengi wanaamini kuwa mkojo ni uchafu au najisi kwa wale ndugu zangu waislamu baada ya kutoka nje ya mwili, lakini baada ya miaka mingi ya utafiti, matokeo ya vitendo, naweza kusema hitimisho hili ni kwamba, mkojo wako, mkojo wangu, mkojo wetu sote sio chochote bali ni dawa yenye nguvu sana kutoka kwenye mwili wetu. Zifuatazo ni faida chache kati ya faida za kiroho na za kiafya kuhusiana na huu mkojo

FAIDA ZENYE NGUVU ZA KIROHO ZA MKOJO

1. Unaweza kuweka mkojo wako kwenye maji ya kuoga ya watoto wako kwa ajili ya ulinzi, kwamba kwa yeyote atakayetaka kuwadhuru basi atakutana na wewe kwanza na atakutana na chemtamakuni.

2. Unaweza kupigia deki mkojo wako nyumbani, kwa kuongea maji ili kuleta amani kati yako na Mpenzi wako.

3. Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo wako, pindi unapokaribia kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemwamini.

4. Unaweza kuloweka kufuli yenye kwenye mkojo wako kisha ukaitupa kwenye barabara yenye ubize mwingi, mtu akiifungua kufuli hiyo basi maisha yako yatabadilika na kuwa mazuri.

5. Unaweza kuosha uso wako na mkojo wa asubuhi kuondoa energy mbaya au kuinua hadhi (aura) yako na kuvutia baraka zako.

6. Unaweza kunywa mkojo wako mwenyewe ili kuondoa mashambulizi yote ya kishirikina au laana juu ya maisha yako.

7. Unaweza kuloweka nyama kwenye mkojo wako na kuipika vizuri na kumpa Mpenzi wako ale, hii italeta amani katika mahusiano yako.

8. Unaweza kuchanganya mkojo wako na maziwa fresh kwa kupata ndoto za wazi.

9. Unaweza kuandika chochote unachotaka kwenye karatasi kisha ukaloweka kwenye mkojo wako kwa siku 3, ikaushe hiyo karatasi kisha uinguze yaani uichome, majivu yake yachanganyie kwenye lotion yako au mafuta yako ya kupakaa, hauwezi kunukia mkojo ila mambo mazuri yatakutokea.

10. Unaweza kunywa mchanganyiko wa mkojo wako kwa mimba zinazochelewa yaani kuchelewa kujifungua au kushika mimba.

11. Unaweza kuosha kidonda chako kwa mkojo ili kupona haraka.

12. Mkojo hutumika kujisafisha kiroho kuondoa energy mbaya unapooga mkojo wako wa asubuhi.

13. Kama una mtoto wako ni mbishi na mkaidi hasikii, hujui ufanye nini tena na umechoka, chukua mkojo wako wewe mama pikia kwenye yai moja yaani uchemshie kwenye yai, mpe mtoto ale na kisha unywe mkojo uliobakia. Fanya hivi mara 3.

14. Ikiwa una tatizo la kipesa au shida za kimaisha, tumia mkojo wa mama yako au mke wako kuoga, utakuwa huru na utaona njia zikifunguka kimiujiza

15. Tumia mkojo wako wa asubuhi kuosha uso wako, utashuhudia mengi mazuri kwa neema ya Mungu.

16. Ikiwa una tatizo la tumbo, kunywa mkojo wako wa asubuhi.

Credit: Maalim Hamad (facebook)
 
Back
Top Bottom